Pre GE2025 Baada ya Mchungaji Msigwa kuhamia CCM kutoka CHADEMA, unadhani kiongozi gani mwandamizi kufuata nyayo?

Pre GE2025 Baada ya Mchungaji Msigwa kuhamia CCM kutoka CHADEMA, unadhani kiongozi gani mwandamizi kufuata nyayo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hii inadhihirisha ule usemi kwamba hivi vyama vyote vya Siasa vipo kwa ajili ya Viongozi wake kujineemesha tu wao na watu wao wa karibu kama akina fulani na fulani waliomo humu jf pia πŸ˜³πŸ™„πŸ€ πŸ™Œ
Ukiona mihemko na mipovu humu jf ujue ndio wenyewe hao wenye vyama vyao 😳

Nchi inajengwa na wenye Moyo na inaliwa na wenye Meno πŸ˜³πŸ™„β­•οΈ
wananchi kuhama vyama ni kuongezeka uelewa na ufahamu wa sera, itikadi na malengo ya chama husika, na matokeo yake kugundua kwamba aliko sio mahali sahihi, na hatimae baada ya kuona na kubaini palipo sahihi kwake, hutumia uhuru na haki yake ya msingi kuhamia alikoona ni sahihi πŸ’

ndio Demokrasia ilivyo, Lakini sio kuweweseka kwamba hivi au vile. mTanzania yeyote anaruhusiwa kuanzisha au kujiunga na chama chochote, whether mwingine hapendi au anapenda πŸ’
 
Anguko la Msigwa wala halipo mbali kwanza kama umemfatilia hata body language yake jamaa yupo remorseful ila anajikaza tu.. Roho inamsuta sana kwa alichokifanya na hapo CCM watamchezea mchezo Sababu nao wana mashaka nae vile vile.
ndugu political analyst,
naona haki ya mwingine kuhama chama imekuumiza sana πŸ’

umefikaje fikaje mpaka kwenye roho yake na kwamba inamsuta..

wanasiasa wanaohama vyama huwa watulivu sana, wakisoma na kujifunza kwa umakini sana mazingira, tabia, mila, desturi, na utamaduni wa huko walikohamia...

cheki akina mashinji, mtatiro, silinde, lijualikali, Dr slaa, Katambi, nasari, kitila, anatropia, kafulila n.k ili hatimae waweze kuishi bila kukwaruzana na waliowakuta huko walikohamia πŸ’

huo ndio ustaarabu wa ukifika ugenini πŸ’
 
Unamtaja ambae chama kilishamfukuza. Kwani hao Covid 19 si walishavuliwa uanachama?
Seriously? Ile siyo sinema ya Isidingo - The Need kweli?

Namwona Halima Mdee na timu yake wakiwania tena ubunge CDM mwakani.

Sidhani kama teknolojia imeanza kubuni mkate mgumu mbele ya chai!
 
Yaani mimi ni ACT lakini nasikia maumivu makali sana Msigwa kuhamia ccm, yule jamaa ana akili kubwa na hoja na ushawishi mkubwa kisiasa ni bora Msigwa kuliko viongozi wa wote wa chadema ata Tundu Lissu hamuoni msigwa nadhan Tanzania upinzani umeenda na maji,

Msigwa bora angestaafu siasa au chama chengine chochote gharama yake ni kubwa mno, mfano wa msigwa kuhama chadema labda ni kama vile kipindi kile tungesikia maalim seif ameiacha CUF na kurudi ccm. Ata Lipumba alipoiacha CUF hakukuwa na maumivu kama ninayoyahisi msigwa kutoka upinzani.

Nafkiri sasa napata picha Tanganyika hakuna viongozi madhubuti nimevunjia moyo sana
Kuhama chama ulichokitumikia kwa muda mrefu na ambacho kimekupa heshima kubwa katika jamii ni jambo linalohitaji umakini sana, maana wapo wengi wamefanya hivyo wakajikuta wamepotea kwenye medani za siasa. Mifano michache ni kama vile haya Augustino Mrema Dr Mashinji nk,wapo pia ambao kuhama kumewaacha na hadhi zao katika ulingo wa siasa. Cha ,msingi ni namna unavyoishi baada ya kuhama. MCH Msigwa akiamua kukaa kimya na kuendelea na maisha yake mapya huko ugenini litakuwa jambo la biusara. Ila akikubali kutumika kusema mabaya ya alikotoka akiamini kuwa kwa kufanya hivyo ndio atakuwa anawadhuru mahasimu wake atakuwa anakosea na anaweza asiwe na mwisho mwema kisiasa. Maana naye anayo mabaya na madhaifu yake
 
