Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

Mkuu vyama vipo zaidi 10, haya kwa ufahamu wako chama gani kilicho andamana kwa maslahi mapana ya wananchi? Mkuu watu kama wewe nchi hii mpo wengi sana, na hii imefanywa makusudi.
 
OK Sasa njia Gani Bora, tuingie VITANI tuwatoe CCM?
Siasa nzuri ni zile zilizotofauti na za kuunga mkono juhudi.

Ukiona Mbowe anaogopa kuyasema madudu ya utawala wa Samia au incompentency ya serikali ya Samia kwa visingizio eti "anafanya siasa za kistaarabu" ujue hapo hamna kitu tena.
 
Akili zangu ziko vizuri, ila misimamo yangu haiendani na matamanio yako.
Mkuu mimi nilikuwa naamini akili yako ipo vizuri, na bado naamini hivyo, ila kwa hoja hii umenishutua kidogo, nini kimetokea.
 
Hizo confrontational politics zimeshindwa kuisaidia Chadema
 
Kwani wewe umezuiwa kuongoza hayo mapambano ya kuleta mabadiliko? Anzisha chama chako upambane kuyaleta.
 
Kwani wewe umezuiwa kuongoza hayo mapambano ya kuleta manadiliko? Anzisha chama chako upambane kuyaleta.
Chama huwa siyo mali ya mtu binafsi ni taasisi ya umma. Na umma una haki na wajibu wa kuvinyoosha vyama vyote ili viwe na siasa za kuwatumikia wananchi na siyo kufanya udalali wa kisiasa. Kwa hiyo hoja yako ni irrelevant
 
Tuambie tafsiri yako ya maridhiano ni nini ?
 
Kwani situnampongeza mbowe kama tunavyo wapongeza akina hayati mrema akina shibuda Kwa KAZI nzuri za kuleta maridhiano?
 
Ilifikia hatua hataki mwana ccm aende kumuanglia mwanachadema kama anaumwa
Siasa sio uadui ila kwa magufuli siasa ni uadui
Mimi shemeji yangu alikuwa ni Mwenyekiti wa CCM mkoa fulani,alifiwa na mtoto wake,lakini sikuhudhuria kwa sababu ya ushenzi wake na wa chama chake.
 
sasa hivi hoja sio tena kususia Ubunge wa viti maalum wa kina Halima Mdee bali wanataka watolewe wapeleke wanawake wengine.
You are too smart for a comment like this buddy.
You are among them "wahafidhina" ndugu Pohamba .
 
CHADEMA = TLP.

Mbowe = Mrema.

Wachaga wanafanana wote.
Ni mpumbavu wa kiwango cha "SGR" na hayawani pekee anaweza kufananisha vyama vya siasa akiingiza ukabila.
 
Kwani jukumu kubwa la chama cha upinzani ni kumsifia aliyoko madarakani?!!Na atakusifia vipi wakati hilo ndio jukumu lako kubwa?Hapo ndipo miafrika tunakosea serikali inajenga kisima watu wanaona ni kama hisani na sio haki yao!!!
Yaani hawa wajinga wanataka baba au mama akileta kuku, akahakikisha unakula vizuri na kulala vizuri, umpe pongezi "as if" sio jukumu lao!!???
 
Tuambie tafsiri yako ya maridhiano ni nini ?
Ukweli usemwe ,hizo style za viongozi wakuu kumsifia mtawala Ni kujikomba TU,, Hoja za kusema tuliwaambia muandamane mkasusa Ni dhahiri dalili ya kushindwa kwa viongozi wa Upinzani ,,kwhy na wao wameamua kufukuzia buyu ....

Wananchi tunazo akili zetu
 
Hivi kipindi gani tangu vyama vingi vianze upinzani ulilelewa?huwezi kupata nchi bila kutoa chozi...people must fight wakishindwa waachie vijana sio kuingiza vyama kwenye mambo ya kijinga ambayo hata mtoto mdogo anaona
 
Si muanzishe chama kama mnaona mbowe hafai?
 
Maombi ni muhimili mwingine katika maisha ya mwanadamu. Leo wewe ukiteuliwa (kwa elimu yako ya Siasa za TZ)DC utaapishwa na wewe utaomba (....... Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie) hayo mayo ni maombi Mkuu
Sasa mbona Jiwe aliposema watu wafanye maombi kipindi kile cha corona mlimbeza na kuona anapingana na sayansi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…