Pre GE2025 Baada ya mahojiano ya kumchafua Lissu kugoma Generation Samia wafanya matembezi Singida kumshukuru Samia kwa fursa za uchumi!

Pre GE2025 Baada ya mahojiano ya kumchafua Lissu kugoma Generation Samia wafanya matembezi Singida kumshukuru Samia kwa fursa za uchumi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

CCM mnapumulia mashine sasa hivi :BearLaugh: :BearLaugh: baada ya mahojiano na vikongwe kumchafua Lissu kubuma sasa mmekuja na matembezi.

Yaani mnahangaika, moja haisimami mbili hailali🤣🤣, Lissu amewashika pabaya.

=====

Screenshot_20250215_135457_Instagram.jpg

Umoja wa Makundi Mbalimbali nchini Tanzania Chini ya Mwamvuli wa Generation Samia (GEN S) kwa ushirikiano na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Ofisi ya Mkurugenzi Singida wamefanya matembezi makubwa kuelekea Kongamano kubwa la Biashara na Fursa zilizoletwa na Samia mkoani humo.

Screenshot_20250215_135514_Instagram.jpg

Kongamano hilo limefanikiwa kuudhuliwa na wafanyabiashara kutoka vikundi mbalimbali Mkoa wa Singida.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Katika hatua nyingine, kongamano hili liliambatana na uzinduzi rasmi wa dirisha la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa kila halmashauri za Mkoa wa Singida, ikiwa ni hatua muhimu katika kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake kujikwamua kiuchumi huku mgeni Rasmi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Omary Dendego.

Screenshot_20250215_135532_Instagram.jpg
 
Wakuu,

CCM mnapumulia mashine sasa hivi :BearLaugh: :BearLaugh: baada ya mahojiano na vikongwe kumchafua Lissu kubuma sasa mmekuja na matembezi.

Yaani mnahangaika, moja haisimami mbili hailali🤣🤣, Lissu amewashika pabaya.

=====

Umoja wa Makundi Mbalimbali nchini Tanzania Chini ya Mwamvuli wa Generation Samia (GEN S) kwa ushirikiano na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na Ofisi ya Mkurugenzi Singida wamefanya matembezi makubwa kuelekea Kongamano kubwa la Biashara na Fursa zilizoletwa na Samia mkoani humo.

Kongamano hilo limefanikiwa kuudhuliwa na wafanyabiashara kutoka vikundi mbalimbali Mkoa wa Singida.

Katika hatua nyingine, kongamano hili liliambatana na uzinduzi rasmi wa dirisha la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa kila halmashauri za Mkoa wa Singida, ikiwa ni hatua muhimu katika kuwawezesha wananchi, hususan vijana na wanawake kujikwamua kiuchumi huku mgeni Rasmi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Omary Dendego.
kwamba mapokezi ya kibaka wa siasa za ndani ya chadema hayana maana tena ispokua matembezi ya kumshukuru Dr Samia suluhu Hassan kwa fursa za kiuchumi right?🤣
 
kwamba mapokezi ya kibaka wa siasa za ndani ya chadema hayana maana tena ispokua matembezi ya kumshukuru Dr Samia suluhu Hassan kwa fursa za kiuchumi right?🤣
Nani hajui kama majambazi na wauaji wa siasa wako CCM Boss? :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKLaugh: :KEKLaugh: Bado hamjasemašŸ˜‚šŸ˜‚
 
Nani hajui kama majambazi na wauaji wa siasa wako CCM Boss? :BearLaugh: :BearLaugh: :KEKLaugh: :KEKLaugh: Bado hamjasemašŸ˜‚šŸ˜‚
kwahiyo kibaka na tapeli omba omba amepokelewa kimya kimya au bado🤣

kama ukijua hayo matembezi ya CCM ni ya wiki nzima 🤣
 
Sisiem akili zao ziliondoka na moshi wa Mwenge,October tunaenda kuchukua huo Mwenge tunawasha na kwenda kuutumbukiza mto wami,baada ya hapo unarudishwa kuwekwa Makumbusho ya taifa.
Baada ya hapo ndio utaona wanazinduka wakiwa chama cha upinzani,watashangaa imekuaje
 
kwahiyo kibaka na tapeli omba omba amepokelewa kimya kimya au bado🤣

kama ukijua hayo matembezi ya CCM ni ya wiki nzima 🤣
Bado hamjasema, pamoja na kufanya kongamano na kukusanya watu kibao bado mmebuma :BearLaugh::BearLaugh:
 
LISSU AMEAKBWA KILA KO9NA HANA PA KUPUMULIA BADO KIDOGO TU ANAWAKIMBIA ARUDI ALIKOHAMIA NAKUACHA FMILIA YAKE
 
Hawa ndio watanzania wazalendo,kila mzalendo lazima aonyeshe uzalendo wake na Mapenzi yake kwa Raisi mwema wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mama Samia Suluhu Hassan,Lulu ya Afrika.
2025,Tupo na Mama.
 
Bado hamjasema, pamoja na kufanya kongamano na kukusanya watu kibao bado mmebuma :BearLaugh::BearLaugh:
my lady,
je, tayari umeshatapeliwa mchango wa kuendeshea chama na pesa kwaajili ya bapa na nyama kwaajili ya viongozi waandamizi chadema ikiwa ni pamoja na kibaka kiongozi wa chama? au bado hujatoa mchago unaskilizia upepo :pedroP:
 
Naona kama wanamfanyia samia kampeni tu, yupo Nanauka na huyu mdada mjasiriamali kutoka dar hawajaacha kuonesha uchawa kwa samia. Kuna mtu niko naye jirani hapa anasema generation samia imefanyika leo singida kupunguza attention kwa Lissu anayeingia singida leo
 
Makundi mengi yamezolewa, wapo mpaka wachambua vitunguu, bodaboda, waparua samaki, mradi tu agenda ifanikiwe, blablaa ni mikopo kwa walalahoi sijui kama makundi yote haya yatapewa mikopo, naona kama ni abrakadabra za CCM tu kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025
 
kwamba mapokezi ya kibaka wa siasa za ndani ya chadema hayana maana tena ispokua matembezi ya kumshukuru Dr Samia suluhu Hassan kwa fursa za kiuchumi right?🤣
Watz kuleni tu hizo posho toka ccm, hizo ni kodi zenu.
mkishapewa posho njooni kuchangia mabadiliko ya kuikomboa nchi yetu dhidi ya hawa wezi wa kijani
 
Watz kuleni tu hizo posho toka ccm, hizo ni kodi zenu.
mkishapewa posho njooni kuchangia mabadiliko ya kuikomboa nchi yetu dhidi ya hawa wezi wa kijani
pwagu na pwaguzi mnapeana moyo sio? :pedroP:

mtatapeliwa na huyo kibaka wa siasa hadi akili ziwakae sawa:pedroP:
 
Back
Top Bottom