Wapo nyumbani kwa Lowasa wakimshawishi achukue fomu ya kugombea urais wa JMT..
View attachment 237151
Sasa sijui upepo wa huyu jamaa mtauzuiaje..
Point of correction: Ni viongozi wa dini toka sehemu mbalimbali hapa Tanzania..
cc: Moderator
chama cha juzi tu lakini ulvivyokishobokea.....@ACT TANZANIA ndio mpango mzima!
Pesa za ufisadi zinafanya kazi. Waache waigize tu. Rais wa Tanzania hapatikani kwa njia za maigizo
hata hivyo mbona ipo wazi kuwa mtoto wa nyoka ni nyoka mwenye makengeza januari ni uzao fisadi unategemeya nini!!!January....hana kitu kichwani..hata nywele hana..
Form 4.....Expelled from NECTA...kaiba paper..
then akafanya QT...!!
Form 6....Forest Hill....Div.."0"...aje ajibu hapa kama nasema uongo...!!!
Funny enough anajifanya anakusanya vitabu dunia nzima ktk Library yake...just like movie store...a purely comedian...!!!
So don't even quote him...nothing he has done tokea awe Naibu waziri...hata ktk Escrow au Bunge la katiba hakuna kitu anaweza sema au fanya...useless...!!!
Walimu wa wapi hawa asilimia karibu 74?! mbona wengine hatujashirikishwa katika hili au kikao cha kuhesabiana mlifanyia nyumbani kwake edward nini?!Lowassa Aachwe mlisema hakubaliki sasa nchi inawaumbua mnaanza kujamba tulieni January kichwani mweupe eti awe Rais yani huruma Za Jakaya kukubeba na weupe wako unajiona obama,waalimu asilimia karibu 74 tumeamua Lowassa nyuma haturudi
Haa ha ha...hakuna aliyewakusanya..imetokea tu wote tuka mikoa tofauti wamegonga leo kwa Lowassa.Nauliza tu naona busega, bariadi, sengerema, masasi, arumeru, chato nani aliyewaorganize au ndo nyota ya mashariki kama mamajusi kwenye bible. Movie tamu hii maana sterling anakaribia kufa
Ni kweli viongozi wa dini au watu wameigiza kwa kuvaa mavazi ya kikasisi/ kichungaji?!
Hivi kweli tumefikia hatua hii kama Taifa.......mpk viongozi wetu wa dini nao wameingia kwenye huo mkumbo?
MUNGU ATUSAIDIE.