Baada ya miaka 28 nimekuja kupenda tena kama mtoto! Sijui ni ujinga gani nafanya!

Baada ya miaka 28 nimekuja kupenda tena kama mtoto! Sijui ni ujinga gani nafanya!

Ukishaichapa utabadili mawazo, kama umeichapa na bado unajitumisha meseji basi huyo dem kashatinga kilingeni
 

Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.

Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.

Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!

x + 3y = 4y -y + x

Nimekosea wapi Wakuu?
kwa age yako ni sawa kijana, ndio muda wako wa kupata mtu sahihi wa kuoa na kuanzisha familia.

but NOTE: usifuate zaidi hisia ya kumtamani kingono, jiridhishe na tabia pia.
 

Nina miaka 30 sasa, cha kushangaza nimejichanganya sehemu masihara masihara nipenda kama mtoto wa rika balehe.

Yaan sijiwezi, situliii, siambiwi na sipend pesa sana, navuruga ratiba, kutwa kujitumisha meseji. Haya mambo kwene umri wangu si sahihi maana nilifanya huko nyuma wakati na balehe na ilikua sawa kabisa lakini kwa sasa naona kama ni ugonjwa hasa ukizingatia nina familia.

Naona kabisa naharibu EQUATION ILIYOKUA IME BALANCE!

x + 3y = 4y -y + x

Nimekosea wapi Wakuu?
Kwahiyo, kabla ya miaka 28, yaani ulipokuwa na mika miwili (maana sasa una 30), ulimpenda nani?
 
Kwahiyo, kabla ya miaka 28, yaani ulipokuwa na mika miwili (maana sasa una 30), ulimpenda nani?
Namaanisha haya mambo ya kupenda kishamba hivi ni ya watoto wa miaka ya balehe..
Haya masuala nilikutana nayo nilivokua darasa la sita, form one na form two
 
kwa age yako ni sawa kijana, ndio muda wako wa kupata mtu sahihi wa kuoa na kuanzisha familia.

but NOTE: usifuate zaidi hisia ya kumtamani kingono, jiridhishe na tabia pia.
Hana tabia yyte nazan n kisuri suri cha mapenzi
 
Back
Top Bottom