Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Baada ya Master J kumkejeli Ali Kiba kuwa ni mbana pua, Ali Kiba ajibu mapigo

Overrated producer

Rose Muhando album ya kwanza, Twanga Pepeta, hadi Kijitonyama choir "Hakuna Mungu kama Wewe".. Hapo hujaigusa catalogue yake ya Bongo flava

Brother, jamaa ni smart na ana exposure.

Wewe naona ni Ali Kiba Fan ndio maana umeichukulia personal. Master Jay yawezekana kakosea mara nyingi but huwezi ondoa impact yake kwenye muziki wa Tanzania.. He is one of the best if not the best versatile producer ashawahi kanyaga bongo hii
Hamna kitu hapo. Overrated
 
Ali kiba sio level za bien.

Harmonizer tu mtu wa vimelody na ujanja kampindua Ije kuwa bien anaeimbia tumboni?

Bro kiba bien humuwezi katu, we wabanie pua wabongo ila mziki ni zaidi ya kubana pua
Alikiba amechoka kudharauliwa
 
Dawa nzuri ilikuwa ni kutomjibu na aachie single
 
Nilianza kupata mashaka na uwezo wa MJ kwenye Muziki baada ya kuona anavyohukumu wa BSS.

Siku anahojiwa na kujua kuwa alifundishwa production na mwamba tu magetoni akiwa anasoma ndo nikaamini kile nilichokuwa nahisi.

Kwa level yake kuna namna ambayo anapaswa kuzungumza. Aheshimu juhudi za watu maana watu wakianza kuzungumzia uwezo wake naamini atarusha ngumi.
 
Screenshot_20250304-230326_1741118668970.jpg
 
Kikubwa ni kujikubali tu, kama T-pain mbona alitamba sana na auto-tune hadi ikawa vocal style yake? , Ali kiba angemzungumza MJ kimuziki, angemshambulia zaidi kwa kumshusha kwa kumshindanisha na legends wenzie kama Majani chini ya Bongo records ingepelekea mjadala kuwa mkali zaidi..

Lakini kumuita upinde inaonekana si kweli na hai make sense... hapo MJ kamshinda Kiba...
 
Back
Top Bottom