Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Sawa bwana MwakaroboWangeufungia kabla ya mzunguko wa pili kuanza tungeona wamefanya la maana la sivyo bahasha zinatembea ndio maana CAFCL Mliishia makundi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bwana MwakaroboWangeufungia kabla ya mzunguko wa pili kuanza tungeona wamefanya la maana la sivyo bahasha zinatembea ndio maana CAFCL Mliishia makundi
Sasa wewe unawapangia namna ya kufanya kazi? Kwamba wewe uwa unapangiwa na mtu namna ya kuendesha familia yako?Siku zote walikua hawaioni kama walikua wanaiona walikua wapi kuifingia?
bado kabisa hujasema,ndo kwaaanza kumekucha!!!Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
hapo sasa?Siku zote walikua hawaioni kama walikua wanaiona walikua wapi kuifingia?
Better late than never.Siku zote walikua hawaioni kama walikua wanaiona walikua wapi kuifingia?
Uwanja huwa unacheza namba ngapi uwanjani?Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Achana na hilo bumunda mkuu! Mwenyekiti wao alishasema hao ni mbumbumbu!Kwa akili yako ndogo tu umeiona pitch ya huo uwanja?
Tuna faini ya kuchoma kiwanja Cha watu BondeniSisi tuna medali wewe una nini
Vipi ungefungiwa baada ya yanga kucheza nao ungekuja na hoja ganiHizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Kimataifa ww Una kipi cha kuwanyoooshea kidole TFFHizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Kaka kuna starehe zaidi ya mpira... endelea hata na mbususu. Maana umeandika kwa kuumia sana moyo. Kwa hiyo hata uwanja kua na mashimo mashimo baada ya kuchezewa muda mrefu bila marekebisho sababu ni GSM??😃😃.... Aseee daaah!!!Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika
Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu
Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Rage aliwaza mbali sana pale alipowaita mbumbumbu watu aina ya mtoa mada.Hivi kuwa shabiki wa Simba na akili zinaisha
Uwanja mbovu umefungiwa wewe unalia nini