Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Hawa wachungaji mbuzi ndiyo waliosema kikwete ni chaguo la Mungu, hawa akili zao hawatofautiani sana na Pengo sema mavazi tu.
 
Hawa baadae ndo wanakuja kutusumbua waumin hali ikiwa mbaya ya kiuchumi ooh hamtoi sadaka kumbe tatzo wanalianzsha wao

Safari hii dini zimeingilia. Hakika naamini sasa hawa wanaojiita watumishi ni Ushetani mtupu umewajaa. Hawana hata haya kukomaa na mambo ya siasa. Halafu wamepiga rushwa.
 
lowassa ni mafuriko,hayazuiliki kwa kiganja cha mkono......ndio chaguo letu milele,sio Jk wala NEC au CC inayoweza kumzuia,sisi wanachama hai wa ccm ndio tumeamua kumshawishi agombee urais
 
Hivi kweli tumefikia hatua hii kama Taifa.......mpk viongozi wetu wa dini nao wameingia kwenye huo mkumbo?
MUNGU ATUSAIDIE.

sifongo ndugu yangu kuna dini kweli. Lakini kuna watu siku hizi kila kukicha wanaanzisha kanisa. Sasa haooooo ndiyo haoooooo wanaofanya hayooo. Njaa mbaya watoto wanamsubiri baba mchungaji alete mboga mshahara kiduchu, mama mchungaji nae anataka aishi maisha ya juu, inabidi baba ajitose kwenye kujiuza kisiasa apate chochote kitu.
 
Masaki

UMEKOSA BUSARA - Wacha watanzania wafanye wanayo yaona ni matumaini kwao�� Wewe kama nani kusema michezo ya kuigiza na una uhakika gani wa kufanya hivyo na kama ww unajua madhubuti siri hiyo ya watanzania kutoka sehemu mbalimbali kuwa wanaigiza basi tunaomba usiongee tu bila vielelezo vya msingi kuthibitisha kauli yako ya kuwapotosha watanzania.

Nilikuwa nikidhani upo vizuri kama kijana na unauwezo mkubwa wa kuchanganyua mambo kumbe bado una siasa kauli which is always detect that, Mr. Politician we don't do drama and listening into it ,but we need and we watch Actions that can run our TZ�� , let Mr. ENL awasikilize Watanzania na afuate nia yawatanzania, sio useme ni mchezo wa kuigiza , if u thnk so then Start your Movie now any am ready to buy each episode wth any currency ��, Thank you wisely am done.

Upepo wa nchi hii unakoelekea ni kubaya ,ikiwa masheikh na wachunga kondoo wa bwana wameingia katika mtego huu nani tena wa kumtumaini kukemea maovu? Nilidhani watu kama hawa wangekuwa neutral ili wawe waamuzi wa haki kwa yale yanayoendelea nchini. Lakini haya yote ni matokeao ya harambee zilizokuwa zikiendeshwa na Lowassa misikitini na makanisani, sasa ni zamu yao kulipa fadhila.
 
Kazu butu Lowassa tupo nyuma yako baba, na tunakusubiri October ambapo hapatakuwa na wachungaji, wanafunzi wala mashekh. Furaha yetu tunataka uikate ccm vipandevipande. Kaza butu fisadi wetu, mpaka ccm ikujue kuwa wewe siyo joka la makengeza bali joka lenye macho kama paka mwitu.
 
Hofu ya Mungu hakuna tena, watu wanaangalia matumbo yao tu,
 
y January Makamba Nafasi ya Urais ni nafasi ya hadhi na heshima kubwa. Unapoiomba hupaswi kufanya michezo ya kuigiza. Huu utaratibu wa kuratibu watu, kuwasafirisha, kuwapa posho na ubwabwa waje kukuomba kugombea ni michezo ya kuigiza ambayo ni aibu kubwa.

Kila mgombea ana uwezo wa kutengeneza WATU wa kumuomba kugombea lakini wengine hatufanyi hivi kwasababu tunaheshimu nafasi tunayoiomba na tunaamini kwamba haipaswi kutafutwa kwa ulaghai na maigizo.

