Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Naomba helaTia japo neno roho yangu itapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba helaTia japo neno roho yangu itapona
Ngojea mkeka utiki basiNaomba hela
Sasa wee kwa nini bado upo nae...au ndio huduma zinakufa ya uvumilie ujinga wa mwanaume?Kwann niambie mkuu
Nakupenda nikuoeMsaliti hasamehewi we dada.
Ungefumaniwa wewe sasa hivi ungekuwa ushachomwa na gunia la mkaa.
Lakini ndo hivyo huna pa kwenda baki hapo hapo
Lamomy Nisaidie nimpate huyu bintiMsaliti hasamehewi we dada.
Ungefumaniwa wewe sasa hivi ungekuwa ushachomwa na gunia la mkaa.
Lakini ndo hivyo huna pa kwenda baki hapo hapo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣halafu punyeto ni kauhuni kadogo tu kareja reja.
Tunamiaka 6 ya kuishi kiukweli tumewekeza ninamiaka 38 kweli niondoke nikaanze wapi? hapo ndio nawaza tuSasa wee kwa nini bado upo nae...au ndio huduma zinakufa ya uvumilie ujinga wa mwanaume?
Ni Mume wangu wa ndoa, Mwaka jana niligundua anatembea na rafiki yangu, rafiki ambae tumekua wote shule tumesoma wote mpaka chuo bahat mbaya tukaolewa mikoa tofauti
Lkn haikutupa shida kwan tulikua tunatembeleana mara kwa mara alikua kama ndugu maana mpaka wazazi wetu walikua na ukaribu kupitia sisi....
Kumbe ile kunitembelea akaanzisha mahusiano na mr wangu bila mm kujua aisee niliteseka sana sababu alijua kumteka akili Mr mpaka akawa anafata chochote anachosema yeye ndio tunafata..
Ikafika kipindi akawa ataki kushare dudu yan hataki mr asex namimi ..mr nae akamfata ikiwa naitaji ndani nambembeleza mpaka machozi hataki ....
Kipindi cha siku za hatari nakua na hamu sana unamuomba alivyomshenzi wakati namuomba nalalamikaa ananirecord kwa siri voice badae anamtumia rafiki yangu kumhakikishia kua hanipi haki yangu.....
Unamyimwa mpaka unaangalia porn mbele yake huku umajichua ukimaliza ndio unalala na anasikia hajali anasinzia...
Nilikuja kujua password yake badae ndio kugundua hayo nilichanganyikiwa ikabidi nishirikishe familia zote na mume wa best nikamwambia yakawa yameisha...
Kilichopo sasa baada ya yote kuisha sina hisia nae kabisa kila nikifikiria aliponipitisha nalia tu japo ni mwaka sasa umepita....akiwa anaitaji tendo nampa lkn kuna muda katikati ya tendo machozi yanatoka
Analalamika nimtu gani nisiesamehe ninaroho mbaya ...
Sijui nifanyaje sababu naiona chuki tu moyoni sioni mapenzi...
Nafanya tu lkn sipendi hata anisogelee lkn najikaza tu..
Ipo siku atakuchoma na gunia la mkaaTunamiaka 6 ya kuishi kiukweli tumewekeza ninamiaka 38 kweli niondoke nikaanze wapi? hapo ndio nawaza tu
Hapa ndipo unapoanzia utapeli wa dini. Kufundisha kukubali unyonge na uonevu.Anza kubadilika wewe kuwa msafi kimatendo , be God fearing person be humble , forgive everybody
Uende wapi sii unaenda kwa mwanaume mwengineTunamiaka 6 ya kuishi kiukweli tumewekeza ninamiaka 38 kweli niondoke nikaanze wapi? hapo ndio nawaza tu
Hapana walikua hawafahamian kabisa kamfaham baada ya kuja kunitembelea ..kaolewa anawatoto 2Rafiki yako naye ameolewa? au rafiki hajaolewa, kama rafiki naye ameolewa basi walikuwa na mahusiano mapema kabla yako
Kwenye kikao cha usuluhishi mwanaume alikuwa anatoa sababu gani za kufanya vile? amekufanyia ukatili sana, je wewe na huyo mumeo mna mtoto?Hapana walikua hawafahamian kabisa kamfaham baada ya kuja kunitembelea ..kaolewa anawatoto 2
Alidai alipitiwa tu....tuna mtoto 1Kwenye kikao cha usuluhishi mwanaume alikuwa anatoa sababu gani za kufanya vile? amekufanyia ukatili sana, je wewe na huyo mumeo mna mtoto?