Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Hili ni bonge la movie washkaji lol! anawekeza kinoma jamaa! (ukiona mtu anakimbilia ikulu, tena kwa kutoa toa vipesa pesa hivi, ...... huyo ni mtu wa kuogopwa kama ukoma. By Mwalimu JK)
 
HII MBINU ANAYOTUMIA lowasa NI MBAYA SANA TUTAKUJA ONA MADHARA YAKE IKULU NI MZIGO KWA MTU MWENYE AKILI HUWEZI KIMBILIA, LEO WANAMUIMBIA HOSANA, HAWA HAWA WATAMUIMBIA ASULIBIWE ASULIBIWE....PESA IMETAMALAKI..... IMEINGIA MPAKA PALIPOKUWA PANAAMINIKAA
 
Ul=Shy land;12237161]@ACT TANZANIA ndio mpango mzima![/QUOTE]

Umeshahama ccm
 
January....hana kitu kichwani..hata nywele hana..

Form 4.....Expelled from NECTA...kaiba paper..
then akafanya QT...!!

Form 6....Forest Hill....Div.."0"...aje ajibu hapa kama nasema uongo...!!!

Funny enough anajifanya anakusanya vitabu dunia nzima ktk Library yake...just like movie store...a purely comedian...!!!

So don't even quote him...nothing he has done tokea awe Naibu waziri...hata ktk Escrow au Bunge la katiba hakuna kitu anaweza sema au fanya...useless...!!!
hata hivyo mbona ipo wazi kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka mwenye makengeza januari ni uzao fisadi unategemeya nini!!!
 
Hao ni wachumia tumbo hakuna lolote hapo
 
Lowassa Aachwe mlisema hakubaliki sasa nchi inawaumbua mnaanza kujamba tulieni January kichwani mweupe eti awe Rais yani huruma Za Jakaya kukubeba na weupe wako unajiona obama,waalimu asilimia karibu 74 tumeamua Lowassa nyuma haturudi
Walimu wa wapi hawa asilimia karibu 74?! mbona wengine hatujashirikishwa katika hili au kikao cha kuhesabiana mlifanyia nyumbani kwake edward nini?!
 
LOOK AT THIS DRAMA, MASHEIKH, WANACHUO, WACHUNGAJI.... HOW WAMAWEZA JI ORGANIZE KABLA HAWAJAWA ORGANIZED? WANAJUAJE RATIBA YA low_wa sIR, KWAMBAA ATAKUWEPO THESE DAYS? NAONA DALILI ZA WATU KUPUNGUZA IMANI KWA MAKUNDI YOTE YANAYOTUMIKA KUFANYA MICHEZO HII... KWA IMANI YANGU MUNGU HATA KAA KIMYA JUU YA HAWA LAZIMA AISHUSHE GHADHABU YAKE.. KWA UBATILI WANAOUFANYA KWA UOVU WA UFISADI NA KUCHIKIZA... HAKIKA MUNGU ANAWACHUNGULIA TOKA MBINGUNI, KWA KUWA HAKUNA MMOJA KATI YAO MWENYE MAARIFA ATAWAPITILIZA WAO NA VIZAZI VYAO, HUWEZI KUIGIZA KWENYE MAMBO AMBAYO NI SERIOUS
 
Nauliza tu naona busega, bariadi, sengerema, masasi, arumeru, chato nani aliyewaorganize au ndo nyota ya mashariki kama mamajusi kwenye bible. Movie tamu hii maana sterling anakaribia kufa
Haa ha ha...hakuna aliyewakusanya..imetokea tu wote tuka mikoa tofauti wamegonga leo kwa Lowassa.

Kweli wanatufanya machizi.Hii movie mwisho wake ni kifo cha Sterling.
 
Duh hawa wachungaji mbona wametoka pande tofauti za nchi na wamekutana kwa Lowassa kwa wakati moja?

Naona nyota ya mashariki imewaongoza!!

"MFALME AMEZALIWA WAPI? NIELEKEZENI NAMI NIPATE KUMSUJUDIA"

Hii nchi iko hoi kwa sarakasi
 
We Baba Mungu, uturehemu na hizi harakati za kilaghai zinazofanywa na Wanasiasa wetu na wanaojifanya Watumishi wa aina hii wanaojiita Watumishi wako wakati ni Watumishi wa matumbo yao.

Vv
 
Hivi kweli tumefikia hatua hii kama Taifa.......mpk viongozi wetu wa dini nao wameingia kwenye huo mkumbo?
MUNGU ATUSAIDIE.

Njaa ya akili na tumbo mbaya sana ndugu yangu. Watanzania wa Enzi Za kikwete wamekuwa wajanja wajanja mi nasema kila wakati jamii hii ya Tanzania inahitaji research Za ki mataifa make wanatishia ustawi. Kila mtu ni njaa na ujanja ujanja
 
Back
Top Bottom