Pre GE2025 Baada ya Mchungaji Msigwa kuhamia CCM kutoka CHADEMA, unadhani kiongozi gani mwandamizi kufuata nyayo?

Pre GE2025 Baada ya Mchungaji Msigwa kuhamia CCM kutoka CHADEMA, unadhani kiongozi gani mwandamizi kufuata nyayo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Alitoka GAUCHO Minjino ,Akatoka MASHINJI ,Akatoka Dr Slaa ,wakatoka kibao Silinde,Dogo Janja ,Lijua Libutu etc lakini chama bado kipo imara...Chama sio MTU.
kwani wew ulitaka kifanyaje baada ya wengine kutoka chamani? 🐒
 
1 Yohana 2:19

[19]Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu. Maana kama wangalikuwa wa kwetu, wangalikaa pamoja nasi. Lakini walitoka ili wafunuliwe kwamba si wote walio wa kwetu.

They went out from us, but they were not of us; for if they had been of us, they would no doubt have continued with us: but they went out, that they might be made manifest that they were not all of us.
Aimen apostle 🐒
 
Kuondoka kwenye chama kwenda CCM tatizo kubwa ni uongozi lakini pia pesa zinazopenyezwa na CCM chadema walikwisha jua udhaifu wao,kuna external force na internal force. CCM anapambana sana kukiua hicho chama kwa vile ni tishio kwao wala siyo ACT au CUF au chochote. Ndani pia Mbowe na kamati yote wafanye tathmini ya nini misukumo ya ndani inakipasua chama je ukabila,ukiukwaji wa katiba yao au nini zipo dynamics nyingi wapate wataalam wawafanyie utafiti kujua changamoto vinginevyo watakufa kabisa wanaofuatia kuhama ni covid 19 na Lissu au Heche/ Pambalu
Kwa nini Chadema wao wasipenyeze pesa huko CCM? 🤣🤣
 
#Kataamachawanivichaa
#kataachamachamambuzi
#chamachamambuzihakitakuwepo2050
Kumbe sio 2025 tena? 😁😁😁

Mumekata tamaa,umebakia wewe tuu Kufuata chako mapema huko ccm vinginevyo huko kwenye saccos ya Mbowe utakufa njaa na stress tuu 🤣🤣
 
Hebu tuleteeni maji safi vijijini si tunalipa kodi, afu masuala ya kumnunua Msigwa mnafikiri mtaiua CDM, wapi Dr. Slaa hamkujifunza.
 
Kumbe sio 2025 tena? 😁😁😁

Mumekata tamaa,umebakia wewe tuu Kufuata chako mapema huko ccm vinginevyo huko kwenye saccos ya Mbowe utakufa njaa na stress tuu 🤣🤣
MImi mbona sina chama! Sina kadi ya chama chochote. Sifungamani popote. Ila hata kama kungekuwa na ulazima wa kuwa na chama. Abadani nisingeweza kuwa ccm kamwe. Miye ni muumini wa haki sawa, Elimu bora na maisha bora kwa kila mtu. N.k...
ChoiceVariable
 
MImi mbona sina chama! Sina kadi ya chama chochote. Sifungamani popote. Ila hata kama kungekuwa na ulazima wa kuwa na chama. Abadani nisingeweza kuwa ccm kamwe. Miye ni muumini wa haki sawa, Elimu bora na maisha bora kwa kila mtu. N.k...
ChoiceVariable
si kweli kwamba hufungamani popote binti wa kibantu,

ni wazi umefungamana na mihemko lakini pia na ile familia ya gubu na ghagabu..

na halafu mnafanana kweli:pedroP:
hadi tones, body languages on article writtings, comments, styles of reply and hashatags n.k...

unapata wapi nguvu na ujasiri wa kupotosha hadharani namna hiyo, kwamba huna chama? :pedroP:
 
Msigwa alikuwa kiongozi wa CHADEMA wa kanda ya Nyasa kwa miaka kumi mfululizo, juzi wanaChadema wa kanda ya Nyasa wakamkataa kwa kura, akaona isiwe shida akaenda CCM. Hivyo CHADEMA haijapoteza kiongozi bali imepoteza mwanachama mwandamizi laghai.

