Baada ya mechi ya Tabora na Yanga kukaribia TFF waufungia Uwanja waAlly Hasani Mwinyi uliokua unatumiwa na Tabora United

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya soka
 
Kwa akili yako ndogo tu umeiona pitch ya huo uwanja?
 
Kweli pesa haishindwi.Nyuma mwiko wanatumia kila fursa kuhakikisha wanabeba kombe.
Pesa sio za gsm,pesa ni za tozo


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ule uwanja ilikuwa inaenda kucheza Yanga peke yake
 
"Inauma Lakini Itabidi Mzoee"Kuimba Kupokezana Ewe Shabiki Wa Mpira Wa Miguu
 
Uoga tu usio na Msingi. Kwani last time Tabora ilimfunga Yanga kwao? Stupid
Inashangazaa sana Yanga kafungwa goli tatu akiwa nyumbani..
Angalia ule uwanja ki ukweli kwa ligi ya sita kwa ubora Afrika timu kucheza kwenye uwanja wa vile ni aibu uwanja umebabuka kama umechomwa moto..
 
Mdhamini wa Tff ni Gsm karia na Hersi ni mahomies!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…