Baada ya Mdau wa JF kuomba msaada Mgonjwa wake afanyiwe upasuaji, MOI yatoa ufafanuzi na maelekezo

Baada ya Mdau wa JF kuomba msaada Mgonjwa wake afanyiwe upasuaji, MOI yatoa ufafanuzi na maelekezo

Hii mambo ya ustawi wa jamii, sijui msamaha wa matibabu kwa wagonjwa umekaa siasa nyingi
Back in those days nikiwa hospital moja hapa nchini (jina kapuni ), aliletwa dada mmoja na wasamaria wema, yule dada alikuwa mhudumu wa bar (barmaid) ambae baada ya kumsikiliza maelezo yake ni kwamba alijisikia kuumwa, akamuomba boss wake amsaidie pesa aende hospital, lakini hakupewa. Hyo siku akiwa anarudi home akaanguka na kupoteza fahamu Hadi alioojikuta hospital
Hospital ilifanya mawasiliano na ndugy zake, wa karibu alikuwa bibi ake aliyekuwa mkoani huko nae akasema Huwa anamtegemea Binti ili kuilisha familia hvyo Hana Cha kufanya.
Utaratibu wa kupata kibali Sasa kutoka ustawi wa jamii, ulichukua zaidi ya wiki nzima. Hapo Binti Hana sawa, chakula, madaktari wakifika wanakipita kitanda chake
Hadi anakuja kupata kibali, ni ameteseka vya kutosha

Kwahyo...nakubaliana na ww kwamba Kuna siasa nyingi sana and they are so selective kwa watu wa kuwasaidiaa

Kikubwa, tutafute pesa na tutunze afya zetu tu.
Hospital nyingi zipo kwenye biashara
Na hapo mgonjwa anaweza ambiwa kibali kinatolewa kw mgongwa wa dharula
Yaan siasa nyingi sana
 
Daktari hatoi dawa, anaandika dawa pharmacist ndiye atatoa dawa.

Kwenye kila wodi anakuepo incharge wa wodi.

Huyu incharge wa wodi anakua anajua ana wagonjwa wangapi na changamoto ni ipi kwa kila mgonjwa. Pia hua anahimizia daktari kupita round na kumshauri juu ya hali ya mgonjwa.

Kwahiyo hata daktari akiamua kufanya uhuni wa kuandika vitu havieleweki huyu incharge ataona na atamuuliza akitoa majibu ya hovyo ataripotiwa kwa patron au Medical Officer Incharge (Mkuu wa Hospital)

Labda kama incharge na daktari wote lengo liwe moja
Umejibu vema kabisa daktari hatoi dawa.
Kwaiyo unaona kabisa mgonjwa anavokosa huduma. Maana pharmacy atatoa dawa bila malipo?
 
Katika kitu nimeona ni kwamba hospital zilizopo kwenye majiji makubwa huduma ya ustawi ni kama haipo wazi. Hii inasababisha hata ndugu wakikwama wasijue wanaenda wapi.

Mambo yakiwa hovyo kabisa utakuta ndiyo wanagewa taarifa na wahusika wa wodi. So ni ishu ya taarifa kuchelewa kumfikia Afisa kuliko kusema anajivuta.
Hasa hosptal kubwa.labda wahitaji ni wengi .halafu gharama za matibabu zimepanda Sana hata kama Una bima sijui ni kwanini yaani
 
😂 😂 😂 😂 Huyo alietoa hayo majibu anatufanya watu hatujauguza hapo MOI?
 
Umejibu vema kabisa daktari hatoi dawa.
Kwaiyo unaona kabisa mgonjwa anavokosa huduma. Maana pharmacy atatoa dawa bila malipo?
Ndiyo atatoa.

Hapo sasa ndiyo Afisa Ustawi anaingia kwenye picha.

Kabla sijaelezea zaidi nakupa mfano. Imetokea ajali ameletwa majeruhi hatagewa dawa kwakua hana pesa?

Kuna aina mbili za misamaha kuna msamaha wa kudumu na wa muda. Huu wa kudumu ni kwa yeyote ambaye ameainishwa na sera hapa tunamaanisha watoto chini ya miaka 5, wazee kuanzia miaka 60, wajawazito, wagonjwa wa magonjwa ya kudumu,

Anapotokea ambaye hayupo kwenye kundi hilo hapo sasa ndiyo inabidi msamaha wa muda uwe issued. Hapa itaangaliwa ambacho mgonjwa hawezi kukimudu kisha Afisa atatoa kibali cha msamaha ambacho mgonjwa ataenda nacho duka la dawa (pharmacy) na pharmacist atampa dawa.

Shida ni "Je, Afisa Ustawi atapata taarifa kwa wakati?"
 
Ndiyo atatoa.

Hapo sasa ndiyo Afisa Ustawi anaingia kwenye picha.

Kabla sijaelezea zaidi nakupa mfano. Imetokea ajali ameletwa majeruhi hatagewa dawa kwakua hana pesa?

