Baada ya maridhiano kuna haja kuendele kususa na kuzira? Njooni mezani, tukae pamoja, tuwe wamoja, twende pamoja!

Kuna baadhi ya vitu tunaviandika humu jf, kwenye baadhi ya hoja, tunaonekana kama tunajiandikia tuu for nothing, it's a wastage of time, money and resources, but believe it or not, it's not nothing, it's something na mfano hai ni bandiko hili, angalia nilishauri nini na angalia matokeo Mkutano Maalum wa Baraza la vyama vya siasa na wadau wa Demokrasia, January 3, 2024

Hivyo tuendelee kuandika na kushauri, baadhi ya hoja zetu humu zinasaidia.

Jf lets keep up.
Paskali
 
Nje ya Mada.....
Picha hiyo juu ya unaweza dhania Mbowe anatoa maoni yake ya Mkutano huu, ila badala yake, anaelezea jinsi alivyodondoka kwenye ngazi(alidondoshwa😁) halafu akaambiwa asimulie alifikia ngazi ya ngapi kwenda juu. Ona mkono.

Halafu picha hii, Presidential material! Yani Unaona Halima Mdee ameulizwa ana maoni gani kuhusu Mkutano huu, naye akajieleza kwa Ufasaha.

 
Na kwa mila za kiafrika, hairuhusiwi kuongea ongea wakati wa kula, tena mbele ya wazee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…