Baada ya Mbowe kugeuka na kuwa kama kina Shibuda, John Cheyo na Mrema ni upi mustakbali wa siasa za upinzani Tanzania?

Tatizo lako umeaangalia upande mmoja siasa ni kutumia akili nyingi kushika dola bila madhara mbinu nyingi zimetumika hakukuwa na mafanikio labda ulitaka damu imwagike lkn hata hivyo watz hawako tayari kutumia nguvu kushika dola badala yake ni kujaribu mbinu za klia aina ili kuoweka nchi salama wewe unafikiri ni rahisi rais wa ccm kuhudhuria shughuli za cdm? Huoni kuwa ccm inweza kumezwa na cdm? Au na wao ccm wamelamba asali? Hapa kama kuna political technic inachezwa? Sawa na mchezo wa draft?
 

Kama ni hivyo basi Jiwe ana wafusi wengi kuliko hata sacoss yenu.

Kati ya wanajf 5000 unakuta 4000 wana wasiwasi na maridhiano feki[emoji23]
 

Yaan system imezwe na Wachaga wa Machami[emoji13][emoji13][emoji81]

Ebu amkaa utajikojolea bwashe
 
mamayenu jana alikuwa mtu kati kule moshi na tayar amepewa kadi ya chadema kama nyie nguruwe wa ccm hamjui bas eleweni hivyo.
 
Ungekuwa hata wewe ungebadili tu mtizamo maana unaowapigania hawajielewi na wakati huo huo dola inakuumiza kwa kuharibu biashara zako na kesi za kutunga hadi kuwekwa ndani
 
hayana tofauti na yale yaliyofanyika awamu ya 5 😃 huku tunaambiwa ni maridhiano kule ilikuwa ni kuunga mkono juhudi

upinzani Tanzania haujawahi kuwepo na hautokaa kuja kuwepo
 
Siasa za Tanzania kama ugali wako ndio unapatikana huko pambana nazo ila kama unaona hazikuiingizii chochote achana nazo tu zitakusumbua akili
 
Kwanin wewe unataka watu wataseke kwa niaba yao huku wewe ukiwa nyuma ya keyboard kama unaona wameshindwa kazi ingia mzigoni hujakatazwa
Kwa iyo shibuda na cheyo walikuwa watu makini sana ee
 
Kuna watu na vyama vyao waliowahi kujiweka sawa na serikali ya awamu ya 6 wakitarajia kutambulika kama ndio viongozi rasmi wa upinzani wakiamini CHADEMA itaendelea kuwa adui wa serikali kama ilivyokuwa enzi za giza za Magufuli.

Wametibuliwa sana kwanza na jinsi Mama SSH alivyoanza na kuwanyooshea CHADEMA tawi la mzeituni kuomba amani na kuanza kusahihisha maovu mengi waliyofanyiwa. Pili kwenda na CHADEMA kuhusu hoja ya katiba mpya kisha tume huru. Tatu kufuta kesi za kihuni na kuachia wafungwa wa kisiasa. Na sasa mazungumzo yanayoendelea ya maridhiano!

Imewachanganya sana waliozoea kuona nguvu kubwa ya serikali na dola ikitumika kuifanyia CHADEMA hujuma na udhalilishaji wa kila aina kama uliowalegeza kina Mdee, kuwaibia ushindi halali wa ubunge, kisha “kuwasweka” Bungeni kama viti maalum kinyume cha Katiba.

Waliozoea na kufurahia hayo sasa wanahangaika kumchafua Mbowe na chama chake. Nawaambia wavute subira. Ukweli kuhusu hayo maridhiano utafika soon. Kwa watu waliozoea kuishi chini ya udikteta wa TANU/CCM tangu 1961 hawastahili kukosa subira kwa hili.
 
Hayo alifanya lipumba mkamtukana sana
 
Mkuu Tindo ahsante kwa hii komenti Jana nimesema Sana lkn nikatukanwa lkn ukweli usemwe ...Hayo yanayofanywa Wala sio maridhiano Bali Ni mgawo wa Asali TU... Nipo tayari kuuawa kwa msimamo huu,, Upinzani kukaa na serikali hayo sio maridhiano,,

Kuna watu Jana walinena kuwa aliyealikwa Ni Rais na sio mwenyekiti wa Sisiemu ,, Huo upumbavu ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…