Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #101
Mkuu ni hatarii๐๐, jumba Nita ishi mimi, hasira zao Zina toka wapi๐jamii ya wenye husuda loho nyanyachungu loho kunguni
oya ni roho bwana wasije kunipopoa mawe
Tumuulize rugeKisaa๐๐
Sema Kuna mda Ali zingua๐๐๐คTumuulize ruge
dah! umetafsiri vibaya, nlikuwa nakutania tu.Hi tuna ita personal attack ๐
bwana wanataka uwagaie vyumba utaish vp peke ako uchoyo uo mistaMkuu ni hatarii๐๐, jumba Nita ishi mimi, hasira zao Zina toka wapi๐
Mi mwenyewe naku Tania๐๐, u know I appreciate you bro and 100 othersdah! umetafsiri vibaya, nlikuwa nakutania tu.
Nime tumia mbinu ya kifasihi, ili kuweza kujua Aina ya jamii tuliyo nayo๐๐Kuwa tu makin baada ya hiyo 10 yrs usije tu kujikuta huna tofaut na kuku! Wote mnakaa bandani
Apostle kuna muujiza huku ๐๐Wazee tuendelee kupambania Malengo yetu, Hakuna ushujaa wa kuitwa wewe ni bingwa wa kuishi maisha magumu๐ค
I mean no malice to nobody
View attachment 2733730View attachment 2733731View attachment 2733732View attachment 2733733View attachment 2733735
Kama Vipi Nita wajengea za kwao, ila kwa matofali ya choma๐๐๐คbwana wanataka uwagaie vyumba utaish vp peke ako uchoyo uo mista
Up Tena ๐คApostle kuna muujiza huku ๐๐
๐ช๐ช๐ช hii huitaji walinzi kukabiliana na vibaka eehWazee tuendelee kupambania Malengo yetu, Hakuna ushujaa wa kuitwa wewe ni bingwa wa kuishi maisha magumu๐ค
I mean no malice to nobody
View attachment 2733730View attachment 2733731View attachment 2733732View attachment 2733733View attachment 2733735
๐ ๐ ๐ hiyo kitu sio mchezo aseeNational Anthem leo Ni mijengo, Hakuna mamanzi๐๐
zangua dua tu mkuu ๐๐
So POA mzee, ๐๐คฃ๐ค, nime tumia mbinu ya kifasihi.๐ ๐ ๐ hiyo kitu sio mchezo asee