Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

Katika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.

Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..

Mwenzako akinyolewa wewe tia maji

Si nimesikia Ole Sabaya DC Hai ametoweka wiki tatu sasa!!! Sijui ni uvumi au pana watenda kazi wapo kazini
 
Mimi namshauri hao anao watumbua ,akishamtumbua wabaya wake moja kwa moja awasweke lupango,awafungulie kesi za uhaini. Asituachie huku mitaani . wakakae jera ili awe anawatembelea kila mwezi, maana huku mitaani watatusumbua. Mtu kama Nape ,January wala sio wa kuwaonea huruma.Kidogo Nchimbi kwa sababu alijaribu kutuonyesha Jiwe hana sifa za kuwa kiongozi wakati wa uteuzi wa ndani ya chama, na hiki ndicho kinajidhihirisha Leo,
 
Kuna balozi mmoja wa nchi jirani, ana kashfa nyingi sana aliwahi kushika nafasi ya juu kweny chama. Nasikia yuko kweny list ya wanaofuatiliwa na zamu yake kuliwa imefika. Maendeleo hayana vyama. Kudadadekiiiii


Si useme tu Emanuel Nchimbi
 
Makamba was a well-written-off Page on the wall. Alipewa uwaziri kwa mbinde, wazee walipanga foleni,kama shukurani kwa kazi yake nzuri 2015 from Masaki TC. Then, it was just a matter of time tu, ili AFURUSHWE. Nakumbuka hadithi yake na FILIKUNJOMBE na Uwaziri mkuu, what happened?
kiukweli alikua untouchable,jiwe kaenda nae mbere kwa mbere mpk mwenyewe kafurahi
 
Katika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.

Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..

Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Nasisitiza tu "waacheni wafu wawazike wafu wao!" Sisi tupambane na hali zetu huku mtaani WATATUKUTA
 
wapinzani nao zamu yao kula popocorn maana hapa juzi ilionekana kwao kuna migogoro mikubwa ila kumbe ccm ndo balaaaa zaidi
 
Sasa unaficha jina la nini? Ukisema nchi jirani ni Malawi, Kenya, Zamb ia, Uganda, Rwanda, Burundi, Msumbiji na DRC...sasa katika mabalozi walioko huko ni nani alishika nafasi ya juu ndani ya CCM? It is simple...2+2=4
Hivi Balozi wa Tanzania nchi Msumbiji anaitwa nani? Kabla ya kuwa Mh Balozi, alikuwa na cheo gani? Chunguza utabaini
 
Ila hii ni Nzuri wacha na siye watoto wa mafukara siku 1 tuukwae Uwaziri, hii tabia ya baba alikuwa Rais,Mkuu wa Mkoa, Katibu wa Chama Sasa na wewe unataka uwe hivyo hivyo ni mfumo wa ki chief na kishamba, unakuta mtu ni kilaza tu ila kwa kuwa baba alikuwa kiongozi Basi anafanyiwa mpango anapenyezwa penyezwa serikalini, chamani mpaka anakuwa Munge,Mkuu wa Wilaya/ Mkoa na waziri. Ningekuwa karibu na mh. Magu ningemshauri asafishe taratibu wote waishe, aweke sura mpya tupu.Hii tabia ya kubebana bebana ni ya kishenzi kabisa, watu wengine wapo mitaani na Wana Uwezo mkubwa tu lkn vilaza wamejaa kwenye ofc nyeti kisa wazazi wao wameweza kuwafanyia mpango. Tutaelewana tu saizi na mtanyooka tu. Kudadadekiiiii! JPM fumua waishi Kama mashetani,kwani wao kina nani bana,zam yao ishapita,wakalime mapapai,mananasi,maembe nk. Ikiwezekana kwenye ubunge 2020 wakatwe kabisa.Weka sura mpya,damu changa.Wanaojidai Chama ni chao toa, wakate ngebe na kiburi Cha kujifanya wanahatmiliki na nchi hii.
 
Vijana mtanipinga sana ila nawaambia ni rahisi sana kua maarufu kwa harakati za maneno ya kukosoa siasa au serikali za Africa sababu matatizo ni mengi.....ila ngumu sana kua maarufu kwa namna za kina Ruge,Mengi, Mo, bakhresa, Kusaga...na Hawa ndio hubadili maisha ya vijana wengi.

Nasimama na Dr John
 
Katika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.

Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..

Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
Ingekaa poaa sana ka ungewataja aseee
 
Back
Top Bottom