Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 33,643 Reaction score 36,090 Oct 10, 2024 #41 nyakubonga said: Hapo Avic Town ni kiringeni. Click to expand...
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 33,643 Reaction score 36,090 Oct 10, 2024 #42 Allen Kilewella said: Simba walipokuwa Misri si mlisema wamejifungia nyie mko Afrika ya Kusini mnafanya mambo hadharani? Leo imekuwaje nyie tena mnasifia Yanga kujifungia? Yaani wenye akili kwenu ni kweli wapo wawili tu? Click to expand... Mbumbumbu mna muhaho sana.
Allen Kilewella said: Simba walipokuwa Misri si mlisema wamejifungia nyie mko Afrika ya Kusini mnafanya mambo hadharani? Leo imekuwaje nyie tena mnasifia Yanga kujifungia? Yaani wenye akili kwenu ni kweli wapo wawili tu? Click to expand... Mbumbumbu mna muhaho sana.
Ausar JF-Expert Member Joined Mar 19, 2021 Posts 2,369 Reaction score 3,800 Oct 10, 2024 #43 SAYVILLE said: Mimi nimetoa angalizo, sipo hapa kubishana na mtu. Siyo kila siku mtapata nafasi ya kumuhonga Kamisaa wa mchezo ili afunike kombe mwanaharamu apite. Mtaishia kusema mchezaji fulani ni majeruhi hawezi kusafiri kisa kuogopa vipimo, mwisho wa siku watu wataanza kuhoji mbona hili linatokea kila siku. Click to expand... Dar Young Africans Champions......na wavimbe wapasuke...........unachokiombea naona huko kwa makolowizard ndo mnachopitia kwa sasa
SAYVILLE said: Mimi nimetoa angalizo, sipo hapa kubishana na mtu. Siyo kila siku mtapata nafasi ya kumuhonga Kamisaa wa mchezo ili afunike kombe mwanaharamu apite. Mtaishia kusema mchezaji fulani ni majeruhi hawezi kusafiri kisa kuogopa vipimo, mwisho wa siku watu wataanza kuhoji mbona hili linatokea kila siku. Click to expand... Dar Young Africans Champions......na wavimbe wapasuke...........unachokiombea naona huko kwa makolowizard ndo mnachopitia kwa sasa
SAYVILLE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2010 Posts 7,895 Reaction score 12,975 Oct 10, 2024 #44 Ngalikihinja said: Mnatumia nguvu nyingi sana kuuficha udhaifu wa 51mba. Hamna timu nyie. Huku kwenye dawa, bahasha, hospitali, kusisimua misuli, refa, sijui wachezaji wenu ni mamluki, NI KUJARIBU KUKIMBIA KIVULI CHENU. View attachment 3120468 Click to expand... Mbona Yanga mnapenda sana kuweka vitu nyuma? Kwanza mwiko na sasa mnaweka hadi matatizo
Ngalikihinja said: Mnatumia nguvu nyingi sana kuuficha udhaifu wa 51mba. Hamna timu nyie. Huku kwenye dawa, bahasha, hospitali, kusisimua misuli, refa, sijui wachezaji wenu ni mamluki, NI KUJARIBU KUKIMBIA KIVULI CHENU. View attachment 3120468 Click to expand... Mbona Yanga mnapenda sana kuweka vitu nyuma? Kwanza mwiko na sasa mnaweka hadi matatizo
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Oct 10, 2024 #45 Ngalikihinja said: , sijui wachezaji wenu ni mamluki, NI KUJARIBU KUKIMBIA KIVULI CHENU. Click to expand... Wachezaji walioitwa mamluki Sasa hivi wanachezea timu gani?
Ngalikihinja said: , sijui wachezaji wenu ni mamluki, NI KUJARIBU KUKIMBIA KIVULI CHENU. Click to expand... Wachezaji walioitwa mamluki Sasa hivi wanachezea timu gani?
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 33,643 Reaction score 36,090 Oct 10, 2024 #46 Allen Kilewella said: Wachezaji walioitwa mamluki Sasa hivi wanachezea timu gani? Click to expand... Kwahiyo na ATEBA naye alikuwa mamluki alikotoka?
Allen Kilewella said: Wachezaji walioitwa mamluki Sasa hivi wanachezea timu gani? Click to expand... Kwahiyo na ATEBA naye alikuwa mamluki alikotoka?
makedonia JF-Expert Member Joined Nov 17, 2014 Posts 4,171 Reaction score 3,461 Oct 11, 2024 #47 Lawrichie said: Mashabiki wa Yanga wengi akili zenu zipo pale ulipo mwiko wenu... Click to expand... ITAJULIKANA kwanini Simba anatembea uchi huku mkia uko juu.
Lawrichie said: Mashabiki wa Yanga wengi akili zenu zipo pale ulipo mwiko wenu... Click to expand... ITAJULIKANA kwanini Simba anatembea uchi huku mkia uko juu.