Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Kazi unayo...natanguliza pole kwa familia yakoHana muda! Tulikutana bar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi unayo...natanguliza pole kwa familia yakoHana muda! Tulikutana bar
Nasikiliza nn youtubeHuwa inatokea Wala usijali jipe mda utakaa poa Cha msingi usitumie hela kiasi kikubwa sana
Tumia kwa kadri ya uwezo jifunze kwenye Stoicism theory angalau Kila asubuhi ukiamka sikiliza you tube au soma google
Lishawakuta tukio 😂😂Kazi unayo...natanguliza pole kwa familia yako
🤣🤣🤣Ntawaweka kwenye maombi...Lishawakuta tukio 😂😂
🤣 baasss kwisha kabisa.Hata sijala wala ila ni mweupe
bora umkwepe saivi upate maumivu kidogo kuliko akusumbue baadae upate maumivu mengiNdo nashindwa sasa ! naweza nikasema nizime simu 2days lakini nahesabu kila dakika muda ufike niwashe nimtafute
Acha usimp mkuuHana muda! Tulikutana bar
Ila we jamaa unaaibisha😂Hata sijala wala ila ni mweupe
si bar maidIla we jamaa unaaibisha😂
Kadri unavyozidi kujirahisisha kwa huyo ke ndio unazidi kumpoteza. Ashakuona humfai
nisimpe nnAcha usimp mkuu
hili nalo nenobora umkwepe saivi upate maumivu kidogo kuliko akusumbue baadae upate maumivu mengi
Hilo swali hivi nimepatwa na nn ndo kutwa najiuliza🤣 baasss kwisha kabisa.
Yaani kuna sifa tatu zinazozuzua mtu haraka , weupe, body type(shepu,modo, English figure,flat tummy,msambwada) au K tamu ya moto 🤣. Moja wapo kati ya hivyo binti akiwa navyo mtu unazuzuka kama mpumbavu 🤣🤣🤣 mpaka unakaa unajiuliza mwenyewe, hivi nimepatwa na nini? Mbona sijielewi ?🤣
Babu tena😂😂😂
Hata babu yangu ilimtokeaga ishu kama hiyo yako!!
Acha kuwa SIMP mkuu, usijishushe kiasi hicho kwa ke tena wa bar. Mueleze nia yako then kula buyu akikubali fresh, akikataa fresh pia.nisimpe nn
KUA MAKINI KIJANA UCHAWI UPOHata sijala wala ila ni mweupe
Hata kama sio bar maid, shida ni nin hadi hujala hadi sasa na umemganda?si bar maid
maana we utadhan n bar maid kwamba anataka hela
Ana masharti mengi mengine hayawezekaniHata kama sio bar maid, shida ni nin hadi hujala hadi sasa na umemganda?
mmhKUA MAKINI KIJANA UCHAWI UPO
Hapo piga puli utakaa sawa tu. Au fanya mapenzi na mama watoto gizani huku unamvutia hisia huyo binti hiyo kitaalam tunaitwa puli hisia.Hilo swali hivi nimepatwa na nn ndo kutwa najiuliza