Baada ya Matokeo ya jana: Mwanachama Agnatius Obel aibuka na haya

Baada ya Matokeo ya jana: Mwanachama Agnatius Obel aibuka na haya

Mimi hakuna kitu nashangaa kama Hans Pope kuwa msemaji wa hii Timu na kwa nini wanampa uongozi wa hizo kamati kama Katiba hamruhusu kugombea uongozi wowote huu ni ubabaishaj.
kwa hiyo kuwa msemaji ndio kunafanya tufanye vibaya? of course inaweza kuwa tafsiri tu akitoa maoni fulani anakua msemaji, unavutwa na maoni ya wanayanga yanakua maoni ya mwanasimba
 
Mkuu unachosema ni kweli, lakini kama hujapata kiongozi mwenye hayo maono hela zinakujaje? Zitakuja watu watakula. Tatizo lililopo sasa pamoja na kwamba mfumo nao ni mbaya ni viongozi kugawa wachezaji na kila mmoja kujifanya ana amri juu ya wachezaji eti kwa sababu tu ni kiongozi. Team ya mpira ina mkusanyiko wa watu ambao wanatakiwa kufikia lengo moja hivyo wanahitaji commanding chain haiwezekani kila mtu aseme na wachezaji tena wakati mwingine kwenye mambo ya ufundi. Hizi kamati sizipendi kabisa na wala hata kuzisikia huwa sipendi lakini kwa sababu zipo tayari ingekuwa ni busara kila mtu afanye mambo yake yanayomhusu.

Mkuu unajua hilo la kugawa wachezaji ni tatizo la mfumo pia

Hivi unajua pale kila kiongozi ana mchezaji wake aliyemsajili yeye na ni yeye anamlipa mshahara?

Yaani wachezaji wanasajiliwa na mtu mmoja na yeye ndiye anamlipa mshahara

Kwa mfano okwi wa kaburu,Awadh wa Rage,Serunkuma wa hanspope...

Matokeo ni kwamba kiongozi mmoja akiwa haelewani na wenzake...kutokuelewana huko kunaenda hadi kwenye timu....wachezaje wake atawwambia wasicheze kwa kiwango.

Hivi unajua sababu ya Musoti kuondolewa klabuni wakati ndiye alikua beki tegemeo?

Hivi unajua sababu ya OKWI kupandishwa ndege wakati wengine wamepanda basi?

Haya yote ni matatizo ya kimfumo...na yanaleta mgawanyiko hadi kwenye timu

Laiti timu hii igekuwa ina pesa zake haya yote yasingetokea
 
kwa hiyo kuwa msemaji ndio kunafanya tufanye vibaya? of course inaweza kuwa tafsiri tu akitoa maoni fulani anakua msemaji, unavutwa na maoni ya wanayanga yanakua maoni ya mwanasimba

Mkuu...swali la MKALIKENYA ni la msingi.

Kuna mgawanyo wa majukumu....ni muhimu kufuatwa

Kinachosemwa ni Hanspope kuiendesha ile timu kama yake.Hata Aveva hana sauti

How comes kila kitu akisemee yeye?

Nasikia ni yeye pia anampangia kocha nani acheze nani asicheze...

Umejiuliza why chollo huwa hachezeshwi?

Umejiuliza Uhuru alikua na tatizo gani hadi kuachwa vile?
 
Last edited by a moderator:
Timu yetu inaharibiwa na Kaburu na Hanspope, inawezekana kweli wanatoa hela kwa ajili ya kusajili na pengine kusaidia kambi lakini ni kwa nini wajihusishe na uongozi wa timu?
HE WHO PAY THE PAWPER PLAYS THE TUNE

Nikusaidie kuboresha hiki kikoloni: 'He who pays the piper calls the tune' au kiswahili 'anayemlipa mpiga zumari ndo anayechagua wimbo'
 
Bado tuna tatizo la ufundi tu ambalo licha ya mtoa mada kukosa flow ameliainisha mnwanzoni mwa mada yake, wachezaji wengi tunasajili kwa makeke lakn hawatusaidii kabisa

eti mesi wa tanga, mara adbi banda anagombewa na yanga, serunkuma, etc................yaani madogo ndio wanabeba timu kwa kiasi fulani na ambao wanaonekan kuchka mapema tizama ndemla ameshaanza misuli, mkude naye hatihati