Ni aibu sana kutumia shida na njaa za watu kisiasa. Ni aibu sana kukusanya vijana na wazee wa watu na kuwapangia viti na mahema na kuwapa pesa halafu pesa na kuwapiga picha. Ukiona mtu anatafuta nafasi ya uongozi kwa ujanja na ulaghai ujue atatawala kwa ujanja na ulaghai.

Viongozi wanaokubalika na watu hawangaiki kupanga Viti na mahema na kuwapiga picha watu wanaowakubali.

Mgombea anayehaha na kutumia pesa nyingi kuonyesha anakubalika ukweli ni kwamba hajiamini. Kama unakubalika huwezi kuratibu makundi na kuyalipa na kuwapiga picha na kuita waandishi wa habari waje kushuhudia. Hizo ni mbinu za mfa maji.

Naamini Chama changu hakitatishwa na nguvu za maigizo. Tunataka uongozi safi unaomuogopa mungu. Tunataka uongozi wenye uadilifu na fikra mpya za kuisogeza mbele Tanzania. Tunataka viongozi watakaomaliza shida za Watanzania sio wanaozitumia shida hizo kisiasa.

Hata Mzee Makamba, pamoja na umri wake wa miaka 75, leo akiwa na pesa za kumwaga anaweza kutengeneza makundi yakamuombe kugombea Urais.

Ifike mahali katika nchi yetu tuache hii michezo. Tukiendelea na mambo haya, tunatengeneza taifa linaloendeshwa kwa propaganda tu. Watu wanaotaka kuomba nafasi ya Urais wanapaswa kuwa na ujasiri na wanapaswa kujiamini na kusema wanataka nafasi hiyo na wana fikra gani mpya bila kutumia pesa kuonyesha kwamba wanagombea kwasababu wanahitajika na watu. Uongozi thabiti na shupavu hautokani na michezo ya kuigiza.

January Makamba


Kama tatizo la MB 8 limemshinda tukimpa nchi si ndio atatuuza huyu mwehu.
 
1. Hivi huyu Lowasa ndiye yule mshirika mkuu wa Kikwete aliyeingusha nchi kiaisi hiki?

2. Hivi huyu Lowasa ndiye mshiraka mkuu wa Rostam azizi aliyeshirikiana na Lowasa katika mpango mzito wa WIZI WA EPA uliotumika kumuingiza JK madarakani?

3. Je, huyu Lowasa ndiye yule aliyesema ukipata fursa ya kukwapua, we kwapua tu. Ndiye aliyekwapua ranchi mbalimbali za serikali na kijimilikisha n.k, n.k?

Wananchi wa Tanzania tumekuwa vipofu wa namna gani?

Hii ni ngoma gani tunayoicheza? Ni kweli kuwa tuko tayari kuingiza kundi lilelile lililotufikisha hapa tulipo?

Sianamini, hii naona kama vile inawezekana Tanzania tu!

Ama kweli, tuzidi kuomba ili shida ziongezeke
 
Hana maadili ni msanii tu urais hauombwi huyo ni muigizaji tu
 
Upepo wa nchi hii unakoelekea ni kubaya ,ikiwa masheikh na wachunga kondoo wa bwana wameingia katika mtego huu nani tena wa kumtumaini kukemea maovu? Nilidhani watu kama hawa wangekuwa neutral ili wawe waamuzi wa haki kwa yale yanayoendelea nchini. Lakini haya yote ni matokeao ya harambee zilizokuwa zikiendeshwa na Lowassa misikitini na makanisani, sasa ni zamu yao kulipa fadhila.
Hakuna namna nyingine ni Lowasa tu!! Hata wewe unalijua hilo sema maslahi ndio yanakufanya uwe mnafki hapa.
 
y January Makamba Nafasi ya Urais ni nafasi ya hadhi na heshima kubwa. Unapoiomba hupaswi kufanya michezo ya kuigiza. Huu utaratibu wa kuratibu watu, kuwasafirisha, kuwapa posho na ubwabwa waje kukuomba kugombea ni michezo ya kuigiza ambayo ni aibu kubwa.

Kila mgombea ana uwezo wa kutengeneza WATU wa kumuomba kugombea lakini wengine hatufanyi hivi kwasababu tunaheshimu nafasi tunayoiomba na tunaamini kwamba haipaswi kutafutwa kwa ulaghai na maigizo.

