abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Alikomaa kuwaita waty kuwahoji kwa kutoa maoni yao sasa na yeye jambo lile lile limemtokea.
Mbwa kala mbwa
Jamani tuache utani Ndugai kachambwa khaa!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kumbe huyu mama anachamba hivi? Mie nilikua namuonaga mpolee na hana mambo mengi, mmmmmmh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya zahma lile lililomshukia mwenzao ambae ndio angalau ana the so called mhimili hakuna nyau yoyote atakaethubutu kunyoosha japo kidole tu.Kweli nimeamini. Awe mzungu muasia muafrika mchina mjapani nk kama ni mwanamke basi tabia zao zafanana. Mipasho mipasho mipasho. Je kashauriwa na wazee wa pwani au?!
Kutokana na hiyo move tusubiri wale njemba nawo watafanya nini. Wako vizuri. Bado wamejificha. Ila wataibuka muda si mrefu. Ngoma ndio inaanza kupigwa. Mbona wanatupa utamu kupunguza maumivu ya tozo na kodi!
Kipindi cha jk si ndio alikopa sana?auLuku tozo, benki tozo,miamala ya simu tozo, tumebanwa kila kona. Mfumuko wa bei upo juu, yaani kama haukujenga kipindi cha JK usahau
Tizama mtu wetu alifanya kosa la kuomba msamaha technical error. Lakini kwa vile mtu wetu nae anao muhimili wake basi autumie vizuri awashawishi wabunge wapige kura ya no confidence na serikali, bunge livunjwe uchaguzi uitishwe atakaepata apate na atakaekosa akose. Huko CCM mwanachama yoyote aruhusiwe kugombea hiyo kofia ya mfalme
Sisi ni kundi kubwa tunamkubali sana mama kuliko yule muuaji kwa sasa wasio julikana hakuna na korosho zetu hatudhurumiwi raha tuWanao Muunga mkono Mama ni hao Mawaziri wachache, na baadhi ya wana CCM njaa...
Kundi kubwa haikubaliani nae...
Hata sukari imepanda hivi karibuni tuWalionacho ndio wenzake kwa taarifa yako. Ndio maana bei za bidhaa karibu zote zimekaa tangu akabidhiwe kijiti
I am enjoying[emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787]
π€£π€£πKhaaa!!!!
Mwanachama yoyote?? Kwani unadhani anaruhusiwa yoyote tu kugombea?? Unadhani ni mambo ya sadakalawe haya??
Halafu unaongelea issue za kuwashawishi wabunge?? Wabunge wapi?? Kina Mwana FA na Babu Tale???
πππππππ
Hawa Wapinzani ndio maana sio tatizo kubwa kwa chama. Wao ni kijitatizo tu kidogo. Ikifika 2024 wakapewa "katiba mpya" basi kura zote watampigia Mama huku wakiamini 2030 mama atawaachia. Wanasahau haraka hawa.
Leo eti wamesahau na wanajifanya hawaijui nguvu ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi.
Tuwaangalie tu hawa CDE wangu
Mtu wako mwenyewe huyo mbukwenyi mbukwa apambane mwenyewe huko na uzuzu wake,alijua bunge la mama yake lile,mnyanyasaji akinyamyaswa hamna shida! hata hasiposhauriwa atautema tu mzigo mwenyewe cha msingi amepata somo muosha uoshwa!!Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I might end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
Rejea
Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu!
Wanabodi, Huu ni uzi elimishi kuhusu aina tatu za kuomba msamaha, kama zilivyo aina tatu za ndoa. Lengo la kutoa elimu hii ni kulinda heshima ya fani ya watu ambayo imetakwa kudhalilishwa kwa kusingiziwa kuwa ile video imefanyiwa maujanja kwa kuchakachuliwa ili kumchafua mtu, kitu ambacho sii...www.jamiiforums.com
Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere?
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utajibu wewe msomaji. Naomba kuanza kwa Declaration of Interest. Kwa vile mimi ni mmoja wa waandishi wa habari, tuliwahi kuitwa mbele ya Kamati ya Bunge na kusulubiwa...www.jamiiforums.com
Walipa Kodi au wakwepa kodi?!! Enzi za Jakaya hizi serikali itahangaika na wafanyabiashara wadogo kulipa Kodi, yale mapapa yanapewa tax exemption huku TRA wakichukua chao mapema.Tuliza mshono wewe, mama ni lazima awakumbatie walipa kodi wakubwa siasa za kijinga za Ujamaa zimeiua Nchi hii.