Kuhama chama ulichokitumikia kwa muda mrefu na ambacho kimekupa heshima kubwa katika jamii ni jambo linalohitaji umakini sana, maana wapo wengi wamefanya hivyo wakajikuta wamepotea kwenye medani za siasa. Mifano michache ni kama vile haya Augustino Mrema Dr Mashinji nk,wapo pia ambao kuhama kumewaacha na hadhi zao katika ulingo wa siasa. Cha ,msingi ni namna unavyoishi baada ya kuhama. MCH Msigwa akiamua kukaa kimya na kuendelea na maisha yake mapya huko ugenini litakuwa jambo la biusara. Ila akikubali kutumika kusema mabaya ya alikotoka akiamini kuwa kwa kufanya hivyo ndio atakuwa anawadhuru mahasimu wake atakuwa anakosea na anaweza asiwe na mwisho mwema kisiasa. Maana naye anayo mabaya na madhaifu yake
Mkuu msigwa amesema waziwazi atazunguka tanzania nzima kuisema chadema ingawa ameshaanza kufanya hivyo siku ile anapokewa.

haiwezekani kabisa CCM kumuacha bure lazima watamtumilia kila mkutano, kama walivyoanza kumtumilia kwenye mkutano wao juzi walivyoanza kumpokea, msigwa ndio anaenda kuwa spiker kwenye kampeni za ccm na yule jamaa ni hatari sana chadema lazima ipasuke katikati.
 
Tatizo ni Mbowe, amekuwa mwenyekiti kwa miaka mingi mno. Kwa nini aaminiwe yeye tu? Kwa nini wanachadema wengine wasiaminiwe? Ina maana Mbowe akifa itakuwa mwisho wa CHADEMA?
Mkuu chama kinahitaji maokoto yaani pesa kuendesha shughuli za kichama.
Na hakina vyanzo muhimu au miradi ya chama ya kukiweka vizuri kwenye ulingo wa siasa za Bongo.
Karata wanayotumia ni wafadhili wa msimu haswa pale wakati wa uchaguzi mkuu.
Mtu mwenye ushawishi wa kuwapata wafadhili ni Mwenyekiti Mbowe.
Bila Mbowe kwa hali ya siasa za Tanzania, wafadhili wanaweza wakasusa kutoa karadha.
 
wananchi kuhama vyama ni kuongezeka uelewa na ufahamu wa sera, itikadi na malengo ya chama husika, na matokeo yake kugundua kwamba aliko sio mahali sahihi, na hatimae baada ya kuona na kubaini palipo sahihi kwake, hutumia uhuru na haki yake ya msingi kuhamia alikoona ni sahihi πŸ’

ndio Demokrasia ilivyo, Lakini sio kuweweseka kwamba hivi au vile. mTanzania yeyote anaruhusiwa kuanzisha au kujiunga na chama chochote, whether mwingine hapendi au anapenda πŸ’
Sera za Changamoto zinafanyiwa kazi πŸ™„
Michakato ipo inaendelea ya kuwaletea maendeleo πŸ€ πŸ˜…

And so on and so forth 😳
Nashindwa kuwa mwanasiasa kwa sababu sikuzoea kudanganya danganya πŸ€ πŸ‘
 
Msigwa kuhamia CCM hata mheshimiwa Msukuma Kuna kipindi aliwahi kusema haitafika 2025 ,Msigwa atakuwa amehama chama hicho.
Misukumo ya maslahi kwa baadhi ya wanasiasa !
Siku hizi hapa kwetu imeshajulikana kwamba siasa ni biashara inayolipa vizuri sana !
Kwahiyo ukiona pande hii hailipi vizuri unahamia pande ingine kwenda kujaribu bahati yako πŸ˜³πŸ™Œ

Au nasema uongo ndugu zanguni ???
 
Kuondoka kwenye chama kwenda CCM tatizo kubwa ni uongozi lakini pia pesa zinazopenyezwa na CCM chadema walikwisha jua udhaifu wao,kuna external force na internal force. CCM anapambana sana kukiua hicho chama kwa vile ni tishio kwao wala siyo ACT au CUF au chochote. Ndani pia Mbowe na kamati yote wafanye tathmini ya nini misukumo ya ndani inakipasua chama je ukabila,ukiukwaji wa katiba yao au nini zipo dynamics nyingi wapate wataalam wawafanyie utafiti kujua changamoto vinginevyo watakufa kabisa wanaofuatia kuhama ni covid 19 na Lissu au Heche/ Pambalu
Haya mambo ya 'hela za mama' kuwa ndiyo chanzo, nadhani ni kujaribu tu kuficha ukweli kwamba mgogoro uliopo ndani ya chama kwa sasa ndiyo chanzo.

Hilo suala la 'hela za mama' linaleta maswali ya kutiliwa shaka hata kwa Sugu na Mwenyekiti, kwa sababu wote wamepokea 'hela za mama' wakati fulani.

Kwa sasa, vigogo wote wa chama na rafiki zao wanajua kuwa, chama kimegawanyika makundi mawili na kwa bahati mbaya Makamu na Mwenyekiti kila mmoja yumo kwenye kundi mojawapo.

