Baada ya mechi ya Tabora na Yanga kukaribia TFF waufungia Uwanja waAlly Hasani Mwinyi uliokua unatumiwa na Tabora United

Baada ya mechi ya Tabora na Yanga kukaribia TFF waufungia Uwanja waAlly Hasani Mwinyi uliokua unatumiwa na Tabora United

Nyie Mbumbumbu fc tulizeni akili kidogo, Yanga amefungwa na Tabora DSM Chamazi atashindwa vipi kucheza na Yanga Mkoa mwingine ambao wataona utawasaidia wao Tabora kupata matokeo?

Tabora wana nafasi ya kuchagua pakuchezwa mechi yao dhidi ya Yanga.
 
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
bado kabisa hujasema,ndo kwaaanza kumekucha!!!
 
Haya nawa miguu ulale
Gj1dxZeXwAArFPk.jpg
 
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Uwanja huwa unacheza namba ngapi uwanjani?
 
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Vipi ungefungiwa baada ya yanga kucheza nao ungekuja na hoja gani
 
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Kimataifa ww Una kipi cha kuwanyoooshea kidole TFF
 
Hizi ni hujuma na rushwa za waziwazi wameona mechi dhidi ya Yanga imekaribia ndo wameamua kuufungia Uwanja, cha Ajabu Mzunguko wa kwanza wote Tabora wamecheza pale mechi zao zote na huu mzunguko wa pili na Leo hii umetumika

Tff wanajiaibisha sana Anguko la Karia litakua la aibu sana (GSM) anamwaga pesa tu

Ila huko Kimataifa mtakua mnaishia makundi mpaka akili ziwakae sawa mrudi kwenye misingi ya sokaView attachment 3253275
Kaka kuna starehe zaidi ya mpira... endelea hata na mbususu. Maana umeandika kwa kuumia sana moyo. Kwa hiyo hata uwanja kua na mashimo mashimo baada ya kuchezewa muda mrefu bila marekebisho sababu ni GSM??😃😃.... Aseee daaah!!!

Barua wandike TFF shutuma apewe Ghalib... Ukiona wakati akiwapa rushwa??? Sasa na Mo si ni bilionea na yeye akawape rushwa TFF ili tarehe nane Yanga asiwapige goli nyingi za mabango...

Gademningo!!!
 
Kwa akili hizi mtaendelea kuaibika sana kolo fans. Nyie kila kitu mnalia lia tu bila kushirikisha ubongo wenu. Mechi ya Tabora itachezwa mwezi wa 4 sasa hapa katikati hakikisheni mnaurekebisha ili mechi ichezwe hapohapo.
 
Back
Top Bottom