Baada ya maneno haya ya Rais Samia, kama ni timamu, je, tumshauri to do "The needful?" au akomae nao, till they do him away?

Kweli nimeamini. Awe mzungu muasia muafrika mchina mjapani nk kama ni mwanamke basi tabia zao zafanana. Mipasho mipasho mipasho. Je kashauriwa na wazee wa pwani au?!
Kutokana na hiyo move tusubiri wale njemba nawo watafanya nini. Wako vizuri. Bado wamejificha. Ila wataibuka muda si mrefu. Ngoma ndio inaanza kupigwa. Mbona wanatupa utamu kupunguza maumivu ya tozo na kodi!
 
Baada ya zahma lile lililomshukia mwenzao ambae ndio angalau ana the so called mhimili hakuna nyau yoyote atakaethubutu kunyoosha japo kidole tu.

Mtaani sio poa wewe. Kina kigwa wanasubiri tu mtu awekwe pembeni wapate kurudi, unaona watu wanavyonafikiana huko
 
Maweee hajitak
 
Nitafurahi sana Speaker akikaza mpaka mwisho. Tena ikibidi wakati wa bunge aendelee kuhoji uhalali wa tozo na mikopo mpaka kieleweke
 
😍
 
M
Mtu wako mwenyewe huyo mbukwenyi mbukwa apambane mwenyewe huko na uzuzu wake,alijua bunge la mama yake lile,mnyanyasaji akinyamyaswa hamna shida! hata hasiposhauriwa atautema tu mzigo mwenyewe cha msingi amepata somo muosha uoshwa!!
 
Tuliza mshono wewe, mama ni lazima awakumbatie walipa kodi wakubwa siasa za kijinga za Ujamaa zimeiua Nchi hii.
Walipa Kodi au wakwepa kodi?!! Enzi za Jakaya hizi serikali itahangaika na wafanyabiashara wadogo kulipa Kodi, yale mapapa yanapewa tax exemption huku TRA wakichukua chao mapema.

Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
 
Nabii hakupendi kwa sababu hauko mrengo wake, sasa utawezaje kumuunga mkono kwa manufaa ya taifa lililogawanyika?
 
Uko Sawa, ukiiangalia iyo video Kwa makini, hayo uliyoyasema yanajidhihirisha kabisa.
Makofi yalikua ni Kwa ajili ya TV tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…