Umenikumbusha mbwembwe za Twaha Ibrahim a.k.a Messi wa Tanga pale Mkwakwani katka ile gemu yetu na Coastal. Msimu ulipoisha tukamsajili, mpaka sasa hakuna chochote alichotufanyia zaidi kupasha joto benchi.. Vivyo hivyo kwa Abdi Banda.. Nadhani tunatakiwa tuwe makini zaidi katka usajili tunaofanya.
 
read my threads, timu inajitahidi sana, lkn roho i radhi ilihali mwili ni dhaifu, nitakua wa mwishoi kuwalaumu hawa viongozi, nimekuwa kwenye soka naelewa what it means, jana Hanspope alikua anatoa machozi paple VIP unajua ni kwa nini, ana invest a lot while deliverables ni almost nothing

Anatoa machozi kwa sababu gani? haiwezekani wewe mwenyewe utoe hela halafu unataka kocha ampange nani na nani amwache, hawa viongozi ni tatizo na kama unawatetea hebu tueleze kipindi kile wanataka kumpindua Rage alikuwa na tatizo gani? Kibadeni na Julio kwa nini walifukuzwa wakati timu ilikuwa inaongoza? Lazima alie kwa sababu alidhani mawazo yake ni mazuri na watu wakakubali kwamba yawe implemented kwenye team ili ifanye vizuri matokeo yake imeshindwa kufanya vizuri.
 
read my threads, timu inajitahidi sana, lkn roho i radhi ilihali mwili ni dhaifu, nitakua wa mwishoi kuwalaumu hawa viongozi, nimekuwa kwenye soka naelewa what it means, jana Hanspope alikua anatoa machozi paple VIP unajua ni kwa nini, ana invest a lot while deliverables ni almost nothing

Mkuu hili ndio tatizo kubwa la klabu zetu,kuinvest kusifanye aingilie majukumu ya watu,hata wewe kwenda uwanjani kuishangilia Simba pia imeinvest.Hans Pope ndio anaingoza Simba wakati wanachama walimchagua Aveva.Wambura ndio kiongozi ambaye angeweza kuondoa hii tabia,Simba inaweza kuendeshwa vizuri bila fedha za Hans Pope ,kila dirisha la usajili lazima timu isajili wachezaji zaidi ya 4
 
sembo nashukur kwa uchambuzi ulioutoa. kwa kiasi kikubwa tatizo la simba si kocha wala wacehzaji. simba ina wachezaji wazuri sana tu. lakini shida kubwa ni kundi lililotengwa na uongoz uliopo madarakani. hawa utashangaa mimi namfahamu mmoja wao. huwa anatoa matokeo kabla ya mech na yanakuwa hivyo alivyosema. na huyu ni simba kabisa na anasema yeye ni mshabiki wa simba ila kwa kuwa wametengwa na simba ngoja nao wautenge uongozi uliopo na wanachama wa simba kwa style hii .ukiniuliza wanafanyaje mi ntakosa jibu. ila kama viongozi wataamua kukaa na kuumaliza mgogoro wao simba itafanya vizur sana . kocha ataonewa tu. kwa simba hii hata aletwe Ferguson simba itapoteza tu. wakae wawekane sawa ushindi upo. wachezaji wanalalamika kuwa wakingia uwanjani wanajikuta wamechoka sana. wanaongea meng na tatizo si kocha. simba wana haja ya kukaa na kushirikiana hili si ndo taifa kubwa? popote duniani taifa kubwa likimeguka haliwi na nguvu ile ile.
 
Mkuu Komeo Lachuma tatizo lililopo kati ya hayo makundi ni kuwa, hakuna kundi linalotaka kujishusha na kumfata mwenzake ili wayamalize. Kila kundi linajiona liko sahihi.
Nadhani ni mda muafaka wa hawa jamaa kupatana ili tuwe Simba 1, hii labda itasaidia kuboresha kidogo matokeo yetu ya uwanjani.. maana hizi kauli kuwa Ukawa wanahujumu timu si za kudharau.
 
Last edited by a moderator:
changieni mkimaliza mnijulishe nitoe yangu ya moyoni.
leo hii yanga wamemuondoa maximo mpira wa yanga siiuoni
 
read my threads, timu inajitahidi sana, lkn roho i radhi ilihali mwili ni dhaifu, nitakua wa mwishoi kuwalaumu hawa viongozi, nimekuwa kwenye soka naelewa what it means, jana Hanspope alikua anatoa machozi paple VIP unajua ni kwa nini, ana invest a lot while deliverables ni almost nothing

Hahahahaaa,mikia hilo timu lenu bovu litawaua😀
 

Attachments

  • 1422565738426.jpg
    1422565738426.jpg
    66.4 KB · Views: 106
Mkuu Komeo Lachuma tatizo lililopo kati ya hayo makundi ni kuwa, hakuna kundi linalotaka kujishusha na kumfata mwenzake ili wayamalize. Kila kundi linajiona liko sahihi.
Nadhani ni mda muafaka wa hawa jamaa kupatana ili tuwe Simba 1, hii labda itasaidia kuboresha kidogo matokeo yetu ya uwanjani.. maana hizi kauli kuwa Ukawa wanahujumu timu si za kudharau.

