Baada ya Masanja kutumia picha za miradi ya Lesotho kuisifia Serikali ya awamu ya tano, Msemaji wa Serikali naye kaja na upotoshaji huu

Asasi mwenyewe amekubali biashara yake iwe sehemu ya siasa kuanzia siasa za Iringa hadi za nchi nzima. Labda amejiandaa baada ya huyu anayemtumia akiondoka itakuwaje kwa biashara zake. Makosa makubwa sana kuhusisha biashara na siasa ya moja kwa moja.
Anafanya Yale anayoona yanafaida kwake.
Usimpangie mtu aliyekuzidi matumizi ya mtaji wake.
 
Mengine watajibu wenzangu. Naomba nijikite kwenye kauli ya Dr. Abbas kuhusu ASAS, kwani kakosea wapi?

Serikali ya awamu ya tano pamoja na mambo mengine imeweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji was ndani kuwekeza kwenye Sekta mbalimbali ikiwemo kilimo na mifugo. Juzi niliwaeleza kuhusu juhudi za serikali ya awamu ya tano kwenye kilimo.

Kutokana na mazingira mazuri kiwanda kimeajiri watanzania na hivyo kushiriki katika kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira nchini. Shida ya kuelewa iko wapi hapo?
 
Mkuu G Sam, kwa uelewa wako wa mambo yanavyo kwenda hapa nchini ulitegemea aseme nini juu ya mwajiri wake?

Ana watoto ana ndugu zake wanamtegemea kuwahudumia, naye anahitaji kuendelea kutanua na magari ya kifahari kwa gharama za serikali.
 
Pato kufikia TR125 na budget ya mwaka ni tofauti kumbe, kweli uchumi wa kati huu
 
Mwigulu ni mtu wa kumsamehe bure maana baada ya kupigwa chini aliishi maisha magumu sana.

Alipigwa chini bila ya kutegemea hivyo hata hakujiandaa ndiyo maana akaona turufu yake ya mwisho kunusuru maisha yake ni kujikomba hata kwa uongo.
Mwigulu Nchemba aliwahi kupost picha za Reli za Kenya na kudai ni za Tanzania.... Kuna thread nilianzisha kumkanusha
 
Matumaini yao ya kupata ushindi wa mezani yameyeyuka kama ice cube iwapo juani
Hiyo Ni serikali ya wanyonge acha wanyonge wanyongwe.

Kwa kiasi flani Kama viongozi wa juu wa serikali wamepanic nashindwa kuwaelewa wanahofu nini.

Walikua na Imani kubwa ya ushindi Ila Saiz naona imepungua.
 
Ukitaka kuishi maisha ya peponi basi sifia Kwa style yeyote Ile na utakula mema ya nchi
 
Hivi huyo jamaa ni mwenyeji wa wapi mkuu labda tuanzie hapo, inawezekana ni dodoma!
Shida ni moja kwa Abbas, yeye sio mtaalamu na wala hana uelewa wowote na mambo ya uchumi, halafu anajibu maswali ya kiuchumi kichwa kichwa.

Yaani Abbas ameonyesha ni mweupe kichwani sijawahi kuona.
 
Nikajua na ASAS nao wako Lesotho! Pumbafu kwel ww
 
Ana fanya biashara gani mkuu?
Asasi mwenyewe amekubali biashara yake iwe sehemu ya siasa kuanzia siasa za Iringa hadi za nchi nzima. Labda amejiandaa baada ya huyu anayemtumia akiondoka itakuwaje kwa biashara zake. Makosa makubwa sana kuhusisha biashara na siasa ya moja kwa moja.
 
Asasi mwenyewe amekubali biashara yake iwe sehemu ya siasa kuanzia siasa za Iringa hadi za nchi nzima. Labda amejiandaa baada ya huyu anayemtumia akiondoka itakuwaje kwa biashara zake. Makosa makubwa sana kuhusisha biashara na siasa ya moja kwa moja.
Naye anaunga mkono juhudi au CCM Mpya wamemshinikiza akubaliane wafanye kama waliyomfanyia Dillo na StarTV post 2015?Hakika hawa jamaa hawashindwi na jambo lolote(Refer wakulima wa korosho) wanasemekana wamesaidiwa ununuzi wa korosho zao kwa shangazi zao kupigwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…