Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Siasa za nchi hii zimejaa wafuasi wajinga kwelikweli.

Kuna yeyote ameona terms za hayo maridhiano mnayoshangilia?

NB:CDM haijaridhiana na CCM bali Samia tu.
 
Sihitaji kufurahishwa na mtu

Mbowe bado anaushawishi ndani ya chama chenu na hakuna anayeweza kwenda kinyume naye akasalia ndani ya chama.
This time kwa ujinga huu atang'oka yeye na rafiki zake wanaotaka upumbafu huo, watu walishawahi kuomba tusishiriki uchaguzi mpaka tume huru iwepo lakini wao wakalazimisha na tukaangukia pua, leo hii hitaji la tume huru na katiba mpya limekomaa yeye Mbowe na rafikize wanaanzisha dudu linaloitwa maridhiano hili litaenda mpaka 2025 maana yake suala la katiba mpya na Tume huru yote yatakuwa pending na watafanya uchaguzi waki maheramahera usio huru
 
Wanywa damu mnaumia sn.

Tulipotoka panatisha sn,

Ahsante mama, ahsante FAM.
Watu wanaoteseka kwa sababu za maridhiano ya Samia na Mbowe hawana nia njema na nchi hii kwani wanajua wanaelekea kupoteza vyeo vyao hasa vya kuchaguliwa wao wangependa zile siasa za kihayawani za enzi za mwendazake zingeendelea ambapo kumtangaza mpinzani ameshinda ilikuwa jasho na damu
 
Upinzani siyo uadui, ni mawazo mbadala. Achaneni na fika za yuke Dr wa kemia wa mchongo asiyejua kiingereza
kumbe kujua kingereza ni qualification ya udaktari wa halali tuliosoma Rusia tunapata tabu , Nenda UD utaonyeshwa maksi za yule mwamba linganisha na zako kwa namna yoyote.
 
kumbe kujua kingereza ni qualification ya udaktari wa halali tuliosoma Rusia tunapata tabu , Nenda UD utaonyeshwa maksi za yule mwamba linganisha na zako kwa namna yoyote.
Sina haja ya kwenda UD nimejua uwezo wake katika uongozi wake, iko wazi sana kama mimba, low IQ
 
Mbowe kaachana na UKAWA sasa hivi yeye na CCM damdam.

Humsikii Mbowe akizungumza issues zinazowaumiza wananchi kutokana na utawala mbovu wa CCM, ikiwemo kodi lukuki, kupanda kwa gharama za maisha, mfumuko wa bei, gjarama za vifurushi, tozo, Kikotowo. Yeye yupo tu na issue zake za juu juu ambazo kimsingi anajua kuwa haziwezi kuipa CCM damage ya kisiasa ili wananchi waipe kibano zaidi.

Kiufupi Mbowe sasa hivi anatumika kama political shock absorber wa CCM dhidi ya hasira za wananchi. Kiufupi anaisaidia CCM kuabsorb makombora ya wananchi.
 

Kumlinganisha Mbowe na hizo Mbowe na hizo Mburumundu ni kumkosea heshima kukubwa:



Hivi wewe unawaelewa hawa?
 
Mkuu naona umeshikilia msimamo wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hauyumbishwi kabisa

Nadhani hata kipindi Cha nani yule Nyalandu kutaka kupewa nafasi kugombea kwa tiketi ya CDM, ulishikilia msimamo wako kupinga

Siyumbi kwenye haya mambo boss.
 
Unajitoa ufahamu kabisa kuhusu maandano yaliyopelekea kifo cha akwilina siyo. Nyie ni wanafiki mnaojifanya mnapenda mageuzi lakini kiuhalisia mpo pamoja na ha ccm wasiotaka mageuzi.
 
Andiko reeefu alafu limejaa upimbi mtupu...kama mbowe amegeuka kuwa Mzee cheyo , basi acha iwe hivyo
 
Unajitoa ufahamu kabisa kuhusu maandano yaliyopelekea kifo cha akwilina siyo. Nyie ni wanafiki mnaojifanya mnapenda mageuzi lakini kiuhalisia mpo pamoja na ha ccm wasiotaka mageuzi.
Najitoa ufahamu vp mkuu? Mie msimamo wangu ni kwamba watanzania sio waoga, maandamano yashafanyika sana huko nyuma sasa madai ya uoga yanatoka wapi?
 
Nyie sukuma gang mnafahamika.
Unaona hata wewe unanita mie sukuma gang! Mimi naelewa humu hatuamini kwenye kutofautiana mitazamo na ndio maana hata wewe hata usipoitwa sukuma gang utaitwa jina lengine lolote lenye kuonyesha umepotoka.
 
Unaona hata wewe unanita mie sukuma gang! Mimi naelewa humu hatuamini kwenye kutofautiana mitazamo na ndio maana hata wewe hata usipoitwa sukuma gang utaitwa jina lengine lolote lenye kuonyesha umepotoka.

Huko kuitwa jina lingine si ndio kutofautiana kwenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…