Unaanzaje kuuliza wakati ilikuwa wazi kwamba gharama za kuunganishiwa umeme ilipungua mpaka 27,000?? Ila sasa kama inarudi 320,000 lazima tuhojiMbona wakati "unakatwa" kipindi cha mwendazake hujawahi kuhoji zinakwenda wapi?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mo na Azam peke yao wanalipa Kodi kuliko Wananchi wa Mikoa 40.mapapa
Uko sahihi huyu jamaa ni jeuri na hashauriki kabisa... Imagine mtu anawaambia wabunge mimi naweza kukuzuia usiongee humu ndani for 5 yrs na huna cha kunifany
πππππ§π§π§πWewe njaa kali una stress kwa kuondokewa na nduguyo. Huna jipya.
Nabii hakupendi kwa sababu hauko mrengo wake, sasa utawezaje kumuunga mkono kwa manufaa ya taifa lililogawanyika?Wanabodi,
Hili ni bandiko la ma GT, hivyo hatutataji majina na naomba usitaje jina lolote!.
Hatua ya kwanza ni sikiliza kauli hii
Hivi hata baada ya kauli kama hii, kama wewe ni mtu mzima na akili zako timamu, bado unasubiri nini to do the right thing, the needful?.
Swali ni jee tumshauri mtu wetu, a do the needful, au akomae nao, till they do him away?.
Mimi nimemsikiliza Mama, kiukweli hajamtendea haki mtu wetu!, zile kauli kuhusu tozo, mikopo na deni la Taifa ni kauli za kizalendo na wala sio homa 2025, kwasababu kiukweli kabisa mtu wetu, hajawahi hata kuwazia 2025 kwasababu ndani ya CCM kuna a silent code ya kupokezana fulani kati ya Wakatoliki na wale jamaa zetu!.
Kwa vile alianza Mkatoliki, Juliasi akaja Jamaa zetu, Hasani, akaja Mkatoliki Benyamini Wiliamu, akaja jamaa zetu Mrisho, akafuta Yohane Yosefu, hivyo 2025 ilikuwa ni zamu ya wale jamaa zetu na Mungu ndio akawatangulizia, hivyo kusema kauli ile ya kizalendo ni homa ya 2025, huku ni kumsingizia bure tuu huyu mtu wetu!.
Kwa vile the boss is always right, ikitokea ume differ na boss wako, to the point ya bosi wako to question your intellect "mtu mzima mwenye akili timamu", the best way is to Quitt, the sooner, the better.
Namalizia kwa swali hili la msingi, baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama mtu wetu ni timamu, he shoud do the right thing, "the needful", jee tumshauri to do the right thing, "The Neeful?", before its too late, au akomae nao, mpaka kieleweje, if it is to do him away, akomae till they do him away?. The game is on again, it is not over yet until it's over.
I might end up being right again!Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Paskali
Rejea
Ndoa halali, ndoa batili na ndoa batilifu. Je, wajua pia kuna msamaha halali wa kweli, msamaha batili na msamaha batilifu? Msamaha ule ni batilifu!
Wanabodi, Huu ni uzi elimishi kuhusu aina tatu za kuomba msamaha, kama zilivyo aina tatu za ndoa. Lengo la kutoa elimu hii ni kulinda heshima ya fani ya watu ambayo imetakwa kudhalilishwa kwa kusingiziwa kuwa ile video imefanyiwa maujanja kwa kuchakachuliwa ili kumchafua mtu, kitu ambacho sii...www.jamiiforums.com
Viongozi wetu wanapofanya makosa ya wazi waishie tu kuomba msamaha kisha 'life as usual', au tujenge utamaduni wa kuwajibika kama enzi za Nyerere?
Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo huwa na swali, kisha hoja, halafu jibu utajibu wewe msomaji. Naomba kuanza kwa Declaration of Interest. Kwa vile mimi ni mmoja wa waandishi wa habari, tuliwahi kuitwa mbele ya Kamati ya Bunge na kusulubiwa...www.jamiiforums.com
Uko Sawa, ukiiangalia iyo video Kwa makini, hayo uliyoyasema yanajidhihirisha kabisa.Mama inawezekana hana taarifa za kina kuwa hana support ya kutosha ndani ya CCM na atakuja kushtuka kina Ndugai wako wengi tu wakiwemo wanaojidai kumuunga mkono leo hii kumbe wanamlia timing tu.
Kuna wataomuunga mkono kutafuta uteuzi tu na sio kwamba wako loyal kwake.