Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Elections 2015 Baada ya Masheikh wa Bagamoyo, Wachungaji wamzamia Edward Lowassa kumuomba kugombea Urais

Hivi kweli tumefikia hatua hii kama Taifa.......mpk viongozi wetu wa dini nao wameingia kwenye huo mkumbo?
MUNGU ATUSAIDIE.

Njaa yao tu. Mimi nadhani umefika wakati tunatakiwa kuwa na mashaka na hekima zao
 
CCM kwanini mnamuogopa Lowasa? Halafu cha kuwasaidia tu ni kwamba hatagombea kupitia ccm na ndio maana mikwara yenu hao. Yeye na zitto ni wasaliti wazuri tu ambao walianzisha chama wakiwa ndani ya vyama vyao (CCM & CHADEMA). Ni suala la muda kila rangi ya wasaliti itaonekana.
 
attachment.php


Duh kweli nimeamini njaa mbaya nilidhani hii kitu ipo kwa masheikh kumbe mpaka wachungaji pepo la njaa limewavaa.
 
Hawa wachungaji toka kona zote za nchi ni lini walikutana wakaafikiana kuwa mgombea anayefaa ni huyo! Hii ni zaidi ya usanii, ni hatari sana. Vyombo vya usalama viamke.

Kesho nasikia ni zamu ya wana jf kwenda kwa EL
 
eliminate na terminate ina maana moja au tofauti,nataka kuandika post kuhusu haya maneno,sasa mi kwenye english sio mkali kabisa msaada!!
 
Z


Bado kidogo tutasikia watoto wa chekechea wamchangia fedha Lowassa.Huyu Laigwanani ni msani haswa kaamua kuifanyia kazi shahada yake ya mlimani.
 
aishangazi, kinachendelea sasa ni mavuno. kupanda alipanda wakati anatoa misaada makanisani
 
Labda nikuulize mheshimiwa makamba! makundi hayo yooote yangeandamana kukusihi wewe uchukue form ya kugombea urais 2015 ungetoa hilo tamko!!???
Wakati wasanii wa CCM wakiwa busy na maigizo ya kilaghai mi nadhani ukawa na opposition kwa ujumla wajiweke thaniti hata kwa udhaufu huu wa maigizo ya CCM wakikosa nafasi hii basi
 
attachment.php


Duh kweli nimeamini njaa mbaya nilidhani hii kitu ipo kwa masheikh kumbe mpaka wachungaji pepo la njaa limewavaa.

Enzi za Manenge na mandawa zimerudi kwa kasi ya ajabu. Wachungaji wana umelo mkali. Si unaona kwenye tv mchungaji anahubiri huku anatuzwa pesa kama kwenye kibao kata.Ee Mungu tunusuru. Huwa najiuliza hawa wachungaji kuvaa koti au makoti ndiyo uchungaji? Mwengine nimemuona leo kavaa koti na kaua kananing'inia kwenye kamfuko kadogo ka koti. Daaa kazi kweli kweli
 
Mimi si shabiki wa vyama japo nakubali utendaji wa lowassa licha ya kashfa inayomkabili. Ila katika hili napata wasiwasi either limeratibiwa na maadui wa lowassa ili kumharibia au limepangwa na wapambe wa lowassa kuinyesha ccm na umma kwa ujumla kuwa hakuna mtu anayekubalika kama lowassa. Kukubalika kwa watu siyo kosa lakini kwanini watu waonyeshe hisia zao mapema kiasi hicho? Kwanini wagharamikie mtu mwenye uwezo wa kifedha kama lowassa? Wanategemea tu utendaji kazi wake baada ya kupata huo uraisi au wana kitu wanataka walipwe? Nahisi hata Mh. Lowassa anapaswa kujiuliza na kutafakari upya ukizingatia hao watu siyo wana ccm kutoka halimashauri kuu ambayo inaweza kumpitisha kupeperusha bendera ya ccm 2015. Isije ikawa wanampigia mbuzi gitaa ili acheze.
 
LOOK AT THIS DRAMA, MASHEIKH, WANACHUO, WACHUNGAJI.... HOW WAMAWEZA JI ORGANIZE KABLA HAWAJAWA ORGANIZED? WANAJUAJE RATIBA YA low_wa sIR, KWAMBAA ATAKUWEPO THESE DAYS? NAONA DALILI ZA WATU KUPUNGUZA IMANI KWA MAKUNDI YOTE YANAYOTUMIKA KUFANYA MICHEZO HII... KWA IMANI YANGU MUNGU HATA KAA KIMYA JUU YA HAWA LAZIMA AISHUSHE GHADHABU YAKE.. KWA UBATILI WANAOUFANYA KWA UOVU WA UFISADI NA KUCHIKIZA... HAKIKA MUNGU ANAWACHUNGULIA TOKA MBINGUNI, KWA KUWA HAKUNA MMOJA KATI YAO MWENYE MAARIFA ATAWAPITILIZA WAO NA VIZAZI VYAO, HUWEZI KUIGIZA KWENYE MAMBO AMBAYO NI SERIOUS
We umelewa gongo sasa kwani kuwa organised ni kosa inshu ni utashi kama watu wanakwenda hija kwa Mungu wanakua organised sembuse kwa ngoyai chupi zitawabana mwaka huu
 
Chupi zinawabana mahasimu mnawaza matumbo yatakula nini maana mmasai harembi katika kazi za uma
 
Haki ya nani kama ningemuona ama kujulishwa kuwa Padre wangu kaenda huko siku hiyo hiyo ningeacha kusali

Khaaaaaaaa... Hawa ni wachungaji au wasakatonge...!!!!

BACK TANGANYIKA
 
Hahahaha imekua fashion so wana JF jumamoc ijayo ni zamu yetu kwenda area D naomba tuorganise mapema week hii tupate ratiba kamili kwamba tunakutana saa ngapi pale area D na sisi tumshawishi zaidi mzee ENL zingatio ni kwamba wote tunaenda kama wanaJf wa mikoani kateni ticket mapema weka itakadi za chama pembeni tuweni pamoja watu wa CDM..CUF..NCCR..TLP na hata ACT nitakua mstar wa mbele na bango langu naliandika "KUTOKA JF DODOMA MPAKA IKULU"
 
Back
Top Bottom