Baada ya maridhiano kuna haja kuendele kususa na kuzira? Njooni mezani, tukae pamoja, tuwe wamoja, twende pamoja!

Baada ya maridhiano kuna haja kuendele kususa na kuzira? Njooni mezani, tukae pamoja, tuwe wamoja, twende pamoja!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
Wanabodi
Nimeona taarifa ya Mkutano huu humu Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa tarehe 3 na 4 Januari, 2024
Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama Vya Siasa_20231228_003053_0000.png.jpg

MKUTANO MAALUM WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA

Kauli Mbiu;
" TOA MAONI YAKO KUIMARISHA DEMOKRASIA "

MGENI RASMI;
Mhe. Othman Masoud Othman
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar

🗓️ Tarehe 3 na 4 Januari, 2024
📍Ukumbi wa Mikutano wa Mlimani City - Dar es salaam

#ImarishaDemokrasia
#TunzaAmani
Mkuu Venus Star , asante sana kwa taarifa, hii sio ya kukosa!,

Ila to be honest, nina wasiwasi na baadhi promo za Mkutano huu, kama baadhi ya washiriki hawa
20231228_004816_0000.png.jpg
20231228_005325_0000.png.jpg
20231228_005838_0000.png.jpg

20231228_005908_0000.png.jpg
kama kweli watashiriki mkutano huu this time, na kama walishirikishwa na kuridhia picha zao zitumike kuupromote huu mkutano, kwasababu huko nyuma, walisusaga na kuzira!.

Hawa jamaa, hawanaga mchezo mchezo, maana hawachelewi kuita press conference na kutangaza bado wamesusa, bado wamezira, na hawatashiriki!.

Swali ni licha ya maridhiano na kukubaliana kugawana nusu mkate! baada ya maridhiano na CCM, na kukubaliana kugawana Nusu Mkate, bado kuna haja ya wao kuendelea kususa na kuzira mikutano na vyama vingine?.

Baada ya kuususa ule Mkutano wa kwanza wa Dodoma, nikawaomba msisuse, Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Ila kususa kule kukawa na faida kwenu, kukazaa matunda ya maridhiano ambayo mmekubaliana kugawana nusu mkate, lakini Mkutano wa pili wa JNICC Dar es Salaam, mlisusa tena na kuzira!,

Nawaombeni sana, msiendelee kususa na kuzira, Please, hata kama mna hoja, njooni mezani, zileteni mezani, tukae pamoja, tuzijadili pamoja, tukiwa wamoja, ili twende pamoja!. Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu, kuna vitu, ili ufanikiwe, vinahitaji a team spirit na team work, hivyo you have to be a team player and it's only if you are together, you can!.

Nawatakia Mkutano Mwema!.
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
 
Wanabodi
Nimeona taarifa hii humu Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa tarehe 3 na 4 Januari, 2024

Mkuu Venus Star , asante sana kwa taarifa, hii sio ya kukosa!,

ila to be honest, nina wasiwasi na baadhi promo za Mkutano huu, kama baadhi ya wahusika walishirikishwa na kuridhia picha zao zitumike kuupromote huu mkutano wakati huko nyuma, walisusaga na kuzira!, maana hawa jamaa huwaga hawachelewi kuita press conference na kutangaza bado wamesusa, bado wamezira, licha ya maridhiano na kukubaliana kugawana nusu mkate!.

Hivyo nauliza Baada ya Maridhiano na CCM, na Kukubaliana Kugawana Nusu Mkate, Bado Kuna Haja Kuendele Kususa na Kuzira Mikutano na vyama vingine?.

Baada ya kuususa ule Mkutano wa kwanza wa Dodoma, nikawaomba msisuse,

Ila kususa kule kukawa na faida kwenu, kukazaa matunda ya maridhiano ambayo mmekubaliana kugawana nusu mkate, lakini Mkutano wa pili wa JNICC Dar es Salaam, mlisusa tena na kuzira!,

Nawaombeni sana, msiendelee kususa na kuzira, Please, hata kama mna hoja, njooni mezani, zileteni mezani, tukae pamoja, tuzijadili pamoja, tukiwa wamoja, ili twende pamoja!. Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu, kuna vitu, ili ufanikiwe, vinahitaji a team player and it's only if you are together, you can!.