Kisa cha Msigwa hakina tofauti kubwa sana na Sumaye, huyu alikuwa ni kiongozi wa Chadema kanda ya Pwani, akagombea uenyekiti wa Chadema akashindwa, akaenda kutetea nafasi ya kiongozi wa kanda ya Pwani nako akashindwa, kilichofuata akarejea CCM. Leo hii ni miaka mitano toka arejee CCM, kuna kipi ameweza kuisaidia CCM au kuweza kuibomoa CHADEMA? Sumaye leo hii ni kapi tu la kijani, wanaCCM hawawezi kumpa hata nafasi ya ujumbe wa mkutano mkuu kupitia nafasi za mikoa ikiwa atagombea sembuse ujumbe wa NEC. Leo hii Sumaye amebakia kuwa mtoa mawaidha ya kichawa ili kumpamba Samia. Useless kabisa!
Na mwanzo mwa hotuba yake ya kujitambulisha akapelekewa na kimemo kinachomfahamisha kwamba ameingia Chama ambacho anatakiwa aseme kile wakubwa wanataka kukisikia sio alete zake za kuleta 😳🙄🤠😅
 
Kwa
Msigwa hakuwa mwanachama wa kawaida Chadema, alikuwa kiongozi mwandamizi mwenye dhamana ya kusimamia makamanda na wanachama wa Chadema kanda ya Nyasa, na alikuwa pia mjumbe wa kamati kuu Chadema Taifa.

Anajua na kufahamu mambo na vitu vingi sana ndani ya chadema. Anajua vema nia, uwezo, malengo na matarajio binafsi ya mwenyekiti na makamu wa Chadema Taifa kwa siku zijazo, kwa chama hicho.

Kuondoka kwake hapawezi kukuosa wala kuacha madhara, makovu au athari za kisiasa. Hakuondoka chadema kwasababu tu ya kushindwa uchaguzi wa kiti cha uongozi wa kanda, alichokua akikitetea. kuna mambo mazito yamechochea msigwa kuondoka chadema, siyo tu aliyoyataja wakati akijiunga CCM.

Upo mshindo na mgandamizo mkubwa sana ndani ya Chadema unakuja. Msigwa ni mtengeneza njia tu. kuondoka kwa msigwa kuna mtikisiko na impacts za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja chadema, ukubali au ukatae, politically speaking.

Believe me or not, Muchungaji Msigwa ana watu, hususani kanda ya nyasa ataondoka nao taratibu siku hadi siku, na kuinyong'onyeza au kuidhoofisha chadema kwa kiasi katika eneo hasa la nyasa.

Alidhalilishwa sana, alihujumiwa sana, alifedheheshwa sana, alidhulimiwa sana kwenye uchaguzi wa ndani kanda ya Nyasa. Haingekuwa rahisi kuvumilia manyanyaso yale yaliyochochewa na fedha za miongoni mwa waandamizi wa chama chake cha zamani.

Kuondoka kwa mchungaji msigwa kunaashiria na kuonyesha kwamba chadema haiko Salama. Kuna fukuto la chini kwa chini. Kuna vibrations katika moyo wa kila muandamizi. Hofu na hali ya taharuki na kutoaminiani imetanda chadema. kila moja yuko makini na anachosema, anachoskia na anachoambiwa na mwenzake.

Unadhani kwanini msigwa kavutiwa kujiunga na CCM na sio kwingineko?

Anaefuata ni nani baada ya Msigwa, mpaka kufikia 2025? Huyo anafuata atalekea chama gani cha siasa?🐒
Kwani tangu wameanza kuondoka zitto na kitila umeshawahi kusikia chadema imeyumba zaidi ya kuimalika!!
 
