WAKO WAPI WATU WAKO
JF-Expert Member
- Sep 26, 2017
- 2,373
- 3,139
Acha mama apige Kazi...Unafiki hauvumilikiTukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
sasa angesemaje ? Mwenyekiti wa CCM Samia Suluhu Hassan ni Boss wa Mjumbe wa CC ya CCM Job Ndugai na jua kiti anaweza Mnyang'anya Kadi ya Chama akaukosa Uspika na Ubunge?Unakosea sana unaposema Rais ni boss wa Spika! Unbelievable!
Naunga mkonoMtu wetu hatakiwi kufanya hicho unachotazamia kuifanya......kwa kilichoonekana ni kwamba taasisi ya u rais imelewa madaraka....na haikubali kupokea mawazo au maoni yanayokinzana na utashi wao..
Taasisi ya u rais imejaa ubabe na utemi unaojengewa kiburi na KATIBA mbovu.
Hii inaonyesha ni jinsi gani tuna mhimili dhaifu kwa kuwa serikali imetawaliwa na ubabe badala ya hoja.
Tuna watawala wanafiki wasiokubaliana na kile walicho tuhakikishia kuwa wanakiamini.
Leo kaanzisha kuunganishiwa umeme tu kutoka 27,000 mpaka laki laki kibao. Katengua mara elfu zaidi. Hapa tumepigwa mchana kweupeTukilipa LUKU tunakatwa hela ya kusambaza umeme.
Hiyo hela inaenda wapi?
Mama anakosea sana kuachana na kundi la wanyonge ambao ndiyo wengi na kuanza kukumbatia kundi la walichonacho ambao hawazidi hata millioni 3 nchi nzima
Teh teh teh, usizidi kumuumiza bibieWewe njaa kali una stress kwa kuondokewa na nduguyo. Huna jipya.
Ahhahahahah, tuendelee kuchochea kuniNaomba Mungu hiyo vita uko CCM iendelee iwe kubwa sana mpaka wafikie hatua ya kutoana uhai
This time hata wanawake wenzie hawamtaki kabisaNakumbuka fulani aliwahi kutoa kauli ya kupumzika siasa 2025, alichofanya "mwenye nchi" leo ni kuonesha yeye binafsi anavyoiwaza 2025 na ameshanogewa na cheo, ndio maana alikuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzake 2025 ni zamu yao.
Mengi ya maneno aliyotoa kumjibu mwenzake leo ni mihemko tu na kuchamba kama zilivyo tabia za wanawake wengi, lakini hana hoja yoyote ya msingi.
Kwa hii kauli yake ya leo inawezekana akaamsha vita ya chini chini ambayo hatajua ukubwa wake na miongoni mwa adui zake watakuwa hao wanaompigia vigelegele leo.
Ni kweli maana jamaa angekomaa na msimamo wake huyu mdada mzee angetenguliwa Kama zuma j wa kusiniHii conflict Kati ya executive na Bunge itufungue macho kwa hitaji la katiba mpya. Speaker kuzodolewa namna ile ni kuonesha ya kwamba Bunge letu halina nguvu. Katiba mpya inahitajika kuweka checks and balances. Tatizo ukisema katiba mpya watu wanafikiria CHADEMA basi, lakini madhara Kama haya hawayaoni.
Exactly na huu mfumo huyu ni kutukandamiza wa hali ya chiniLuku tozo, benki tozo,miamala ya simu tozo, tumebanwa kila kona. Mfumuko wa bei upo juu, yaani kama haukujenga kipindi cha JK usahau