WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,373
- 3,139
BrazilianMimi namhisi mmoja.......Balozi ######
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BrazilianMimi namhisi mmoja.......Balozi ######
Balozi wa nchi jirani! Tunasubiri taarifa ya uhakiki wa mali za Chama Cha Mapinduzi iwekwe wazi ili watu wakose pa kujificha. Nasikia litakuwa ni Bomunla Atomic, litapiga Baba, Mwana na Roho!! Baba, Mwana na Wafuasi wao. Mabalozi wetu kadhaa nao hawatatoka salama!!ngoja nikamgoogle🏃
Try again baadae......Brazilian
haya ni mambo ya hivi karibuni au tunazungumzia awamu ya pili?Balozi wa nchi jirani! Tunasubiri taarifa ya uhakiki wa mali za Chama Cha Mapinduzi iwekwe wazi ili watu wakose pa kujificha. Nasikia litakuwa ni Bomunla Atomic, litapiga Baba, Mwana na Roho!! Baba, Mwana na Wafuasi wao. Mabalozi wetu kadhaa nao hawatatoka salama!!
In 48 laws of power, by Mr. Green, the law No.15 states, "crush your enemy completely"Katika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.
Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..
Mwenzako akinyolewa wewe tia maji