Mwanasiasa akihama chama isiwe agenda ni kawaida tu kama mfanyakazi kutoka NBC kwenda NMB au Vodacom kwenda Airtel cha msingi kuzingatia MAOKOTO.
Hii inadhihirisha ule usemi kwamba hivi vyama vyote vya Siasa vipo kwa ajili ya Viongozi wake kujineemesha tu wao na watu wao wa karibu kama akina fulani na fulani waliomo humu jf pia 😳🙄🤠🙌
Ukiona mihemko na mipovu humu jf ujue ndio wenyewe hao wenye vyama vyao 😳

Nchi inajengwa na wenye Moyo na inaliwa na wenye Meno 😳🙄⭕️
 
Msigwa hakuwa mwanachama wa kawaida Chadema, alikuwa kiongozi mwandamizi mwenye dhamana ya kusimamia makamanda na wanachama wa Chadema kanda ya Nyasa, na alikuwa pia mjumbe wa kamati kuu Chadema Taifa.

Anajua na kufahamu mambo na vitu vingi sana ndani ya chadema. Anajua vema nia, uwezo, malengo na matarajio binafsi ya mwenyekiti na makamu wa Chadema Taifa kwa siku zijazo, kwa chama hicho.

Kuondoka kwake hapawezi kukuosa wala kuacha madhara, makovu au athari za kisiasa. Hakuondoka chadema kwasababu tu ya kushindwa uchaguzi wa kiti cha uongozi wa kanda, alichokua akikitetea. kuna mambo mazito yamechochea msigwa kuondoka chadema, siyo tu aliyoyataja wakati akijiunga CCM.

Upo mshindo na mgandamizo mkubwa sana ndani ya Chadema unakuja. Msigwa ni mtengeneza njia tu. kuondoka kwa msigwa kuna mtikisiko na impacts za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja chadema, ukubali au ukatae, politically speaking.

Believe me or not, Muchungaji Msigwa ana watu, hususani kanda ya nyasa ataondoka nao taratibu siku hadi siku, na kuinyong'onyeza au kuidhoofisha chadema kwa kiasi katika eneo hasa la nyasa.

Alidhalilishwa sana, alihujumiwa sana, alifedheheshwa sana, alidhulimiwa sana kwenye uchaguzi wa ndani kanda ya Nyasa. Haingekuwa rahisi kuvumilia manyanyaso yale yaliyochochewa na fedha za miongoni mwa waandamizi wa chama chake cha zamani.

Kuondoka kwa mchungaji msigwa kunaashiria na kuonyesha kwamba chadema haiko Salama. Kuna fukuto la chini kwa chini. Kuna vibrations katika moyo wa kila muandamizi. Hofu na hali ya taharuki na kutoaminiani imetanda chadema. kila moja yuko makini na anachosema, anachoskia na anachoambiwa na mwenzake.

Unadhani kwanini msigwa kavutiwa kujiunga na CCM na sio kwingineko?

Anaefuata ni nani baada ya Msigwa, mpaka kufikia 2025? Huyo anafuata atalekea chama gani cha siasa?🐒
Msigwa kuhamia CCM hata mheshimiwa Msukuma Kuna kipindi aliwahi kusema haitafika 2025 ,Msigwa atakuwa amehama chama hicho.
 
Msigwa hakuwa mwanachama wa kawaida Chadema, alikuwa kiongozi mwandamizi mwenye dhamana ya kusimamia makamanda na wanachama wa Chadema kanda ya Nyasa, na alikuwa pia mjumbe wa kamati kuu Chadema Taifa.

Anajua na kufahamu mambo na vitu vingi sana ndani ya chadema. Anajua vema nia, uwezo, malengo na matarajio binafsi ya mwenyekiti na makamu wa Chadema Taifa kwa siku zijazo, kwa chama hicho.

Kuondoka kwake hapawezi kukuosa wala kuacha madhara, makovu au athari za kisiasa. Hakuondoka chadema kwasababu tu ya kushindwa uchaguzi wa kiti cha uongozi wa kanda, alichokua akikitetea. kuna mambo mazito yamechochea msigwa kuondoka chadema, siyo tu aliyoyataja wakati akijiunga CCM.