Mi hapo sielewi kwa sababu mpira unachezwa uwanjani
Hao waliotengwa wana impact gani uwanjani
Tuwe wakweli...Tusiamini ushirikina
Kwa sababu ingeuwa ushirikina unacheza mpira basi tungeshachukua kombe la dunia
 
Mi hapo sielewi kwa sababu mpira unachezwa uwanjani
Hao waliotengwa wana impact gani uwanjani
Tuwe wakweli...Tusiamini ushirikina
Kwa sababu ingeuwa ushirikina unacheza mpira basi tungeshachukua kombe la dunia

Hawa Ukawa ni kama panya anayejarbu kumfunga paka kengele, ila nyuma yao naamini wana kundi kubwa linalowasapoti.

Nadhani ni vyema sasa hizi tofauti zikamalizwa, hii inaweza ikasaidia japo si saana kuboresha matokeo ya uwanjani.
 
Hawa Ukawa ni kama panya anayejarbu kumfunga paka kengele, ila nyuma yao naamini wana kundi kubwa linalowasapoti.

Nadhani ni vyema sasa hizi tofauti zikamalizwa, hii inaweza ikasaidia japo si saana kuboresha matokeo ya uwanjani.


Tofauti ni bora kumalizwa...lakini kwa kosa walilofanya hata kanuni za FIFA zinawaondoa automatically kwenye uanachama
Kwa hio sababu ya wao kufukuzwa ni valid kabisa
Hatuwezi kuanza kusumbuana na mambo ya kesi za mpira kweney mahakama ya kisutu
Mpira una utaratibu wake
Sasa kama mtu anafanya ukorofi kwenye timu alafu anatia pressure kosa lake liachiwe tuuuu,huyo kiongozi atakayeruhusu hayo atakuwa ni dhaifu.
Imani yangu ni kuwa tatizo la Simba sio hao UKAWA.Tatizo la simba liko katika mfumo mzima wa uendeshaji wa timu
Na solution ya mfumo sio solution ya muda mfupi
 
Mi hapo sielewi kwa sababu mpira unachezwa uwanjani
Hao waliotengwa wana impact gani uwanjani
Tuwe wakweli...Tusiamini ushirikina
Kwa sababu ingeuwa ushirikina unacheza mpira basi tungeshachukua kombe la dunia
Ushirikina upo ingawa hatutakiwi kujielekeza sana lakini pia hatutakiwi kuupuuza huu mgogoro wa hawa jamaa wa ukawa, inawezekana isiwe uchawi lakini kwa sababu nao ni tawi lenye nguvu huenda labda wakala njama na baadhi ya wachezaji au na baadhi ya watu ndani ya uongozi. Sitaki kuamini kama viongozi wote wale walikuwa upande wa Aveva toka mwanzo na hadi sasa, siamini kama Wambura hakuwa na watu ambao walifanikiwa kushika baadhi ya nyadhifa. Najua Kaburu sio FoS na mara nyingi huwa wanakwaruzana na watu wa FoS lakini pia sina hakika kama yuko upande wa Wambura. Najaribu tu kugusa hapa na pale ili kama kuna anayejua adadafue.
 
Hebu tupate maoni aliyotoa mdau Saleh Ally ktk blog yake 29/12/2014;

"... kosa kubwa lililofanyika Simba ni kusajili waganda 5, ambao wametengeneza timu ndogo ndani ya timu kubwa. Kama timu ndogo [waganda] wataamua kutengeneza kiota chake ndani ya kikosi, lazima mtafaruku wa chini chini utazuka baina ya waganda na watanzania na hii itasababisha matobo zaidi ndani. Najua ni vigumu kwa viongozi kukubali kosa kwa sasa, lakini kiroho safi hili litaisumbua sana Simba Sc baadae."

Je haya maono aliyoyaona Saleh Jembe, nayo pia yana mchango wowote katka hali tuliyonayo?

cc Masuke Freeland
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom