inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Maana yake Morocco ni timu nzuri,ilifika nusu final kombe la dunia,na hii afcon watabebaKufungwa kwa Brazil,haitusaidii sisi aisee ,maana Brazil wakirudiana nao Brazil wanauwakika watashinda sisi hata tukirudiana nao bado tutafungwa tu mpaka tukome.