Upo mshindo na mgandamizo mkubwa sana ndani ya Chadema unakuja. Msigwa ni mtengeneza njia tu. kuondoka kwa msigwa kuna mtikisiko na impacts za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja chadema, ukubali au ukatae, politically speaking.

Believe me or not, Muchungaji Msigwa ana watu, hususani kanda ya nyasa ataondoka nao taratibu siku hadi siku, na kuinyong'onyeza au kuidhoofisha chadema kwa kiasi katika eneo hasa la nyasa.

Alidhalilishwa sana, alihujumiwa sana, alifedheheshwa sana, alidhulimiwa sana kwenye uchaguzi wa ndani kanda ya Nyasa. Haingekuwa rahisi kuvumilia manyanyaso yale yaliyochochewa na fedha za miongoni mwa waandamizi wa chama chake cha zamani.

Kuondoka kwa mchungaji msigwa kunaashiria na kuonyesha kwamba chadema haiko Salama. Kuna fukuto la chini kwa chini. Kuna vibrations katika moyo wa kila muandamizi. Hofu na hali ya taharuki na kutoaminiani imetanda chadema. kila moja yuko makini na anachosema, anachoskia na anachoambiwa na mwenzake.

Unadhani kwanini msigwa kavutiwa kujiunga na CCM na sio kwingineko?

Anaefuata ni nani baada ya Msigwa, mpaka kufikia 2025? Huyo anafuata atalekea chama gani cha siasa?🐒
Mbowe
 
Msigwa hakuwa mwanachama wa kawaida Chadema, alikuwa kiongozi mwandamizi mwenye dhamana ya kusimamia makamanda na wanachama wa Chadema kanda ya Nyasa, na alikuwa pia mjumbe wa kamati kuu Chadema Taifa.

Anajua na kufahamu mambo na vitu vingi sana ndani ya chadema. Anajua vema nia, uwezo, malengo na matarajio binafsi ya mwenyekiti na makamu wa Chadema Taifa kwa siku zijazo, kwa chama hicho.

Kuondoka kwake hapawezi kukuosa wala kuacha madhara, makovu au athari za kisiasa. Hakuondoka chadema kwasababu tu ya kushindwa uchaguzi wa kiti cha uongozi wa kanda, alichokua akikitetea. kuna mambo mazito yamechochea msigwa kuondoka chadema, siyo tu aliyoyataja wakati akijiunga CCM.

Upo mshindo na mgandamizo mkubwa sana ndani ya Chadema unakuja. Msigwa ni mtengeneza njia tu. kuondoka kwa msigwa kuna mtikisiko na impacts za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja chadema, ukubali au ukatae, politically speaking.

Believe me or not, Muchungaji Msigwa ana watu, hususani kanda ya nyasa ataondoka nao taratibu siku hadi siku, na kuinyong'onyeza au kuidhoofisha chadema kwa kiasi katika eneo hasa la nyasa.

Alidhalilishwa sana, alihujumiwa sana, alifedheheshwa sana, alidhulimiwa sana kwenye uchaguzi wa ndani kanda ya Nyasa. Haingekuwa rahisi kuvumilia manyanyaso yale yaliyochochewa na fedha za miongoni mwa waandamizi wa chama chake cha zamani.

Kuondoka kwa mchungaji msigwa kunaashiria na kuonyesha kwamba chadema haiko Salama. Kuna fukuto la chini kwa chini. Kuna vibrations katika moyo wa kila muandamizi. Hofu na hali ya taharuki na kutoaminiani imetanda chadema. kila moja yuko makini na anachosema, anachoskia na anachoambiwa na mwenzake.

Unadhani kwanini msigwa kavutiwa kujiunga na CCM na sio kwingineko?

Anaefuata ni nani baada ya Msigwa, mpaka kufikia 2025? Huyo anafuata atalekea chama gani cha siasa?🐒
Anguko la Msigwa wala halipo mbali kwanza kama umemfatilia hata body language yake jamaa yupo remorseful ila anajikaza tu.. Roho inamsuta sana kwa alichokifanya na hapo CCM watamchezea mchezo Sababu nao wana mashaka nae vile vile.
 
Back
Top Bottom