Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Huyo mumeo ni mshenzi wa tabia na ni mdhaifu mno hata hivyo una moyo sana kuendelea kuwa nae.

Kingine rafiki na mahusiano yako ni vitu ambavyo havipaswi kuchangamana, binafsi huwa sitak mazoea kabisa na mashem shem maana najua balaa lake.
 
Hapana walikua hawafahamian kabisa kamfaham baada ya kuja kunitembelea ..kaolewa anawatoto 2
Kama Una 38 yrs na tayari umezaa na mmewekeza na huyo mwanaume

Jaribu kumpima katika mambo mengine Kama yupo imara kama kulea familia n.k

Simaaninishi uvumilie mabaya Ila usikirupuke kumuacha huyo Mme wake bahati nzuri umesema kuwa aliomba msamaha so msamehe na ufanye detachment
 
Huyo mumeo ni mshenzi wa tabia na ni mdhaifu mno hata hivyo una moyo sana kuendelea kuwa nae.

Kingine rafiki na mahusiano yako ni vitu ambavyo havipaswi kuchangamana, binafsi huwa sitak mazoea kabisa na mashem shem maana najua balaa lake.
mashem shem wamamalizanaga eee, ina maana mambo yamebadilika hamna hofu tena kama huyu ni mke wa rafiki yangu au mume wa rafiki yangu? sasa dada ameolewa na ana watoto wawili naye mwamba kaoa na mtoto mmoja hapo unatafuta nini? mwanamke angekuwa hajaolewa labda hapo unaweza pata sababu
 
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....

Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...

Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka

Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Relax baby, tafuta sehemu nzuri katulie kidogo hata Zanzibar akili itakaa sawa tu.
 
20240917_130312.jpg
 
Umejiuliza Kwa nini aliamua kutembea na rafiki yako??Huwa kuna Amani ndani ya nyumbà yenu???
Huyo mmeo aliwahi kukugusia mambo asiyoyapenda kwako??
Kabla rafiki yako hajaingia ktk maisha yenu ya ndoa mmeo alikuwa anakufurahia kitandani?? Alikuwa ana interval ya MDA gani kurudia sex na wewe???
Kutokana na uzoefu wangu mwanamke anaechezea utamu wake Kwa mikono huulegeza na kufanya kisimi kuwa kirefu hivyo kuharibu muonekano wa Hilo ua zuri la asili,,, kingine mikono hujenga usugu ambao mwanaume anaweza kuuona uchi wa baridi mwanzoni na lile joto huja baada ya kusugua kwa mda,,,kwa hio wanawake wenye usugu mkubwa ndio wale wanafanya mwanaume anywe alkasusi au energy iliochanganyika ili aweze kumshughulikia mwanamke aliekuwa na ubaridi na usugu..Siamini kama kuna mwanaume aliekamilika atalala usingizi amuache mwanamke anaeutaka mwenyewe...Mimi hata niwe ninaumwa akiutaka ataupata tu homa ikae pembeni...
Sitakuuliza kuhusu dini,,ila nitakuuliza hivi unaijua kwamba picha video za ñgono ni Ibada inayoweza kukuletea mikosi ndani??

Unajua kuna video nyingine characters waliopaticipate sio watu???

Ukiniuliza mimi nitakuambia tatizo unalo wewe ndani ya moyo wako na sikutishi litaathiri hata kwenye kipato chako.Ndoa kipato na afya yako...Unatakiwa uanze kutafuta solution ya porn na masturbation...Hao ni maadui zako na ni illusionary comfort zone.
 
inaonekana wewe ndio ulijilazimisha kwa mr,haiwezakani mtu n msaliti halafu unaendelea kumvumilia hadi akutie kisu ndio utaelewa.
kama hamjapata watoto,please move on don't force yourself to commit suicide mission...
 
mashem shem wamamalizanaga eee, ina maana mambo yamebadilika hamna hofu tena kama huyu ni mke wa rafiki yangu au mume wa rafiki yangu? sasa dada ameolewa na ana watoto wawili naye mwamba kaoa na mtoto mmoja hapo unatafuta nini? mwanamke angekuwa hajaolewa labda hapo unaweza pata sababu
Binafsi hapana sio kwamba ni mhuni NO ila nayaepuka yanayoepukika kulinda ukaribu na undugu wetu. Mimi namba za mashemeji sinaga na sizitak nw hata rafiki au ndugu akinitafuta kwa namba ya shemeji hata akiniambia sisevu acha ibaki ikihang.

Mashem wengine wana tabia zao za hovyo hovyo, shem anakupiga kizinga hovyo hovyo mwsho wa siku ni nini?
 
Binafsi hapana sio kwamba ni mhuni NO ila nayaepuka yanayoepukika kulinda ukaribu na undugu wetu. Mimi namba za mashemeji sinaga na sizitak nw hata rafiki au ndugu akinitafuta kwa namba ya shemeji hata akiniambia sisevu acha ibaki ikihang.

Mashem wengine wana tabia zao za hovyo hovyo, shem anakupiga kizinga hovyo hovyo mwsho wa siku ni nini?
Dah! hivi ukila mdogo wa mke wako au dada yake, na wao wanakuja kumsalimia ndugu yao kumbe wanafuata mhogo kah hii inatia ukakasi sana
 
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Njoo PM Mimi dawa ninayo itakuponya ndani ya muda mfupi sana ila siwezi kuiweka hapa wahi PM zimebakia chache sana
 
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....

Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...

Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka

Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..

Mpaka hapo nimesoma naona labda huwezi mridhisha mume wako, au una masharti mengi katika maisha yako yanayomkwaza mumeo au kuna mambo fulani yanamfanya mumeo akukimbie kimapenzi, jua vyote, la sivyo atamrudia rafiki yako na hutakaa ujue tena
 
Back
Top Bottom