Baada ya mechi ya Tabora na Yanga kukaribia TFF waufungia Uwanja waAlly Hasani Mwinyi uliokua unatumiwa na Tabora United

Baada ya mechi ya Tabora na Yanga kukaribia TFF waufungia Uwanja waAlly Hasani Mwinyi uliokua unatumiwa na Tabora United

Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Kwani kanuni za TFF zinasemaje ikibainika uwanja umekosa vigezo vya kuchezea?

Baadhi ya mashabiki wenzako ambao siyo mbumbumbu, watakuwa wanajisikia vibaya sana kuwekwa kundi moja na watu wa aina yako na ambao wanaongozwa zaidi na hisia (mihemko), kuliko uhalisia.
 
H
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Hii kulalamika lalamika ni moja ya ishara ya changamoto ya afya ya akili!
 
Siku zote walikua hawaioni kama walikua wanaiona walikua wapi kuifingia?
Wewe jamaa una akili ndogo sana. Coastal union wapo Arusha kwa mudq sasa kisa uwanja ulishawahi kulalamika? Simba mwaka jana walifungwa na prison Jamhuri ulilalamika?
Ulitaka wacheze kwenye kiwanja kibovu ili ufurahi wewe na wajinga wenzio?
Alili hizi nchi hii ina wajinga na mbumbu wengi sana wasiojua kitu
 
Coastal Union imedhaminiwa na GSM, juzi wameomba mechi yao na Simba ipelekwe Mkwakwani Tanga. TFF wamewakatalia na kuwaambia mechi itachezwa Arusha, hamkusema TFF imehongwa.
Mkwakwani wakafanye nini si walitaka wenyewe Arusha? Uwe uwanja wa home..shida Tabora hawajataka kuondoka..
 
Back
Top Bottom