Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Hapo Avic Town ni kiringeni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo Avic Town ni kiringeni.
Mbumbumbu mna muhaho sana.Simba walipokuwa Misri si mlisema wamejifungia nyie mko Afrika ya Kusini mnafanya mambo hadharani?
Leo imekuwaje nyie tena mnasifia Yanga kujifungia?
Yaani wenye akili kwenu ni kweli wapo wawili tu?
Dar Young Africans Champions......na wavimbe wapasuke...........unachokiombea naona huko kwa makolowizard ndo mnachopitia kwa sasaMimi nimetoa angalizo, sipo hapa kubishana na mtu. Siyo kila siku mtapata nafasi ya kumuhonga Kamisaa wa mchezo ili afunike kombe mwanaharamu apite.
Mtaishia kusema mchezaji fulani ni majeruhi hawezi kusafiri kisa kuogopa vipimo, mwisho wa siku watu wataanza kuhoji mbona hili linatokea kila siku.
Mbona Yanga mnapenda sana kuweka vitu nyuma? Kwanza mwiko na sasa mnaweka hadi matatizoMnatumia nguvu nyingi sana kuuficha udhaifu wa 51mba. Hamna timu nyie. Huku kwenye dawa, bahasha, hospitali, kusisimua misuli, refa, sijui wachezaji wenu ni mamluki, NI KUJARIBU KUKIMBIA KIVULI CHENU.
View attachment 3120468
Wachezaji walioitwa mamluki Sasa hivi wanachezea timu gani?, sijui wachezaji wenu ni mamluki, NI KUJARIBU KUKIMBIA KIVULI CHENU.
Kwahiyo na ATEBA naye alikuwa mamluki alikotoka?Wachezaji walioitwa mamluki Sasa hivi wanachezea timu gani?
ITAJULIKANA kwanini Simba anatembea uchi huku mkia uko juu.Mashabiki wa Yanga wengi akili zenu zipo pale ulipo mwiko wenu...