Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
- Thread starter
- #61
ebu nitaitafutaStoicism
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ebu nitaitafutaStoicism
IseeMapigo ya moyo paaa. Ikiingia hata sms ya YAS unajua ni yeye.
Anyway, hawa viumbe hawahitaji kupendwa, mpaka akuelewe mwenyewe. Usisahau, hakuna mwanamke wa kuwekeza sehemu hajaweka moyo hata ukimuonga meli. Hizo za mvumilie atabadilika, labda akiachwa na ampendaye ila akirudi umekwisha pia.
Pole, Mr Nice man.
single maza tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ukitaka kumpotezea tafuta single mother kwanza ujilie zako maini, halafu baadae utajiona bonge la fala kuendeshwa hisia zako na hako katoto.
Expert mtafute muda wote,mtext muda wote,na muwaze muda wote mpaka pale akili yako itakapo kaa sawaNdo nashindwa sasa ! naweza nikasema nizime simu 2days lakini nahesabu kila dakika muda ufike niwashe nimtafute
Wewe ni msukuma? Asernal stockpileHata sijala wala ila ni mweupe
Achana na mapenzi mkuu fanya mambo mengine au unasemaje mh.@Smart911
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.
Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.
Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!
x + 3y = 4y -y + x
Nimekosea wapi Wakuu?
mkuu umelewa??Sio hupendi pesa, hujazipata ! Kina Elon wanazisaka usiku na mchana alafu kuna kenge imevimbiwa makande inasema haipendi pesa
HeeehExpert mtafute muda wote,mtext muda wote,na muwaze muda wote mpaka pale akili yako itakapo kaa sawa
daahWewe ni msukuma? Asernal stockpile
Umeingia kwenye mchezo ulionikuta December, mpaka leo hii bado nawewesekaHana muda! Tulikutana bar
Sasa kama Hana muda unamtafuta wa nini !? Watu wengine matatizo kumbe mnayatakaga nyinyi wenyeweHana muda! Tulikutana bar
Mimi Nadhani ni Ile chemistry tuliyokuwa Nayo ndio inayo nitesa nothing much maana kama ni Mademu wazuri ninao kuzidi yeye🤣 baasss kwisha kabisa.
Yaani kuna sifa tatu zinazozuzua mtu haraka , weupe, body type(shepu,modo, English figure,flat tummy,msambwada) au K tamu ya moto 🤣. Moja wapo kati ya hivyo binti akiwa navyo mtu unazuzuka kama mpumbavu 🤣🤣🤣 mpaka unakaa unajiuliza mwenyewe, hivi nimepatwa na nini? Mbona sijielewi ?🤣
Hilo nalo nenoMimi Nadhani ni Ile chemistry tuliyokuwa Nayo ndio inayo nitesa nothing much maana kama ni Mademu wazuri ninao kuzidi yeye
hujapenda mtu anakukataa we usikiiiSasa kama Hana muda unamtafuta wa nini !? Watu wengine matatizo kumbe mnayatakaga nyinyi wenyewe
Ilikuaje mwananguUmeingia kwenye mchezo ulionikuta December, mpaka leo hii bado naweweseka