Baada ya mchezo na Singida BS wanaume kimya kimya wakajifungia Avic town walipoibuka ikawa vilio kila kona

Baada ya mchezo na Singida BS wanaume kimya kimya wakajifungia Avic town walipoibuka ikawa vilio kila kona

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037

Ninaipenda sana hii system ya ukimya wa Yanga, huwa hawaongei wala kujimwambafy linapokuja suala la michezo mikubwa, hauwezi kumkuta Max akizungumza na waandishi au Job akiwa busy na camera, labda ikiwalazimu kufanya hivyo.

Utakumbuka mechi dhidi ya CRB hakuna aliyejua au kutarajia Yanga angefanya ile comeback ya kibabe vile, walichokiongea, walichokuwa wanakifanya huko avic town? Hakuna anayejua, Ogopa sana adui mkimya, maana haujui plan na atakuja kwa namna gani.

Simba wakajivunia tumeiba ngoma airport, sijui Mafundo ya alone, sijui wamesha 'Onana' na Mkandaji, Kilichofuata sasa 😀😀😀

Bado wanasema wameandika 'Balua' ya kupiga 'Mkwala' kwamba 'Debora' anapika na Ong bak ana 'Ahueni' kwamba 'Mutale'ta timu uwanjani? 😀

Haya ngoja tuone kama striker la penalty 'Ataiba' magoli 😀 NB (Wazee tumeshamaliza kikao)
 
CAF wanaongeza umakini katika matumizi ya dawa za kusisimua misuli, msijesema hamkuambiwa.
Nyie zile kwenye vyumba vya kubadili nguo zilikua zakusisimua nini,,,,hadi waarabu siku hizi wakija wanabeba hadi mapipa yao ya maji kisa makolo
 
CAF wanaongeza umakini katika matumizi ya dawa za kusisimua misuli, msijesema hamkuambiwa.
Hivi huwa mnawaona wachezaji wa Yanga wanavyofanya mazoezi binafsi? Muulizeni Samantha au Mohamed hussein umuhimu wake. Sio wachezaji muda wote wako buguruni na Riverside
 
Simba walipokuwa Misri si mlisema wamejifungia nyie mko Afrika ya Kusini mnafanya mambo hadharani?

Leo imekuwaje nyie tena mnasifia Yanga kujifungia?

Yaani wenye akili kwenu ni kweli wapo wawili tu?
 
Simba walipokuwa Misri si mlisema wamejifungia nyie mko Afrika ya Kusini mnafanya mambo hadharani?

Leo imekuwaje nyie tena mnasifia Yanga kujifungia?

Yaani wenye akili kwenu ni kweli wapo wawili tu?
Halafu wanasema wazee wao wamemaliza kikao, ukimuuliza maana yake nini anaanza kurembua macho
 
Mshaanza kutafuta visingizio vipya,sio timu saba wala uchawi tena?

Nyie zile kwenye vyumba vya kubadili nguo zilikua zakusisimua nini,,,,hadi waarabu siku hizi wakija wanabeba hadi mapipa yao ya maji kisa makolo

Hivi huwa mnawaona wachezaji wa Yanga wanavyofanya mazoezi binafsi? Muulizeni Samantha au Mohamed hussein umuhimu wake. Sio wachezaji muda wote wako buguruni na Riverside
Mimi nimetoa angalizo, sipo hapa kubishana na mtu. Siyo kila siku mtapata nafasi ya kumuhonga Kamisaa wa mchezo ili afunike kombe mwanaharamu apite.

Mtaishia kusema mchezaji fulani ni majeruhi hawezi kusafiri kisa kuogopa vipimo, mwisho wa siku watu wataanza kuhoji mbona hili linatokea kila siku.
 
Halafu wanasema wazee wao wamemaliza kikao, ukimuuliza maana yake nini anaanza kurembua macho
Hao jamaa Wana kiwewe.. Mpira una matokeo matatu.
1. Suluhu
2. Kufungwa
3. Kufunga

Eti wao wanadai hawana Suluhu au kufungwa kwenye timu yao, ngoja tuone.
 
Back
Top Bottom