Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Umekuja kuomba ushauri huku....heeee kwa wanaume wenzieee tena wanaona kawaida ila ingekua ni wewe umefanya wote wangesema muache
 
Nilikwambia Kapeace wanawake hata mjue mume anachepuka ni ngumu sana kuwaacha waume zenu
Sio wote tuna uoga huo budaa, kwanza kujichua mbele yake ili iwe nini wakati mijulubeng ipo!!! Halafu ni suala la muda tu hiyo kulia katikati ya game ni mbaya mno na very soon kuna kijana wa ovyo atajipakulia minyama,
 
Huyo mumeo ni mshenzi wa tabia na ni mdhaifu mno hata hivyo una moyo sana kuendelea kuwa nae.

Kingine rafiki na mahusiano yako ni vitu ambavyo havipaswi kuchangamana, binafsi huwa sitak mazoea kabisa na mashem shem maana najua balaa lake.
Kumbe na ushauri unatoa
 
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....

Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...

Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka

Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Pole sana kwa unayopitia.
Machozi yanayokuja katikati ya tendo ni ishara kwamba kuna sehemu ya moyo wako bado haijapona. Sawa kabisa kulia ni sehemu ya kuachilia maumivu.

Jitunze na ujipende mwenyewe kwanza (self-care)
Fanya vitu vinavyokufurahisha au vinavyokupa utulivu wa moyo vaa vizuri pendeza vaa na usuke fashion pia inasaidia.

Usilazimishe kusamehe haraka
Kusamehe si jambo la ghafla, ni mchakato. Pia, kusamehe haimaanishi kwamba unasahau aliyotenda au kurudisha hali kama ilivyokuwa. Inaweza kuchukua muda mrefu, na hiyo ni sawa.

Chukua muda wa kutafakari maisha yako ya mbele. Je, bado unataka kuendelea na ndoa au lah.. Unajiona ukipata furaha tena ndani ya ndoa yenu?

Kumbuka kuwa Afya yako ya akili ni ya muhimu sana, na unastahili amani na furaha, hata kama itabidi kuchukua muda.
 
Back
Top Bottom