Kufungwa kwa Brazil,haitusaidii sisi aisee ,maana Brazil wakirudiana nao Brazil wanauwakika watashinda sisi hata tukirudiana nao bado tutafungwa tu mpaka tukome.
Kuna kipindi tukiwa afcon na algeria na Senegal kundi moja na sisi pia tukawatunasema tutavuka hilo kundi,algeria na Senegal ndio waliocheza fainali kwenye afcon hiyo.