Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
You don't look at it realistically brother kuhusu issue ya kuwa kama Dubai. Too many factors are involved. It's a discussion for another day!Huo uwezo ungekuwepo tungekuwa kama dubai.
Tiss ambayo mpaka barua za ikulu zilikuwa zinavuja.
Hakuna mwenyekiti aliyeungwa mkono na watu wote. Hata Nyerere alipingwa kwa siri na wazi.Mama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushituka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.
Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.
Hiyo tiss haihusiki na uchumi au yenyewe ni ukada wa nzi za kijani.You don't look at it realistically brother kuhusu issue ya kuwa kama Dubai. Too many factors are involved. It's a discussion for another day!
Kuhusu barua za ikulu kuvuja ile on it's own ilikuwa ni strategy.
Same way Kigogo2014 was!
Paskali, aliyeanzisha vita anaondokaje bila pigano la knockout. Kuna raundi zinakuja. Inaweza ikawa vita fupi tu kabla ya saa za kazi. Uzuri mshindi anajulilana japo haijulikani kama ushindi ni wa kudumu.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I migh end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
Mkuu Pascal Mayalla nadhani hii ngoma bado mbichi.
Kwanza kabisa mi naamini Mh. Job Ndugai hakumaanisha kudharau mamlaka ya Rais, ila alichukulia ni kauli ya kawaida kama ambavyo unajua watanzania.
Ila Mh. Rais inaonekana hajiamini kabisa kutokana na makundi yaliyopo ndani ya CCM na hii ilichangiwa na huyo mnoko aliyemuambia adui yake ni shati la kijani (mtu huyu alijua madhaifu ya Mama akaona amfarakanishe kabisa na wana CCM ili wao ikija 2025 wapate pakutokea).
Jambo lingine lililopo mbele ni uwezekano wa Mama kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye (hii inawezekana kabisa kwa sababu mpaka sasa Mama ni dhahiri kifo cha Dkt Magufuli yeye ni kama alikipanga kitokee awe Rais (hii inatokana na kauli zake za kudra za mwenyezi mungu na uchu wa urais alionao).
Uchu wake wa urais umemjengea maadui wengi sana ndani ya CCM na kwa sasa wanamuangalia kama adui yao namba moja kiasi kwamba wabunge wengi wataunga mkono hoja ya kutokuwa na imani na rais.
Na Ndugai hawezi kuachia ngazi labda wamuue kwa sababu hana cha kupoteza.
Na huu ugomvi mama kautafuta mwenyewe kwa kuamini vitu ambavyo si vya kweli kwa sababu moyoni mwake kabisa Ndugai naamini hakumaanisha kudharau mamlaka ya rais na viongozi wote waandamizi wanamheshimu mama ila yeye mama inaonekana ni mtu wa kujishuku shuku, na hiyo inaweza pelekea kuungwa mkono Ndugai bungeni na hatimaye kumpigia kura ya kutokuwa na imani Mama.
Mama asipokuwa makini, hatoweza kutimiza miaka yake 5, atapigiwa kura ya kutokuwa na imani na urais wake ukaishia hapo na tena wanaweza hata kumfungulia mashitaka na anaweza kusota ndani kwa sababu yeye kaonekana kushangilia kifo cha mtangulizi wake na uchu wa urais (kwa sababu aelewe aliyekufa ni mtu mmoja-Dkt Magufuli na ile machinery ya urais ipo inamcheki vizuri mienendo yake).
Kupitia Hili la Leo nasema hivi hii ni itakua (Un-Popular Opinion) ila ndio ukweli.
'TANZANIA TUNAHITAJI MAPINDUZI YA KIJESHI NDIO TUENDELEE'
Umekula upper cut mzee tulia down hapo maumivu yapoe.[emoji1787]Unaweza kufuga viumbe vyote lakin huwezi kufuga binadamu.
Samia atashinda leo lakini hatashinda wakati wote.
Amuulze Alexender the great.
Wewe shoga niniUmekula upper cut mzee tulia down hapo maumivu yapoe.[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mama amehemukwa, nafikiri hii nafasi alikuwa anaisubiria kwa hamu sana na ameitendea haki....
Sasa hivi kila atakaeinua mdomo juu ya mama itaonekana ni joto la 2025, nilichofurahi Mama anawajua maadui zake.
Jamaa yetu jana ilibidi akanushe sio kuomba radhi, Sasa ameomba radhi na kichambo kapewa juu....
Mama kaita CCM nchi nzima imsaidie kumchamba Jamaa yetu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ndiyo WANYONGE Acha muisome namba,maana Chadema walituchelewesha Sana kupata maendeleo.Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Huna hoja, unatapatapa tuu huyo ndo Rais na aheshimiwe na watu wote.Wewe shoga nini
sioni sehemu inayochekesha unacheka.
Ajiuzuru kwakweli maana kavuliwa nguo! Tatizo labda ni uoga wa mafao lakini kubakiza japo heshima ndogo kabisa aondoke zake.
heshima anapewa anaejiheshimu..Huna hoja, unatapatapa tuu huyo ndo Rais na aheshimiwe na watu wote.
Huo uwezo ungekuwepo tungekuwa kama dubai.
Tiss ambayo mpaka barua za ikulu zilikuwa zinavuja.
Binamu upo sahihi kabisa hawajui vyema shati la kijani ni wanafiki hatari. Huyo 2024 watamvagaa hatoamini macho yake.Mama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushituka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.
Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.
Wanaweza kuiba kura tu.Mie huwa nashangaa sana wanapoisifia hii Taasisi haina lolote zaid ya kulibeba chama chakavu
Leo akili zimekurudi.Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima