Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Pole sana kwa unayopitia.
Machozi yanayokuja katikati ya tendo ni ishara kwamba kuna sehemu ya moyo wako bado haijapona. Sawa kabisa kulia ni sehemu ya kuachilia maumivu.

Jitunze na ujipende mwenyewe kwanza (self-care)
Fanya vitu vinavyokufurahisha au vinavyokupa utulivu wa moyo vaa vizuri pendeza vaa na usuke fashion pia inasaidia.

Usilazimishe kusamehe haraka
Kusamehe si jambo la ghafla, ni mchakato. Pia, kusamehe haimaanishi kwamba unasahau aliyotenda au kurudisha hali kama ilivyokuwa. Inaweza kuchukua muda mrefu, na hiyo ni sawa.

Chukua muda wa kutafakari maisha yako ya mbele. Je, bado unataka kuendelea na ndoa au lah.. Unajiona ukipata furaha tena ndani ya ndoa yenu?

Kumbuka kuwa Afya yako ya akili ni ya muhimu sana, na unastahili amani na furaha, hata kama itabidi kuchukua muda.
Yes machozi yanatoka sababu unaumia...ebu fikiria kila unachofanya mume anakurecord anatuma........unajiuliza ninakasoro gan mpaka kufanyiwa haya maumivu acheni tu
 
Unajikaza nini huku hupendi,si uondoke.
By the way tunauza mikaa na dawa za panya kwa bei ya jumla.
Hatutoi ushauri.
 
Yes machozi yanatoka sababu unaumia...ebu fikiria kila unachofanya mume anakurecord anatuma........unajiuliza ninakasoro gan mpaka kufanyiwa haya maumivu acheni tu
Basi jipende sana sana jipe kipao mbele..
Utaniambia!
 
Kama unaona huwezi kabisa kusamehe jiondokee, maisha ni mafupi sana kuendelea kukaa na mtu anaekukosesha amani.
 
Ndo nilichoka apo au jamaa didi😂
Inaonekana jamaa ndio zake, ni community p*nnis. Na dada inaonekana alijua mapema, bado akakimbilia ndoa, bora mume..sasa analia peke yake. Mpeni ushauri
 
Tunamiaka 6 ya kuishi kiukweli tumewekeza ninamiaka 38 kweli niondoke nikaanze wapi? hapo ndio nawaza tu
Usiondoke plz muda huu ni wakati wako wa ku enjoy ur self angalia v2 vitakavyo kupa raha mfano watoto wako Toka nao out pendelea v2 vitakavyo kupa amani ya moyo mdogo mdogo utakuwa sawa
 
Kama huwezi kusamehe ondoka,kwani umepigiliwa misumari hapo mbona unakuwa kinganganizi hivyo
Mkuu umekosea sana kushauri hivyo.

Hakuna popote, iwe mabaraza ya usuluhishi kwa 'mwenyekiti', ya kata ama mahakamani utasikia mtu anawashauri wanandoa 'ondoka' kwa urahisi namna hiyo.

Wadhani hiyo 'ondoka' mhusika haifahamu, kwa nini mpaka sasa yupo na wanaendelea na maisha?

Kwa nini anatafuta ushauri badala ya kujichukulia maamuzi?

Nadhani kwa kuwa sote tunaelekea kuwa ni wazee, yanapokuja kwako mashauri yahusuyo ndoa, yakupasa ureflex brain yako sawasawa, wanasema kukaza fuvu ili uweze kutoa maamuzi ama ushauri usioumiza ama kuegemea upande na kuonesha mapungufu yako.

Masuala ya ndoa hayatakiwi kushauri kwa kutumia malezo ya upande mmoja.

Huyo 'mtuhumiwa' ilitakiwa naye tumsikilize ndiyo tueweze kutoa ushauri wa maana.

Vinginevyo haiwezekani, ni kupoteza tu muda.
 
Inaonekana jamaa ndio zake, ni community p*nnis. Na dada inaonekana alijua mapema, bado akakimbilia ndoa, bora mume..sasa analia peke yake. Mpeni ushauri
At age ya 38 km alivyo sema mwenyewe sometimes ni ngumu kuwa nje ya game mana mawili abaki single mother wa kulea viben ten au akawe mchepuko wa mtu mwingine mwenye ndoa yake kitu ambacho kinaweza kuwa sio kizuri kwa USITAWI WA genye yake abaki apo apo 😂 Kwa mwanamke 38 upwiruuu ni mwingi
 
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....

Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...

Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka

Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Pole sana. Punyeto siyo nzuri.
 
Back
Top Bottom