Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Mama amehemukwa, nafikiri hii nafasi alikuwa anaisubiria kwa hamu sana na ameitendea haki....
Sasa hivi kila atakaeinua mdomo juu ya mama itaonekana ni joto la 2025, nilichofurahi Mama anawajua maadui zake.
Jamaa yetu jana ilibidi akanushe sio kuomba radhi, Sasa ameomba radhi na kichambo kapewa juu....
Mama kaita CCM nchi nzima imsaidie kumchamba Jamaa yetu[emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo ndo siasa ya kibongo, ni kawaida. Si ni Kama walivomfamnyia magu akiwemo job mwemyewe...ref ujenz bandar bagamoyoMama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushituka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.
Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.
Nakumbuka fulani aliwahi kutoa kauli ya kupumzika siasa 2025, alichofanya "mwenye nchi" leo ni kuonesha yeye binafsi anavyoiwaza 2025 na ameshanogewa na cheo, ndio maana alikuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzake 2025 ni zamu yao.
Mengi ya maneno aliyotoa kumjibu mwenzake leo ni mihemko tu na kuchamba kama zilivyo tabia za wanawake wengi, lakini hana hoja yoyote ya msingi.
Kwa hii kauli yake ya leo inawezekana akaamsha vita ya chini chini ambayo hatajua ukubwa wake na miongoni mwa adui zake watakuwa hao wanaompigia vigelegele leo.
Ni kweli Rais si boss wa spika, ndivyo inavopasa kuwa...tatizo ni ndugai alijigeuza mwenyewe kuwa houseboy wa wa banda la ng'ombe kule chato na jana kaomba mwenyewe u house girl huko pemba.Unakosea sana unaposema Rais ni boss wa Spika! Unbelievable!
Achana na huyo mla urojo hana kitu anajuaHuo uwezo ungekuwepo tungekuwa kama dubai.
Tiss ambayo mpaka barua za ikulu zilikuwa zinavuja.
Hii conflict Kati ya executive na Bunge itufungue macho kwa hitaji la katiba mpya. Speaker kuzodolewa namna ile ni kuonesha ya kwamba Bunge letu halina nguvu. Katiba mpya inahitajika kuweka checks and balances. Tatizo ukisema katiba mpya watu wanafikiria CHADEMA basi, lakini madhara Kama haya hawayaoni.
Yuko sawa, ina maana mungu aliruhusu na hivyo ni mpango wa mungu[emoji851][emoji851]Muulize aliyesema mpango wa Mungu.
Hata Trump aliachiwa agombee second term, hata biden kama atakuwa uzee haujamzidia, watamwachia agombee second term,,Kila mlamba asali huchonga mzinga. Huyo keshachonga mzinga tayari!
Si u emsikia mama alivyosena kuwa wakopewa wabachotaka hawana lolote. Yaani pale kawatukana wapinzaniTatizo la CDM ni tabia yao ya kubadili gia angani kwenye mambo makubwa na ya msingi!
Alikuwa na haki kama mkuu wa mhimili kutoa maoni yake but kosa alilofanya ni kuanza tena kuomba msamaha. Pamoja na kuomba msamaha amechambwa kisawasawa. Ili afe kishujaa anatakiwa arudi tena kuongea na waandishi wa habari na kurejesha msimamo wake wa awali kabla ya kuomba msamaha na kuchambua kauli za mama ambazo zinamshushia hadhi kama mkuu wa mhimili ktk katiba, vinginevyo anakufa kisiasa kwa aibu. Of course kwa option ya kukaa kimya au kuonesha msimamo tena, atashughulikiwa ndani ya chama na kupoteza uanachama na baadaye uspika. Achague zimwi lenye nafuu.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I migh end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
Na utamaduni wetu binadamu,ukiombwa Radhi unamsitiri aliyekuomba manake unamsamehe. Ila kuendelea kumchamba na kumchambua ni kutokusamehe.Mama amehemukwa, nafikiri hii nafasi alikuwa anaisubiria kwa hamu sana na ameitendea haki....
Sasa hivi kila atakaeinua mdomo juu ya mama itaonekana ni joto la 2025, nilichofurahi Mama anawajua maadui zake.
Jamaa yetu jana ilibidi akanushe sio kuomba radhi, Sasa ameomba radhi na kichambo kapewa juu....
Mama kaita CCM nchi nzima imsaidie kumchamba Jamaa yetu[emoji23][emoji23][emoji23]
Alikomaa kuwaita waty kuwahoji kwa kutoa maoni yao sasa na yeye jambo lile lile limemtokea.Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I migh end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
ndio ccm hiyo. Komaa kimpango wako. Hawana habari.Viongozi hawawazi shinda za wananchi lakin wanawaza uchunguzi wa 2025 ni aibu sana ,vijijin hakuna umeme ,maji ,hospital na madawa,watoto wanaenda peku mashulen ,wafanya Kazi mishahara haiongezek
Jamani tuache utani Ndugai kachambwa khaa!!π π π πNa utamaduni wetu binadamu,ukiombwa Radhi unamsitiri aliyekuomba manake unamsamehe. Ila kuendelea kumchamba na kumchambua ni kutokusamehe.
Joyce Banda
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Yaani ccm kuna wakati hawana maono ya baadaye kabisa lakin inauma sanaaaaaa wachache ndo wanafaidi mungu atutangulie kuna wakati makabuli yao yatapingwa mawe kwa sababu yao na kizazi kinachokujandio ccm hiyo. Komaa kimpango wako. Hawana habari.
2024 Tukutane tubadilishe katiba Mama aendelee hadi 2040.Tukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Hakuna kosa la kufukuzwa uanachama hapo. Angekuwa mteule wa Rais, ingetosha tu kumtengua.Ki-Katiba Spika Kama anatokana na wabunge atapoteza nafasi ya uspika Kama hana sifa za kuwa mbunge. Sifa ya kuwa mbunge ni kuwa mwanachama wa Chama cha siasa! Rais ndiyo Mwenyekiti wa CCM kwa hiyo Chama kikimvua uanachama tu amekosa uspika na ubunge na hata Mafao halipwi.
Ila Ndugai ni mburula na wenzie akina Bashiru wamemtanguliza yeye naye kaingia kingi.