Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Watu hawajua kwamba ,hapa duniani hakuna mtu atakayekupa furaha isipokuwa wewe mwenyewe. Unaishi kwa mateso kwa sababu sababu ya kiumbe ambaye ameamua kwa maksudi kukusaliti.
Kazi kwelikweli.
Inashangaza sana...nakumbuka Mimi jamii ilinishangaa sana kukimbia my brutal marriage lakini sikuangaika nao ...nilitazama wanangu na mama angu,nikaelewa hawa hawatokuwa salama Mimi nikifa
 
Namshangaa. Ngoja afe kwa stress. Watakaoumia ni watoto wake ,wazazi na ndugu zake. Hao wengine siku unazikwa baada ya wiki wanakusahau, na huyo mume anavuta kifaa kingine chap.
Hivyo yaan,Kuna dada mmoja alikuwa kwenye ndoa miaka 8 ya uvumilivu na sababu ilikuwa ni kukosa mtoto... mwisho wa siku mume akachoka kuongea kwa mdomo akaamua kuhamia nje mazima...yule dada stress wiki moja tu tukazika
 
Inashangaza sana...nakumbuka Mimi jamii ilinishangaa sana kukimbia my brutal marriage lakini sikuangaika nao ...nilitazama wanangu na mama angu,nikaelewa hawa hawatokuwa salama Mimi nikifa
Tatizo tunategemea watu wengine watupe furaha. Mume au mke sio ndugu yako. Ukifa leo,unafutika kwenye kumbukumbu zao.
 
Hivyo yaan,Kuna dada mmoja alikuwa kwenye ndoa miaka 8 ya uvumilivu na sababu ilikuwa ni kukosa mtoto... mwisho wa siku mume akachoka kuongea kwa mdomo akaamua kuhamia nje mazima...yule dada stress wiki moja tu tukazika
Kuna rafiki yetu amekuwa chiz kabisa sababu ya stress za ndoa. Alifikia hatua ya kufungwa kamba . Alilizwa Muhimbili na sasa hivi anatumia dawa.
Kazi kwelikweli
 
mashem shem wamamalizanaga eee, ina maana mambo yamebadilika hamna hofu tena kama huyu ni mke wa rafiki yangu au mume wa rafiki yangu? sasa dada ameolewa na ana watoto wawili naye mwamba kaoa na mtoto mmoja hapo unatafuta nini? mwanamke angekuwa hajaolewa labda hapo unaweza pata sababu

Hawa watoto wa siku hizi wanasema, hainaga ushemeji tunakulaga
 
Kuna rafiki yetu amekuwa chiz kabisa sababu ya stress za ndoa. Alifikia hatua ya kufungwa kamba . Alilizwa Muhimbili na sasa hivi anatumia dawa.
Kazi kwelikweli
Hapana,hatustahili kufikia hapo kiukweli
 
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....

Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...

Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka

Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Ukipata wasaa sikiliza ujumbe huu toka kwa mtumishi wa Mungu...Imani ya kuachilia machungu moyoni. Natumai itakusaidia.


View: https://www.youtube.com/live/rQbJSVBR5Lc?si=Z4ghqDwQFHSetYNq
 
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....

Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...

Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka

Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
SAmehe 7 mara 70
 
Mkuu Bi dentamol
Kwanza pole sana kwa maumivu na changamoto ulizozipitia kwenye ndoa yako.
Ninachokuomba jipe muda, na muda huponya majeraha (Time heals wound). Hakuna binadamu asiyekosea tena ni bora wewe umejua nini kilikuwa chanzo cha hayo yote, na Mumeo kakuomba msamaha, msamehe tu na maisha acha yaendelee.
Ushauri mwingi uliopewa humu ni wa kitoto sana ama ni wale wa watu wanaotamani ndoa na hawaipati kwa hiyo wametoa ushauri tu ili mradi.

Nakushauri samehe, jipe muda, zungumza na mumeo kwa kirefu natumaini hilo fukuto lililo kukaa rohoni litaisha na utakuwa na furaha tena.

Ni mtihani huo na tayari umeshaufaulu, usithubutu kuachana na Mumeo hizi ndoa zina mambo ya ajabu sana tena bora wewe umeshitukia na tayari mambo mmeshayazungumza.
 
Ondoka hapo utakuja kutuulia mlipa kodi wetu tukose kodi.
 
Your mind is everything to recover your everything.

Kisaikolojia kuna kitu ushatengeneza akilini mwako hata kama utamsamehe lakini ile deep trust It's erased.

Kusamehe hua haiondoi maumivu labda upoteze kumbukumbu.

Before sijakushauri, naomba nijue wewe mpaka sahivi wazo lipi limechukua asilimia kubwa akilini mwako kati ya "Unamsamehe" na "Humsamehi"?
 
Back
Top Bottom