Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

Tetesi: Baada ya Makamba, mabalozi watatu, wakuu wa mikoa watatu na wakuu wa wilaya saba kutumbuliwa

Kuna balozi mmoja wa nchi jirani, ana kashfa nyingi sana aliwahi kushika nafasi ya juu kweny chama. Nasikia yuko kweny list ya wanaofuatiliwa na zamu yake kuliwa imefika. Maendeleo hayana vyama. Kudadadekiiiii

Sasa unaficha jina la nini? Ukisema nchi jirani ni Malawi, Kenya, Zamb ia, Uganda, Rwanda, Burundi, Msumbiji na DRC...sasa katika mabalozi walioko huko ni nani alishika nafasi ya juu ndani ya CCM? It is simple...2+2=4
 
Hii siku imeenda haraka haraka. Nishasahau kama kuna mtu kachezea jando
 
😂😂😂😂😂😂nasikia yuko busy Ikulu kuzikiliza hahahahaha niwekee ile ya membe ikiisha niwekee ile ya kinana na nape niwekee ile ya July na Babaake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ile picha please!!!!!

Huyu ameshadhibitiwa muache akae na tape records zake
 
[emoji23][emoji23]
huyu jamaa siku akiondoka madarakani itakuwa kama "gombania goli", kila mtu akitaka pa kutoboa - mwenye kutaka kutoboa jicho haya, kata vidole haya, ng'oa meno haya.....
 
Hahahahaha lol! Acha wale wa kutemea mate usoni kwa hasira zao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

huyu jamaa siku akiondoka madarakani itakuwa kama "gombania goli", kila mtu akitaka pa kutoboa - mwenye kutaka kutoboa jicho haya, kata vidole haya, ng'oa meno haya.....
 
Wakati mwingine ni vigumu sana kujua tunasimamia nini

Wapo wengine huko nyuma walisemwa sana kwamba wanajihusisha na biashara za nyara za serikali (Maangamizi ya Tembo, Faru nk), Ajabu watu wale wale leo wako mstari wa mbele kuwaunga mkono.

Imekuwa kama ukitaka kujisafisha na madhambi yako ya nyuma ni kuupinga utawala wa Magufuli.

Nasimama na waliotenda na wanaotenda haki kwa nchi hii.
 
Wanaruka na kukanyaganaaa...safi sana!! Member kasema chama vipande vinne sio viwili na uzi na sindano yakuunganisha hamna kumbe walikua kama pazia dah.
Mimi hapo kwenye upande vinne ndo sijamuelewa mheshimiwa jasusi
1. Kimoja cha JPM
2. Kimoja chake
3. Kimoja cha January
4. Sijui, au ndo akina YEHODAYA
 
Basi sawa....
IMG-20190721-WA0030.jpeg
 
Write your reply...Hizi ni stress za CCM sie wengine hazituhusu
 
Back
Top Bottom