Ova
 
Mkuu chama kinahitaji maokoto yaani pesa kuendesha shughuli za kichama.
Na hakina vyanzo muhimu au miradi ya chama ya kukiweka vizuri kwenye ulingo wa siasa za Bongo.
Karata wanayotumia ni wafadhili wa msimu haswa pale wakati wa uchaguzi mkuu.
Mtu mwenye ushawishi wa kuwapata wafadhili ni Mwenyekiti Mbowe.
Bila Mbowe kwa hali ya siasa za Tanzania, wafadhili wanaweza wakasusa kutoa karadha.
That’s it !
Hata Mimi naamini Chadema bila Mheshimiwa Mbowe kwa kipengele cha Uchumi inawezekana ikatetereka haraka sana !

Chukulia mfano wa vilabu pendwa vya mpira hapa Nchini Simba na Yanga vina wanachama wengi sana na mashabiki wengi kama utitiri 🀠 lakini havina pesa πŸ€¦πŸ½β€β™‚οΈ
Mpaka magoti yapigwe kwa wafadhili 😳

Seuze Chama cha siasa ??!!
Klabu za mpira ili ziendelee na zifanye vizuri ni lazima pesa kubwa itumike na kwenye siasa ni vivyo hivyo !
Tusidanganyane ndugu zanguni, hakuna namna.

Chadema bila Mbowe kwa sasa watakuwa wepesi kama bua !
Na Ccm pia bila Serikali watakuwa wepesi kama bua πŸ€ πŸ˜…πŸ™Œ

Kama mnabisha waambieni waondoke muone itakuwaje πŸ™„πŸ˜³πŸ‘
 
That’s it !
Hata Mimi naamini Chadema bila Mheshimiwa Mbowe kwa kipengele cha Uchumi inawezekana ikatetereka haraka sana !

Chukulia mfano wa vilabu pendwa vya mpira hapa Nchini Simba na Yanga vina wanachama wengi sana na mashabiki wengi kama utitiri 🀠 lakini havina pesa πŸ€¦πŸ½β€β™‚οΈ
Mpaka magoti yapigwe kwa wafadhili 😳

Seuze Chama cha siasa ??!!
Klabu za mpira ili ziendelee na zifanye vizuri ni lazima pesa kubwa itumike na kwenye siasa ni vivyo hivyo !
Tusidanganyane ndugu zanguni, hakuna namna.

Chadema bila Mbowe kwa sasa watakuwa wepesi kama bua !
Na Ccm pia bila Serikali watakuwa wepesi kama bua πŸ€ πŸ˜…πŸ™Œ

Kama mnabisha waambieni waondoke muone itakuwaje πŸ™„πŸ˜³πŸ‘
Mkuu ni kweli kabisa.Kama vilivyo vilabu vyetu vya mpira mafanikio yanahitaji pesa ya sawa sawa ili kuajiri wachezaji bora na walimu mahili.
Vipo vyama, vina sera nzuri lakini vimedumaa sababu ya kukosa mtaji.
 
Sera za Changamoto zinafanyiwa kazi πŸ™„
Michakato ipo inaendelea ya kuwaletea maendeleo πŸ€ πŸ˜…

And so on and so forth 😳
Nashindwa kuwa mwanasiasa kwa sababu sikuzoea kudanganya danganya πŸ€ πŸ‘
human being are political animals, unaelewa ama kujua hilo kwanza? πŸ’

siasa ni maisha, sijui unayaonaje?
pa kuabudia kuna siasa yake, pakusomea iko siasa yake hata kwenye familia yako siasa zake ni tofauti na za familia nyingine πŸ’

unamuahidi mwanao utamletea gari, hata pipi huji nayo. wengine wanawaahidi wake zao watawanunulia kanga vitenge na Madera, hata mtandio tu hawapati sio siasa hiyi?🀣

wewe mwenyewe binafs una mambo kibao kichwa umepanga uyafanye mwaka huu, lakini mpaka wa leo mwaka unakatika hata kimoja hujatekeleza , that is political life πŸ’
 
human being are political animals, unaelewa ama kujua hilo kwanza? πŸ’

siasa ni maisha, sijui unayaonaje?
pa kuabudia kuna siasa yake, pakusomea iko siasa yake hata kwenye familia yako siasa zake ni tofauti na za familia nyingine πŸ’

unamuahidi mwanao utamletea gari, hata pipi huji nayo. wengine wanawaahidi wake zao watawanunulia kanga vitenge na Madera, hata mtandio tu hawapati sio siasa hiyi?🀣

wewe mwenyewe binafs una mambo kibao kichwa umepanga uyafanye mwaka huu, lakini mpaka wa leo mwaka unakatika hata kimoja hujatekeleza , that is political life πŸ’
Uongo usio na madhara Yes πŸ™Œ
Uongo wenye madhara baadaye big No 😳
 
Mkuu ni kweli kabisa.Kama vilivyo vilabu vyetu vya mpira mafanikio yanahitaji pesa ya sawa sawa ili kuajiri wachezaji bora na walimu mahili.
Vipo vyama, vina sera nzuri lakini vimedumaa sababu ya kukosa mtaji.
Kweli kabisa Mkuu πŸ™ŒπŸ‘
 
Back
Top Bottom