Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

ngoja nikamgoogle🏃
Balozi wa nchi jirani! Tunasubiri taarifa ya uhakiki wa mali za Chama Cha Mapinduzi iwekwe wazi ili watu wakose pa kujificha. Nasikia litakuwa ni Bomunla Atomic, litapiga Baba, Mwana na Roho!! Baba, Mwana na Wafuasi wao. Mabalozi wetu kadhaa nao hawatatoka salama!!
 
Balozi wa nchi jirani! Tunasubiri taarifa ya uhakiki wa mali za Chama Cha Mapinduzi iwekwe wazi ili watu wakose pa kujificha. Nasikia litakuwa ni Bomunla Atomic, litapiga Baba, Mwana na Roho!! Baba, Mwana na Wafuasi wao. Mabalozi wetu kadhaa nao hawatatoka salama!!
haya ni mambo ya hivi karibuni au tunazungumzia awamu ya pili?
 
Katika kile kinachoonekaonekana Vita ya wasaliti ndani ya chama kupamba Moto tayari baadhi ya mabaloz wameonekana kuhusika mojamoja na mgawanyiko ndani ya chama na hivyo hivi karibuni watarejeshwa nchini.

Pia wapo wakuu wa mikoa waliojipanga kugombea ubunge na wakuu wa mikoa wanaohisiwa wapo timu Membe..

Mwenzako akinyolewa wewe tia maji
In 48 laws of power, by Mr. Green, the law No.15 states, "crush your enemy completely"
 
Back
Top Bottom