Baada ya miaka 10 nitaishi kwenye Jumba kama hili

Baada ya miaka 10 nitaishi kwenye Jumba kama hili

Anataka ugomvi na mimi😬
Tena AME ichemsha Kwenye chai😂🤣
Nyie janjaaa sanaa.. baada ya hapo mnaendelea maloveeee kama kawaidaaa.. haya nitawaletea zawadi nzuri sanaa
images (5).jpeg
 
si anaitwa Intelligent businessman au kuna mwingine... haya mie niwaache wapendao mfurahi kapenzi kenu kachanga changaaa.. msisahahu kupapalia 😅😅😅
Nimekumbuka ni one 100 kitu kama hicho huyo mwingine simtaki kwa kweli kufunguliwa uzi sitaki😬😬🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️
 
Back
Top Bottom