Baada ya miaka 28 nimekuja kupenda tena kama mtoto! Sijui ni ujinga gani nafanya!

Baada ya miaka 28 nimekuja kupenda tena kama mtoto! Sijui ni ujinga gani nafanya!

Hypersonic WMD

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
1,337
Reaction score
1,876
Screenshot 2025-01-10 170416.png

Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.

Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.

Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!

x + 3y = 4y -y + x

Nimekosea wapi Wakuu?
 

Attachments

  • Screenshot 2025-01-10 170428.png
    Screenshot 2025-01-10 170428.png
    79.7 KB · Views: 3
Back
Top Bottom