Pre GE2025 Baada ya mahojiano ya kumchafua Lissu kugoma Generation Samia wafanya matembezi Singida kumshukuru Samia kwa fursa za uchumi!

Pre GE2025 Baada ya mahojiano ya kumchafua Lissu kugoma Generation Samia wafanya matembezi Singida kumshukuru Samia kwa fursa za uchumi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Umasikini ni kitu kibaya sana.

Wanatembezwa hapo wakimalika wanapewa elfu kumi.
20241124_103800.jpg
 
my lady,
je, tayari umeshatapeliwa mchango wa kuendeshea chama na pesa kwaajili ya bapa na nyama kwaajili ya viongozi waandamizi chadema ikiwa ni pamoja na kibaka kiongozi wa chama? au bado hujatoa mchago unaskilizia upepo :pedroP:
Yupi tapeli anayegawa viberiti na chumvi kwa mazombii wakati wa uchaguzi au anayechangisha wananchii kwa hiari.
 
Yupi tapeli anayegawa viberiti na chumvi kwa mazombii wakati wa uchaguzi au anayechangisha wananchii kwa hiari.
relax,
akili itakukaa sawa tu kwa wakati muafaka, ngoja kwanza kibaka akunyooshe kwa kula maokoto yako kidogo :pedroP:
 
kwamba mapokezi ya kibaka wa siasa za ndani ya chadema hayana maana tena ispokua matembezi ya kumshukuru Dr Samia suluhu Hassan kwa fursa za kiuchumi right?🤣
Kupongeza mwizi na dalali wa rasilimali za Tanganyika
 
Back
Top Bottom