displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,085
Katika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.
Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Kuleeeeeee wa Brazil hahahaaaaMimi namhisi mmoja.......Balozi ######
Team ya Lowassa Sasa hivi hawana presha,huyo Nchimbi yupo safe,Ila Nina mashaka na BashiteUzuri wanaotolewa wanabaki na kisasi moyoni
Nchimbi jiandae
Kuna balozi mmoja wa nchi jirani, ana kashfa nyingi sana aliwahi kushika nafasi ya juu kweny chama. Nasikia yuko kweny list ya wanaofuatiliwa na zamu yake kuliwa imefika. Maendeleo hayana vyama. Kudadadekiiiii
ndo kwanza kahamia villa mpya juzi tu yenye hadhi ya kibalozi sio ile mbovu mbovu ya mabalozi wa zamaniDr Slaa yuko upande gani this time around?
kiukweli alikua untouchable,jiwe kaenda nae mbere kwa mbere mpk mwenyewe kafurahiMakamba was a well-written-off Page on the wall. Alipewa uwaziri kwa mbinde, wazee walipanga foleni,kama shukurani kwa kazi yake nzuri 2015 from Masaki TC. Then, it was just a matter of time tu, ili AFURUSHWE. Nakumbuka hadithi yake na FILIKUNJOMBE na Uwaziri mkuu, what happened?
Nasisitiza tu "waacheni wafu wawazike wafu wao!" Sisi tupambane na hali zetu huku mtaani WATATUKUTAKatika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.
Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Kwenye malaji laini... kawasahau wananchi wake anamung'unya tonge tu!Upande unaomuhakikishia kumaliza uzee wake vizuri ndio aliopo.
Wazir flani Wa bongo landHiyo avatar yako ni picha ya nani?
Hivi Balozi wa Tanzania nchi Msumbiji anaitwa nani? Kabla ya kuwa Mh Balozi, alikuwa na cheo gani? Chunguza utabainiSasa unaficha jina la nini? Ukisema nchi jirani ni Malawi, Kenya, Zamb ia, Uganda, Rwanda, Burundi, Msumbiji na DRC...sasa katika mabalozi walioko huko ni nani alishika nafasi ya juu ndani ya CCM? It is simple...2+2=4
Ingekaa poaa sana ka ungewataja aseeeKatika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.
Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Mimi nasubiri tu laana ya mbowe na genge lake la wanaoitafuna chademaLaana inawatafuna hawa watu na lichama lao!!
ngoja nikamgooglešHivi Balozi wa Tanzania nchi Msumbiji anaitwa nani? Kabla ya kuwa Mh Balozi, alikuwa na cheo gani? Chunguza utabaini
ngoja nikamgooglešHivi Balozi wa Tanzania nchi Msumbiji anaitwa nani? Kabla ya kuwa Mh Balozi, alikuwa na cheo gani? Chunguza utabaini
Kwakua jiwe ujasiri wake haumithiliki, si wapigwe risasi tuu hadharani iwe fundisho kwa wengineWakamatwe kabisa
Nadhani yuko ule upande alio uita choo. TeheteheeeDr Slaa yuko upande gani this time around?