Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Nimeweka zindiko kali sanaKwanini niushindwe kwani kwenye huo mzigo umeweka nini?
Ukiumwa unakuwa kapole kenyewe ila ukipona unaanza kujiona mgumuJamani, utauweza huu mzigo mzito uliomshinda Genius Man?
🤣🤣🤣Ukiumwa unakuwa kapole kenyewe ila ukipona unaanza kujiona mgumu
Huna lolote wewe ni laini🤣🤣🤣
Acha zako mahi wangu.
Sasa unataka mgonjwa nianze kuhangaika kama vile niko mzima?
Mie ugumu uko pale pale
Bi dentamolHapana walikua hawafahamian kabisa kamfaham baada ya kuja kunitembelea ..kaolewa anawatoto 2
Jaribu uoneHuna lolote wewe ni laini
Haya njooJaribu uone
Kiufupi hiyo ni dhambi ambayo hata kwa Muumba inaongelekamna mitazamo yenu kuhusu punyeto lakini kubalini kwamba ni bora hivyo kuliko angetoka nje na yeye.
halafu punyeto ni kauhuni kadogo tu kareja reja.
Tatizo ni yeye mwenyewe.Siipendi hii tabia, lakini nashindwa kuiacha
wanasema ukiyajua matatizo yako bàsi unaenda kupona. Lakini kwangu ni tofauti mimi ni mama wa watoto 2, baba wawili tofauti... Ninatatizo sijui linatokana na nini na ni hali ambayo kwa sasa nimegundua ninatatizo na najichukia lkn siwezi kujicontrol 2013 niliolewa na kijana mzuri anakazi nzuri...www.jamiiforums.com
🙏 Barikiwa sana mkuu,ngoja tumshauri kidogoTatizo ni yeye mwenyewe.
To yeye Mwanamke wa mithali 31 Lamomy Numbisa kapitieni huo uzi wake halafu mumshauri tena.
Heee kumbeTatizo ni yeye mwenyewe.
To yeye Mwanamke wa mithali 31 Lamomy Numbisa kapitieni huo uzi wake halafu mumshauri tena.
Njoo PmHaya njoo
msameheNi Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....
Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...
Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..