Hawa vijana wakishapata hekari za kukodi na kutuletea mchele uliojaa mawe kutoka Malinyi Ulanga huwaga wanajiona washamaliza. Mashauzi meeengi! Quotes kama zote, kuna hawa walima mpuga na Viazi mbatata na wauza iPhone... mweeehh!
Sasa hayo majumba aliyoweka hapo muulize kazi anayofanya au bishara yake utachoka. Nyumba ambazo wanaweza kumiliki kina Yusuph Bakhresa na Kina Abdiel Mengi na Kina Kikwete JR ndo mpuuzi mmoja wa JF anakuja kujikweza hapa kumbe ana videmu vyake vipiga mzinga anavi-seduce vizidi kumuona yeye mwamba kisa anavinunuliaga Bia.
FALA KABISA!