masumbuko dogo
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 456
- 118
Wee... !!!Weee...!!!!Weee!!!!hayo yatakuwa ni maandamano tofauti kabisa na ya masheikh,wana UDOM nk.Si ajabu ukasikia Champion wa kuzuia maandamano kahamia DOM kikazi kwa muda.Wanajamii musijaribu atawaumiza na hivyo vi simu vyenu.