Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
Utanichoma na gunia la mkaa wiki ya kwanza kabisaNakupenda nikuoe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanichoma na gunia la mkaa wiki ya kwanza kabisaNakupenda nikuoe
Ahaha siwezi kabisa fanya ivyoUtanichoma na gunia la mkaa wiki ya kwanza kabisa
Sio wote tuna uoga huo budaa, kwanza kujichua mbele yake ili iwe nini wakati mijulubeng ipo!!! Halafu ni suala la muda tu hiyo kulia katikati ya game ni mbaya mno na very soon kuna kijana wa ovyo atajipakulia minyama,Nilikwambia Kapeace wanawake hata mjue mume anachepuka ni ngumu sana kuwaacha waume zenu
Kumbe na ushauri unatoaHuyo mumeo ni mshenzi wa tabia na ni mdhaifu mno hata hivyo una moyo sana kuendelea kuwa nae.
Kingine rafiki na mahusiano yako ni vitu ambavyo havipaswi kuchangamana, binafsi huwa sitak mazoea kabisa na mashem shem maana najua balaa lake.
Dada ule uzi wako wa kujichukulia sheria ya mkononi siuoni umeenda wapi?Mi nashangaa wanaofia ndoa,sijui hawawaonei huruma wazazi wao🤔
Wamepita nao🥴Dada ule uzi wako wa kujichulia sheria ya mkononi siuoni umeenda wapi?
Wana wivu hawa, mi nimefungua navuta juice nisome taratibu nakutana na ujumbe "Kumradhi...."Wamepita nao🥴
Pole sana kwa unayopitia.Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....
Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...
Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
usinichukulie poa utayatimba shauri yakoKumbe na ushauri unatoa
naomba unioe bas😌usinichukulie poa utayatimba shauri yako
Nitakuoa jukwaani?naomba unioe bas😌
Daaah nshakataliwa😢🚶🏾♀️,,tuendelee kumshauri mwenzetu tuNitakuoa jukwaani?
Upo wapi?Daaah nshakataliwa😢🚶🏾♀️,,tuendelee kumshauri mwenzetu tu
southern Highlands nalima avocadosUpo wapi?
southern Highlands nalima avocadosUpo wapi?
Kama unatania sawasouthern Highlands nalima avocados