Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Kwa akili yako ndogo tu umeiona pitch ya huo uwanja?Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Siku zote walikua hawaioni kama walikua wanaiona walikua wapi kuifingia?Kwa akili yako ndogo tu umeiona pitch ya huo uwanja?
Ndio wameiona sasa na wameifungia, aya ugulia maumivuSiku zote walikua hawaioni kama walikua wanaiona walikua wapi kuifingia?
Kweli pesa haishindwi.Nyuma mwiko wanatumia kila fursa kuhakikisha wanabeba kombe.Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Kwani ule uwanja ilikuwa inaenda kucheza Yanga peke yakeHizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Wangeufungia kabla ya mzunguko wa pili kuanza tungeona wamefanya la maana la sivyo bahasha zinatembea ndio maana CAFCL Mliishia makundiKwani ule uwanja ilikuwa inaenda kucheza Yanga peke yake
Haya umefuzu kwenda robo fainaliNdio wameiona sasa na wameifungia, aya ugulia maumivu
Inashangazaa sana Yanga kafungwa goli tatu akiwa nyumbani..Uoga tu usio na Msingi. Kwani last time Tabora ilimfunga Yanga kwao? Stupid
Sisi tuna medali wewe una niniHaya umefuzu kwenda robo fainali
Mdhamini wa Tff ni Gsm karia na Hersi ni mahomies!Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275