Ni aibu sana kutumia shida na njaa za watu kisiasa. Ni aibu sana kukusanya vijana na wazee wa watu na kuwapangia viti na mahema na kuwapa pesa halafu pesa na kuwapiga picha. Ukiona mtu anatafuta nafasi ya uongozi kwa ujanja na ulaghai ujue atatawala kwa ujanja na ulaghai.

Viongozi wanaokubalika na watu hawangaiki kupanga Viti na mahema na kuwapiga picha watu wanaowakubali.

Mgombea anayehaha na kutumia pesa nyingi kuonyesha anakubalika ukweli ni kwamba hajiamini. Kama unakubalika huwezi kuratibu makundi na kuyalipa na kuwapiga picha na kuita waandishi wa habari waje kushuhudia. Hizo ni mbinu za mfa maji.

Naamini Chama changu hakitatishwa na nguvu za maigizo. Tunataka uongozi safi unaomuogopa mungu. Tunataka uongozi wenye uadilifu na fikra mpya za kuisogeza mbele Tanzania. Tunataka viongozi watakaomaliza shida za Watanzania sio wanaozitumia shida hizo kisiasa.

Hata Mzee Makamba, pamoja na umri wake wa miaka 75, leo akiwa na pesa za kumwaga anaweza kutengeneza makundi yakamuombe kugombea Urais.

Ifike mahali katika nchi yetu tuache hii michezo. Tukiendelea na mambo haya, tunatengeneza taifa linaloendeshwa kwa propaganda tu. Watu wanaotaka kuomba nafasi ya Urais wanapaswa kuwa na ujasiri na wanapaswa kujiamini na kusema wanataka nafasi hiyo na wana fikra gani mpya bila kutumia pesa kuonyesha kwamba wanagombea kwasababu wanahitajika na watu. Uongozi thabiti na shupavu hautokani na michezo ya kuigiza.

January Makamba


Labda nikuulize mheshimiwa makamba! makundi hayo yooote yangeandamana kukusihi wewe uchukue form ya kugombea urais 2015 ungetoa hilo tamko!!???
 
Mwalimu aliwahi kusema kuwa ccm dhaifu itayumbisha nchi!
ni nani ameidhoofisha ccm kiasii hiki!?
 
View attachment 237107

View attachment 237108

Leo katika Hali isiyo ya kawaida wachungaji wavamia Eneo la Area D ambapo ni Makazi ya viongozi mbali mbali wakimsaka Edward Lowassa. viongozi hao wa dini walikuwa na shauku kubwa na nyuso za furaha wakiimba nyimbo za matumaini Mapya na Edward lowassa.

Aidha misururu hio imesababisaha Ndugu Samwel Sita kusubiri kwa Muda kupisha viongozi hao kwenda kuiona nuru ya MATUMAINI. pia ilimuwia vigumu ndugu Fredric Sumaye kuwahi appointments yake na Spika wa Bunge kupisha msafara takatifu kwenda Jirani yake Edward Lowassa.

Mambo yanazidi kupamba moto kuelekea nuru ya matumaini kwa Watanzania ambao mara zote wamuonapo Edward Lowassa hupata faraja.

Wachungaji hao wametabiri na kuahidi kunena kwa vitendo, na mpaka sasa bado wanaendelea kujieleza ni nini wanacho muahidi bwana Edward Lowassa kama balozi wamuaminiye katika safari ya MATUMAINI,

Nitaendelea kukujuza.

MAAMUZI NA MATUMAINI MAPYA NA EDWARD LOWASSA 2015.

Haya sasa masheikh walikua wa Bagamoyo na wachungaji ni wa wapi? Ila msiniambie ni wa sehemu tofauti tofauti kama mabango yanavoonesha kama ni hivo nani aliwaoganize mmoja katoka Masasi mwingine Tunduma wamewasilianaje wakaenda leo na muda ule ule wote??? otherwise kuna dhehebu moja tu la kikristo kalihonga plz anaejua atujuze kwa hili.

Inawezekana hawa wamenunuliwa suti tu na tai kama wachungaji ili kuendeleza igizo, ngoja watazamaji tuendelee kusubiri movie inaishaje ila wakumbuke star hafi
 
Back
Top Bottom