Nawatakia Mkutano Mwema!.
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Pascal Mayalla huwezi kulamba uteuzi kwa kuichokonoachokonoa CHADEMA.
 
Nusu mkate upi wakati viongozi wametoka na kusema maridhiano yamevunjuka?

Jaribu kutofautisha HOJA unazotoa kama Pascal kada, na Pascal Lawyer asiyehudhuria court.
 
Wanabodi
Nimeona taarifa ya Mkutano huu humu Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa tarehe 3 na 4 Januari, 2024 View attachment 2855370

Mkuu Venus Star , asante sana kwa taarifa, hii sio ya kukosa!,

Ila to be honest, nina wasiwasi na baadhi promo za Mkutano huu, kama baadhi ya washiriki hawa
View attachment 2855372View attachment 2855373View attachment 2855374
View attachment 2855375kama kweli watashiriki mkutano huu this time, na kama walishirikishwa na kuridhia picha zao zitumike kuupromote huu mkutano, kwasababu huko nyuma, walisusaga na kuzira!.

Hawa jamaa, hawanaga mchezo mchezo, maana hawachelewi kuita press conference na kutangaza bado wamesusa, bado wamezira, na hawatashiriki!.

Swali ni licha ya maridhiano na kukubaliana kugawana nusu mkate! baada ya maridhiano na CCM, na kukubaliana kugawana Nusu Mkate, bado kuna haja ya wao kuendelea kususa na kuzira mikutano na vyama vingine?.

Baada ya kuususa ule Mkutano wa kwanza wa Dodoma, nikawaomba msisuse, Chadema, P'se, Msisusie Mkutano wa Vyama, Wasilisheni Hoja Zenu Mezani, Zitamfikia Samia, Ana Nia Njema na Nchi Hii, Mpeni Ushirikiano!.

Ila kususa kule kukawa na faida kwenu, kukazaa matunda ya maridhiano ambayo mmekubaliana kugawana nusu mkate, lakini Mkutano wa pili wa JNICC Dar es Salaam, mlisusa tena na kuzira!,

Nawaombeni sana, msiendelee kususa na kuzira, Please, hata kama mna hoja, njooni mezani, zileteni mezani, tukae pamoja, tuzijadili pamoja, tukiwa wamoja, ili twende pamoja!. Umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu, kuna vitu, ili ufanikiwe, vinahitaji a team player and it's only if you are together, you can!.

Nawatakia Mkutano Mwema!.
Mungu Ibariki Tanzania

Paskali
Wasikatae wito wakatae maneno makamanda wana niangusha sana!
 
Swali ni licha ya maridhiano na kukubaliana kugawana nusu mkate!
Mkuu Pascal Mayalla,

Kwanini wagawane Nusu Mkate? Yaaani kwanini mkate uwe Nusu halafu ndio wagawane na sio wagawane Mkate ukiwa Mzima(Whole Bread).

Hio Nusu nyingine imeenda wapi hadi wagawane Nusu iliyobaki?

Au ulimaanisha nini kwenye huo msemo wako?

Nilimsikia Lissu alisema "WATU WASIACHE KWENDA KUTOA MAONI, hata kama wanajua hayatafanyiwa kazi"
 
Siasa zetu zimeegemea kwenye tabia ya kuviziana sana, naamini hili ndio tatizo la kufa kwa maridhiano.

Hii inasababishwa na kuweka sheria pembeni kisha tunageukia ushabiki, tunaona fahari mpaka kuvunja sheria ilimradi kuwanyima wengine haki zao kwa kutafuta uungwaji mkono kisiasa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Siasa zetu zimeegemea kwenye tabia ya kuviziana sana, naamini hili ndio tatizo la kufa kwa maridhiano.

Hii inasababishwa na kuweka sheria pembeni kisha tunageukia ushabiki, tunaona fahari mpaka kuvunja sheria ilimradi kuwanyima wengine haki zao kwa kutafuta uungwaji mkono kisiasa.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sio siasa tu zilizoeegemea kwenye kuviziana karibu kila sehemu tunaviziana
 
Mkuu baada ya kuniambia ulipata ajali na mkono ukapata shida, now nimeamua kukusamehe bure sitaki nikujibu chochote nitakuwa na kuonea hata mimi nimewahi kupata ajali nikaumia lakini yako imezidi. Andika chochote kukupinga ni kukuonea.
 
Back
Top Bottom