Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

Chawa mnamaumivu makali kama vile mmepitshiwa pasi ya umeme. Mnajisikia vibaya pale mama asivyopenda visasi kama mtangulizi siyo !!

Poleni chawa
 
Wewe umefanya nini kuleta mabadiliko ya kweli ?!. Unadharau juhudi za watu huku unachangia sifuri !!
 
Wakati wanateseka kwa kufilisiwa, na kuwekwa rumande kwa kesi za mchongo, na wengine kuuliwa mlitoa msaada gani kwao

Kwani walipokuwa wanaenda bungeni na mashangingi nani ulimuona akiwaomba hata lift? Acha kuleta mifano isiyo na tija. Ingekuwa watu walienda kushinda nao wakati wanapokea mishahara mikubwa, haya malalamiko yako yangekuwa na maana. Kama umeishiwa na mifano kaa kimya.
 
Sio rahisi hivyo!!Nyie wafuasi wa MEKO tunajua hiki kinachoendelea kinawauma sana!!mlitaka ziendelee zile siasa za kishenzi tu!!kwani mlikuwa mnafaidika nazo!!wewe una uchungu na CDM kuliko mbowe??
 
"Tumbo niache nim'bakizie Mandawa Uji" Njaa isikie Kwa jirani tu, ni mbaya sanaaaa. Nimemkumbuka zama za Mtikila R.I.P na siasa za Kabachori Hawa wengine ilikuwa ni swala LA muda tu kuunga juhudi.
 
Hii nchi imekuwa ikijisifu kwa amani miaka yote ila sio maendeleo.
 
Sio rahisi hivyo!!Nyie wafuasi wa MEKO tunajua hiki kinachoendelea kinawauma sana!!mlitaka ziendelee zile siasa za kishenzi tu!!kwani mlikuwa mnafaidika nazo!!wewe una uchungu na CDM kuliko mbowe??
Hivi kwanini Chadema walikuwa wanaonekana wapingaji wa kila kitu hadi Kikwete akauliza kuwa kwani mazuri hamuyaoni?
 
Kamanda kafwata nyao za LipumbaF[emoji81]


Yaan kama sio Chadema anaongea ila uso unaonyesha huyu kashanyoosha ulimi kwa State!
 
Hivi kwanini Chadema walikuwa wanaonekana wapingaji wa kila kitu hadi Kikwete akauliza kuwa kwani mazuri hamuyaoni?
Kwani jukumu kubwa la chama cha upinzani ni kumsifia aliyoko madarakani?!!Na atakusifia vipi wakati hilo ndio jukumu lako kubwa?Hapo ndipo miafrika tunakosea serikali inajenga kisima watu wanaona ni kama hisani na sio haki yao!!!
 
Kamanda kafwata nyao za LipumbaF[emoji81]


Yaan kama sio Chadema anaongea ila uso unaonyesha huyu kashanyoosha ulimi kwa State!
Kwa siasa zile za kishetani za mwendazake,Acha mama atutoe huko na mbowe hata lama atakuwa Mrema sawa tu,cha msingi turudi kwenye siasa zetu za 2015 kurudi nyuma.Najua wafuasi wa JIWE Mnaumia sana kwa hiki mama anachokifanya!!!!Ndio basi tena na kosa hilo la kumpa nchi MPOLI POLI halitajirudia tena!MUNGU FUNDI
 
Ajabu hata hao wanachama wao wa chadema hakuna walichofanya wakati akina Mbowe wanapitia mateso.
 
Kwani jukumu kubwa la chama cha upinzani ni kumsifia aliyoko madarakani?!!Na atakusifia vipi wakati hilo ndio jukumu lako kubwa?Hapo ndipo miafrika tunakosea serikali inajenga kisima watu wanaona ni kama hisani na sio haki yao!!!
Basi sasa chadema sio ya kupinga kila kitu kama ilivyokuwa ikionekana hapo nyuma.
 
Unataka kusema chadema huwa hamtofautiani mawazo ndio maana unaona kwa hiki kinachoendelea kwa ccm na chadema ni wafuasi wa jiwe tu ndio wanapinga ila chadema wote wana mawazo aina moja?
 
Basi sasa chadema sio ya kupinga kila kitu kama ilivyokuwa ikionekana hapo nyuma.
Wao lazima waendelee kukosoa tu,wakusifia wapo hao MACHAWA!! Na sasa wabunge watakuwa na wakati mgumu sana kwani toka wamebaki wenyewe bungeni hakuna wanalowasemea wananchi!!wanaowasemea wananchi wapo nje ya bunge!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…