Kuna aina mbili za misamaha kuna msamaha wa kudumu na wa muda. Huu wa kudumu ni kwa yeyote ambaye ameainishwa na sera hapa tunamaanisha watoto chini ya miaka 5, wazee kuanzia miaka 60, wajawazito, wagonjwa wa magonjwa ya kudumu,

Anapotokea ambaye hayupo kwenye kundi hilo hapo sasa ndiyo inabidi msamaha wa muda uwe issued. Hapa itaangaliwa ambacho mgonjwa hawezi kukimudu kisha Afisa atatoa kibali cha msamaha ambacho mgonjwa ataenda nacho duka la dawa (pharmacy) na pharmacist atampa dawa.

Shida ni "Je, Afisa Ustawi atapata taarifa kwa wakati?"
Sasa hapo naona nawe umeelewa.afisa ustawi Hadi atoe idhini inachukua muda.hadi ndugu wahangaike.kama hivi aliekuja jf.
Ndiyo atatoa.

Hapo sasa ndiyo Afisa Ustawi anaingia kwenye picha.

Kabla sijaelezea zaidi nakupa mfano. Imetokea ajali ameletwa majeruhi hatagewa dawa kwakua hana pesa?

Kuna aina mbili za misamaha kuna msamaha wa kudumu na wa muda. Huu wa kudumu ni kwa yeyote ambaye ameainishwa na sera hapa tunamaanisha watoto chini ya miaka 5, wazee kuanzia miaka 60, wajawazito, wagonjwa wa magonjwa ya kudumu,

Anapotokea ambaye hayupo kwenye kundi hilo hapo sasa ndiyo inabidi msamaha wa muda uwe issued. Hapa itaangaliwa ambacho mgonjwa hawezi kukimudu kisha Afisa atatoa kibali cha msamaha ambacho mgonjwa ataenda nacho duka la dawa (pharmacy) na pharmacist atampa dawa.

Shida ni "Je, Afisa Ustawi atapata taarifa kwa wakati?"
 
Hii mambo ya ustawi wa jamii, sijui msamaha wa matibabu kwa wagonjwa umekaa siasa nyingi
Back in those days nikiwa hospital moja hapa nchini (jina kapuni ), aliletwa dada mmoja na wasamaria wema, yule dada alikuwa mhudumu wa bar (barmaid) ambae baada ya kumsikiliza maelezo yake ni kwamba alijisikia kuumwa, akamuomba boss wake amsaidie pesa aende hospital, lakini hakupewa. Hyo siku akiwa anarudi home akaanguka na kupoteza fahamu Hadi alioojikuta hospital
Hospital ilifanya mawasiliano na ndugy zake, wa karibu alikuwa bibi ake aliyekuwa mkoani huko nae akasema Huwa anamtegemea Binti ili kuilisha familia hvyo Hana Cha kufanya.
Utaratibu wa kupata kibali Sasa kutoka ustawi wa jamii, ulichukua zaidi ya wiki nzima. Hapo Binti Hana sawa, chakula, madaktari wakifika wanakipita kitanda chake
Hadi anakuja kupata kibali, ni ameteseka vya kutosha

Kwahyo...nakubaliana na ww kwamba Kuna siasa nyingi sana and they are so selective kwa watu wa kuwasaidiaa

Kikubwa, tutafute pesa na tutunze afya zetu tu.
Hospital nyingi zipo kwenye biashara
yani ustawi kiukweli dr gwajima inabidi muangalie kanuni zenu na mpange utaratibu na makubaliano mazuri na wizara ya Afya aisee

kuna mgonjwa aliniomba nimsaidie ndugu yake ni mgojwa wapo hapo.temeke, anatakiwa afanyuwe mazoezi ya viungo ya miguu. Hawana pesa, waneenda ustawi wapewe kibali cha mazoezi cha mwezi mmoja tu, ustawi wakaagree wakampa document akifika physiotherapy anafanyiwa bure, just 1 month, akasema wamefika physiotherapy wakakataliwa kabisa na kusema issue za ustawi hawazipokei, basi ikabidi nimsaidie na mgonjwa kweli kapona after 1 month,

yaani siasa ni nyibgi sana, ukienda wanakukataa na vielelezo vyote kuonesha huna uwezo unavyo, stupid[emoji34]
 
yani ustawi kiukweli dr gwajima inabidi muangalie kanuni zenu na mpange utaratibu na makubaliano mazuri na wizara ya Afya aisee

kuna mgonjwa aliniomba nimsaidie ndugu yake ni mgojwa wapo hapo.temeke, anatakiwa afanyuwe mazoezi ya viungo ya miguu. Hawana pesa, waneenda ustawi wapewe kibali cha mazoezi cha mwezi mmoja tu, ustawi wakaagree wakampa document akifika physiotherapy anafanyiwa bure, just 1 month, akasema wamefika physiotherapy wakakataliwa kabisa na kusema issue za ustawi hawazipokei, basi ikabidi nimsaidie na mgonjwa kweli kapona after 1 month,

yaani siasa ni nyibgi sana, ukienda wanakukataa na vielelezo vyote kuonesha huna uwezo unavyo, stupid[emoji34]
Next time, Afisa Ustawi kapitisha ila kitengo kingine wamegoma rudi kwa Afisa.

Hana msaada panda hadi kwa MOI, haeleweki mtafute DED au DC
 
Back
Top Bottom