Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #81
Nitaandika nikipona saiziNasubiri Akili yako ikirudi tuone Uzi mwingne
MM TAABANI NA PENZI ZITO SIJIWEZI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaandika nikipona saiziNasubiri Akili yako ikirudi tuone Uzi mwingne
kama wewe niwakina mwakeye hyo ni asili wala usihofu kawaida sana..
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.
Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.
Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!
x + 3y = 4y -y + x
Nimekosea wapi Wakuu?
Siwezi kufanya hivyo , labda itokee niwe nae tuwe pamoja for such a long time then itokee tuachane so Yale mazoea ndio yatakayo niumiza ila sio Manzi sijawahi kuwa nae Halafu Aniumize kichwa to that extent yaani hata awe mzuri kiasi gani nikiona analeta standard Namimi nampotezea tuhujapenda mtu anakukataa we usikiii
mapenzi ni nusu kichaa
Pia nahitaji maombi yenu, Nina 48yrs ald but Nimejikuta nime fai
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.
Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.
Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!
x + 3y = 4y -y + x
Nimekosea wapi Wakuu?
Nina 47yrs but Nimejikuta nime fall kwa kibinti cha 23yrs. It's fun na chenyewe kimekolea kinoma noma.
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa
Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!
x + 3y = 4y -y + x
Nimekosea wapi Wakuu?
kwaiyo mnapeana vituNina 47yrs but Nimejikuta nime fall kwa kibinti cha 23yrs. It's fun na chenyewe kimekolea kinoma noma.
jitahidi utoe usenge kichwan! n mawazo yako yanakupelekea uwaze kitu ambacho sijakiandikaMleta mada wewe ni me au ke au both
Maana kama ni mwanaume na unasema hupendi pesa, kwani unahongwa?!
Inafikirisha sana
Hujakosea, angalia Moyo Unataka nini
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.
Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.
Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!
x + 3y = 4y -y + x
Nimekosea wapi Wakuu?
Hujajibu swali mkuu,jitahidi utoe usenge kichwan! n mawazo yako yanakupelekea uwaze kitu ambacho sijakiandika
Yaan ni ushetani wa Hali ya juu, nataman kukatiza ila mnashindwa.kwaiyo mnapeana vitu
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.
Sasa shida nn kwan?Title: Baada ya miaka 28 nimekuja kupenda tena kama mtoto! Sijui ni ujinga gani nafanya!
Mkuu mbona sasa inaonesha kama una zaidi ya miaka 30 kwa jinsi ulivyoandika title...
AweeeUpwiru full stop...
ndo uko kwene penzi zito kama rojoYaan ni ushetani wa Hali ya juu, nataman kukatiza ila mnashindwa.
Kuna manzi nilianza nayo kimasihara kama vile napiga nipite, sasa yeye akawa kama ameelewa kipindi mi ndo zile nipo kama sipo kwa bahati mbaya akaja kujua kua napiga na rafiki yake, wee acha kabisa yule manzi akajitoa mzima mzima alafu mimi ndo nimezama.Ilikuaje mwanangu
Acha kabisa, mpaka nataman kumuambia mke wangu!ndo uko kwene penzi zito kama rojo