Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
tatizo wabishi kukoga dawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo wabishi kukoga dawa
Hapo akikataa ndo sipo tayari kukubali.Acha kuwa SIMP mkuu, usijishushe kiasi hicho kwa ke tena wa bar. Mueleze nia yako then kula buyu akikubali fresh, akikataa fresh pia.
Mpotezee vinginevyo atakugharimu sana na anaweza asikupe chochote zaidi ya umaskini.Ana masharti mengi mengine hayawezekani
basi acha aendelee kula kibunda yako maana unataka mwenyewe.Hapo akikataa ndo sipo tayari kukubali.
Nina shida ya uki ng’ang’anizi
Siyo nataka ni hisia kali!basi acha aendelee kula kibunda yako maana unataka mwenyewe.
ndo naona hapaMpotezee vinginevyo atakugharimu sana na anaweza asikupe chochote zaidi ya umaskini.
Nipeleke nikaogetatizo wabishi kukoga dawa
Mwanaume Upo 30yrs alafu bado unaendeshwa na hisia? Pole mkuuSiyo nataka ni hisia kali!
kwene mapenzi hakunaga kutumia akili si unajua
We ona sifa atakufilisi kweli.ndo naona hapa
ndio maana nimekuja kuomba msaada haijawai nitokea hali hiiMwanaume Upo 30yrs alafu bado unaendeshwa na hisia? Pole mkuu
Msaada ni umpotezee, anavyoona unamtafuta tafuta ndio anazidi kupata kiburi.ndio maana nimekuja kuomba msaada haijawai nitokea hali hii
kwa age yako ni sawa kijana, ndio muda wako wa kupata mtu sahihi wa kuoa na kuanzisha familia.
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.
Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.
Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!
x + 3y = 4y -y + x
Nimekosea wapi Wakuu?
Kwahiyo, kabla ya miaka 28, yaani ulipokuwa na mika miwili (maana sasa una 30), ulimpenda nani?
Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.
Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.
Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!
x + 3y = 4y -y + x
Nimekosea wapi Wakuu?
Namaanisha haya mambo ya kupenda kishamba hivi ni ya watoto wa miaka ya balehe..Kwahiyo, kabla ya miaka 28, yaani ulipokuwa na mika miwili (maana sasa una 30), ulimpenda nani?
acha umalaya mkuuKuzuri kula na wanajf wenzio nitumie Namba yake
StoicismNasikiliza nn youtube
Hana tabia yyte nazan n kisuri suri cha mapenzikwa age yako ni sawa kijana, ndio muda wako wa kupata mtu sahihi wa kuoa na kuanzisha familia.
but NOTE: usifuate zaidi hisia ya kumtamani kingono, jiridhishe na tabia pia.