Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

ngoja nikamgoogle🏃
Balozi wa nchi jirani! Tunasubiri taarifa ya uhakiki wa mali za Chama Cha Mapinduzi iwekwe wazi ili watu wakose pa kujificha. Nasikia litakuwa ni Bomunla Atomic, litapiga Baba, Mwana na Roho!! Baba, Mwana na Wafuasi wao. Mabalozi wetu kadhaa nao hawatatoka salama!!
 
haya ni mambo ya hivi karibuni au tunazungumzia awamu ya pili?
 
In 48 laws of power, by Mr. Green, the law No.15 states, "crush your enemy completely"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…